Hakuna jamii iliyolala Tanzania kama watu wa kusini

Hakuna jamii iliyolala Tanzania kama watu wa kusini

Kwenye kuwapa Elimu nakuunga mkono mkuu.

Granite, huwa naongea na vijana wenye maduka, diwani.

Nakula kwa mama ntilie, naamka asubuhi kuangalia view, tremendenous view.

Kama desturi yangu naenda stand ya masasi naongea na watoto wanauza kahawa, kashata, ila moyo huwa unaniuma nikawaona asubuhi sana watoto wanauza chai saa kumi na moja asubuhi.

Jioni, usiku, natembea uwanja wa fisi, masasi mjini naongea na kina mama wanauza chakula mtaani.

Wamejipanga vizuri sana Masasi stand nawapongeza kuwasaidia wakinamama kuwapa maeneo mazuri sana mbali na barabara.

Wakipata buku kumi wako fresh. Ila nikiongea na watoto wao wa kiume, wasichana mara nyingi moyo unaumia. Hawajali elimu kabisa.

Nafikiri serikali inaweza kusaidia, watoto wasome, wasiwe nje usiku.

Pia wapate bima wakiumwa, uwezo wa kulipa wanao. Muhimu kuwapa elimu.
 
Lakini kuwepo kwa vyuo kunaleta maendeleo na mzunguko wa pesa unakuwa mkubwa kama ilivyo dodoma kwa sasa mji unachangamka sana.
Yes ni sahihi mkuu kwa hoja hii nakubaliana na wewe pia
 
Lakini kuwepo kwa vyuo kunaleta maendeleo na mzunguko wa pesa unakuwa mkubwa kama ilivyo dodoma kwa sasa mji unachangamka sana.
Yes ni sahihi mkuu kwa hoja hii nakubaliana na wewe pia
 
Nadhani huko kusini watu inabidi wa change mindsets zao kwanza na kuwa aggressive kwenye maisha, wakiamka tu na serikali yenyewe itaongezea nguvu, sio mtu akiuza korosho anawaza kuongeza mke badala ya kuwekeza, pia elimu ni mkombozi mojawapo wa kukomboa jamii
Kuhusu kuchange mindset ni sahihi sana,ila kikubwa ni kuwapa elimu hawa vijana.

Ninao vijana wangu wapo huko najitahidi kuwafundisha maisha halisi yalivyo na umuhimu wa elimu.
 
Tokea Uhuru hakuma mradi wowote wa maendeleo ulioanzia mikoa ya kusini mwa tz . Kusini imekuwa nyuma na ya mwisho kufikirika ktk kila mradi. Miaka 25 - 30 iliyopita serikali ilijinadi kuwa hauna uwezo was kupoleka maendeleo kwa kila mkoa kwa wakati Mmoja. Na kwakua ilikuwa ndio miaka 30 tokea Uhuru wananchi was kusini walikuwa na matumaini kuwa Siku zao ya kupelekewa maendeleo. Hata hivyo walikaa tens miaka 20 zaidi ndipo wakaambulia kupata barabara ya lami inayounganishana jiji la dar.

Ule usemi kuwa serikali haihangaiki na jamii zilizo lala nakubaliana nao kwa asilimia zote.

Miradi yote mikubwa ikiwemo hospitali ya rufaa kusini hakuna tokea Uhuru

Chuo kikuu au tawi lake hakuna tokea Uhuru

Kuna mradi huu wa reli SGR kusini hawafikiriwi kabisa wakati kanda nyingine hii wakipelekewa awamu ya pili ya reli. kusini sio tu hawajafikiriwa lkn wenyewe pia hawajitambu, wamelala fofofo.

Ukweli ni kuwa jamii yangu ya watu was kusini wanafurahisha na wanasikitisha na wanahitaji maombi ya haraka kutoka kwa watz.

Wanafurahisha na kusikitisha kwasababu; kusini ndio jamii pekee ambayo ccm inavuma kura nyingi wakati wa uchaguzi na huwa ni watu was mwisho kupelekwa maendeleo na serikali hii ya ccm.


Unaweza kuuliza kuna faida itapatikana ikijengwa reli kusini.

kuna rasilimali na bidhaa muhimu ambayo kama ingesafirisha kwa reli bidhaa hizo zingenuaisha watz walio wengi. Bidhaa hizo no pamoja na cement ambapo kwasasa kina zaidi ya maloli 1000 na hivyo kupelekea barabala ya lami kushindwa kuhimili uwingi na ujazo was maloli endapo kiwanda kingezalisha ktk uwezo wake halisi, kuna makaa ya mawe kuna uranium ambazo michakato ya uzalishaji bado inasuasua. Bila shaka uwepo was reli umgesisimua miradi hii mikubwa.


Jana Mh SSH ameshuhudia utiwaji saini mkopo was pesa kwa ajili ya wa ujenzi wa SGR kipande cha tatu kutoka Makutupora hadi Tabora chenye urefu wa kilometa 368, kitakachogharimu Dola za Kimarekani 1.908 Bilioni sawa na Sh4.41 trilioni kati ya Shirika la Reli Tanzania (TRC) na Yapi Merkez kutoka Uturuki.

Mkopo huu ambao kwa ujumla wake no zaidi tri 14 watu wa kusini watakuwa in wasindikizaji na walipaji wakuu wa deni hili lisilo na faida yyt kwao.

Sijaja hapa kulia lia kama watz wengine bali huu in Uamsho kwa kwa waliolala fofofo. AMKENI
Yaani mnataka mletewe SGR wakati hakuna lolote huko hadi sasa, hiyo pesa ya ujenzi tutakuwa tumeizika tu
 
Nadhani huko kusini watu inabidi wa change mindsets zao kwanza na kuwa aggressive kwenye maisha, wakiamka tu na serikali yenyewe itaongezea nguvu, sio mtu akiuza korosho anawaza kuongeza mke badala ya kuwekeza, pia elimu ni mkombozi mojawapo wa kukomboa jamii

Granite, huwa naongea na vijana wenye maduka, diwani.

Nakula kwa mama ntilie, naamka asubuhi kuangalia view, tremendenous view.

Kama desturi yangu naenda stand ya masasi naongea na watoto wanauza kahawa, kashata, ila moyo huwa unaniuma nikawaona asubuhi sana watoto wanauza chai saa kumi na moja asubuhi.

Jioni, usiku, natembea uwanja wa fisi, masasi mjini naongea na kina mama wanauza chakula mtaani.

Wamejipanga vizuri sana Masasi stand nawapongeza kuwasaidia wakinamama kuwapa maeneo mazuri sana mbali na barabara.

Wakipata buku kumi wako fresh. Ila nikiongea na watoto wao wa kiume, wasichana mara nyingi moyo unaumia. Hawajali elimu kabisa.

Nafikiri serikali inaweza kusaidia, watoto wasome, wasiwe nje usiku.

Pia wapate bima wakiumwa, uwezo wa kulipa wanao. Muhimu kuwapa elimu.
Uwanja waa fisi nyuma ya stendi ya mabasi masasi napafaham wanachoma sana nyama...utakua mwenyeji mkuu
 
MKAPA alikuwa mtu mzalendo, hakutaka kupendendelea kwake, Alikuwa very objective kwa kuangalia various corners za Tz.
Hakutaka kufanya Regionalism,
Usishangae....




Tokea Uhuru hakuma mradi wowote wa mkupendelea ulioanzia mikoa ya kusini mwa tz . Kusini imekuwa nyuma na ya mwisho kufikirika ktk kila mradi. Miaka 25 - 30 iliyopita serikali ilijinadi kuwa hauna uwezo was kupoleka maendeleo kwa kila mkoa kwa wakati Mmoja. Na kwakua ilikuwa ndio miaka 30 tokea Uhuru wananchi was kusini walikuwa na matumaini kuwa Siku zao ya kupelekewa maendeleo. Hata hivyo walikaa tens miaka 20 zaidi ndipo wakaambulia kupata barabara ya lami inayounganishana jiji la dar.

Ule usemi kuwa serikali haihangaiki na jamii zilizo lala nakubaliana nao kwa asilimia zote.

Miradi yote mikubwa ikiwemo hospitali ya rufaa kusini hakuna tokea Uhuru

Chuo kikuu au tawi lake hakuna tokea Uhuru

Kuna mradi huu wa reli SGR kusini hawafikiriwi kabisa wakati kanda nyingine hii wakipelekewa awamu ya pili ya reli. kusini sio tu hawajafikiriwa lkn wenyewe pia hawajitambu, wamelala fofofo.

Ukweli ni kuwa jamii yangu ya watu was kusini wanafurahisha na wanasikitisha na wanahitaji maombi ya haraka kutoka kwa watz.

Wanafurahisha na kusikitisha kwasababu; kusini ndio jamii pekee ambayo ccm inavuma kura nyingi wakati wa uchaguzi na huwa ni watu was mwisho kupelekwa maendeleo na serikali hii ya ccm.


Unaweza kuuliza kuna faida itapatikana ikijengwa reli kusini.

kuna rasilimali na bidhaa muhimu ambayo kama ingesafirisha kwa reli bidhaa hizo zingenuaisha watz walio wengi. Bidhaa hizo no pamoja na cement ambapo kwasasa kina zaidi ya maloli 1000 na hivyo kupelekea barabala ya lami kushindwa kuhimili uwingi na ujazo was maloli endapo kiwanda kingezalisha ktk uwezo wake halisi, kuna makaa ya mawe kuna uranium ambazo michakato ya uzalishaji bado inasuasua. Bila shaka uwepo was reli umgesisimua miradi hii mikubwa.


Jana Mh SSH ameshuhudia utiwaji saini mkopo was pesa kwa ajili ya wa ujenzi wa SGR kipande cha tatu kutoka Makutupora hadi Tabora chenye urefu wa kilometa 368, kitakachogharimu Dola za Kimarekani 1.908 Bilioni sawa na Sh4.41 trilioni kati ya Shirika la Reli Tanzania (TRC) na Yapi Merkez kutoka Uturuki.

Mkopo huu ambao kwa ujumla wake no zaidi tri 14 watu wa kusini watakuwa in wasindikizaji na walipaji wakuu wa deni hili lisilo na faida yyt kwao.

Sijaja hapa kulia lia kama watz wengine bali huu in Uamsho kwa kwa waliolala fofofo. AMKENI
 
Nimetoka home singida nimekuja kutafuta maisha kusini huku nilichokigundua mpaka sasa NI kweli Kuna fursa nyingi na NI wakati sahihi Sasa serikali isimamie lng ya Lindi inufaishe huu mkoa...Bado kupo nyuma Sana at least mtwara na masasi ndo pakula Bata
 
Kuhusu kuchange mindset ni sahihi sana,ila kikubwa ni kuwapa elimu hawa vijana.

Ninao vijana wangu wapo huko najitahidi kuwafundisha maisha halisi yalivyo na umuhimu wa elimu.
Yani mindsets ikibadilishwa na kila jambo litaenda vizuri
 
Lakini kiukweli tu serikali nayo kuna maeneo inapendelea mnoo, kwa mfano Dodoma isingekuwa makao makuu pangekuwa duni kuliko hata Mtwara.
Yani mindsets ikibadilishwa na kila jambo litaenda vizuri
 
Lakini kiukweli tu serikali nayo kuna maeneo inapendelea mnoo, kwa mfano Dodoma isingekuwa makao makuu pangekuwa duni kuliko hata Mtwara.
Hilo la kupendelea inaweza kuwa kweli,lakini na muamko wa watu wenyeji kuwekeza napo huongeza hamasa ya maendeleo kuliko serikali, Kilimanjaro ni mkoa wenye vita na serikali tangu enzi za Nyerere ila watu wake wanajitahidi sana kuunyanyua mkoa na hata kuwekeza Ili pasisahaulike hata ujenzi wa mashule mengi huku kukiwa na idadi ndogo ya wanafunzi wake.
So raia waamke waache kucheza ngoma na ngono wawekeze kwenye vitu vyasingi huko kusini Wana ardhi kubwa, bahari na kila waamke Sasa na kusisitiza elimu kwa wingi wafunguke akili
 
Àmepeleka jimboni kwake. Kàma ulivyojengwa uwanja wa ndege wa Chato nyumbani kwa mtu na jimboni kwake.
Kwani jimboni kwake ni kusini au kaskazini? Asingepeleka jimboni kwake angepeleka wapi ambako hakuna jimbo huko kusini?
 
Mikoa mingine kama mwanza,Dodoma,Arusha,Kilimanjaro na Dsm,uelewa hata wa mambo ya kawaida tu ni tofauti na vijana wengi tuliopo kusini i stand to be corrected
Sio kweli, hata wao kuna mambo hawawezi elewa hata uwaambie nini. Ni vile ww kwako ni kawaida ila kwake ni geni. Mfano mtu wa Dodoma ukimuulizia kuhusu Kilimo cha Zabibu atakujibu kwa mapana tofauti na Mtu wa Lindi, na wa Lindi ukimuuliza kuhusu Uvuvi atakujibu kwa ustadi kuliko wa Arusha.
Usijibague kwa kiwango hiko. Nimezurula sana TZ yote hii. Ni kundi la vijana wachache wenye uelewa wa mambo muhimu na makini ambayo wewe unayaona ya kawaida. Wengi wao ni wale walioenda shule.
 
Nimetoka home singida nimekuja kutafuta maisha kusini huku nilichokigundua mpaka sasa NI kweli Kuna fursa nyingi na NI wakati sahihi Sasa serikali isimamie lng ya Lindi inufaishe huu mkoa...Bado kupo nyuma Sana at least mtwara na masasi ndo pakula Bata
Mkuu umefikia hadi kulinganisha SINGIDA na MTWARA? Mtwara pazuri sana kwa mikoa ya kusini sio RUVUMA (SONGEA) wala LINDI utaweza linganisha na Mtwara kuanzia huduma za kijamii, kiuchumi nk
 
Nafanya kazi kusini huu mwaka wa saba.... Hawa jamaa ni wa hovyo kabisa wasiletewe mradi wowote, serikali ittapata hasara ni wavivu sana na wanategemea zao moja la biashara lenye msimu mmoja yaani korosho tuu..... Zikikataa basi mwaka unaofuata watakuwa na maisha magumu sana na zikikubali hawajui wafanyie nini pesa walizopata ndipo huamua kuanza anasa za hovyo hata kufuru yani wanaweza kununua pikipiki wakaoshea maji safi ya chupa yanayouzwa kwa ajili ya kunywa...... Au wakamnywesha mbuzi soda na kufuru nyingine za kipuuzi
Yani hawa jamaa ni kama wamelaaniwa
Hovyo kabisa
 
Nafanya kazi kusini huu mwaka wa saba.... Hawa jamaa ni wa hovyo kabisa wasiletewe mradi wowote, serikali ittapata hasara ni wavivu sana na wanategemea zao moja la biashara lenye msimu mmoja yaani korosho tuu..... Zikikataa basi mwaka unaofuata watakuwa na maisha magumu sana na zikikubali hawajui wafanyie nini pesa walizopata ndipo huamua kuanza anasa za hovyo hata kufuru yani wanaweza kununua pikipiki wakaoshea maji safi ya chupa yanayouzwa kwa ajili ya kunywa...... Au wakamnywesha mbuzi soda na kufuru nyingine za kipuuzi
Yani hawa jamaa ni kama wamelaaniwa
Hovyo kabisa
Jinga sana mtu za kusini..zinawaza ngono tu muda wote.

#MaendeleoHayanaChama
 
Back
Top Bottom