Hakuna jamii iliyolala Tanzania kama watu wa kusini

Hakuna jamii iliyolala Tanzania kama watu wa kusini

Labda nikueleze kwa kutumia lugha ya kiuchumi kueleza faida ya serokali ya majimbo ktk zama hizi na kwa jamii ya watu waliolala.
Mkuu mimi nakubali kabisa kwamba serikali ya majimbo ina faida tele sana,sijakataa hilo sehemu yoyote ile naomba unifahamu tena mkui,sijakataa kwamba serikali ya majimbo ina faida sana tu.
kwa Mikoa unayoona imepiga hatua ya maendeleo ni ile ambayo INA vijana waliojiriwa na seikali na sekta binafsi.
Hapa unakubali kwamba kuna mikoa imeendelea kupita kusini,lakini unasahau kuwa mikoa hiyo imeendelea bila hata ya hiyo serikali ya majimbo.

Kwa maana kama mikoa mingine imeweza kupiga hatua bila serikali ya majimbo basi na kusini pia tunaweza kuendelea bila kutegemea mfumo huo wa majimbo ambao mpaka serikali itake au ije swrikali mpya.


Nafasi za kazi serikali 90% zikachukuliwa na wageni. Sio kwa sababu vijana hawana weledi laa, kwasababu ajira wanapeana kwa kujuana na Sera ya nchi ya ajira inaruhusu kufanywa wanayofanya.
Sio kweli kaka.

Angalia takwimu vijana waliokuwa na elimu kusini ni wachache sana ukilinganisha na vijana wasiokuwa na elimu kusini huko.

Shule ambayo mimi nilisoma waliofanikiwa kwenda A level na kumaliza masomo walikuwa ni watu hawazidi 13 na tulikuwa wanafunzi zaidi ya 100,hiyo ni kusini shule ya mjini sio kijijini,na hiyo shule ilijitahidi kufanya vizuri

Shule hiyo hiyo form four wa mwanzo kuhitimu hakwenda hata mmoja form five na kupata elimu ya juu.

Wakati huo huo mpaka hivi leo hakuna utofauti mkubwa wa vijana kwenda A level ukilinganisha na zamani.

Shule mpaka 2009 shule za sekondari mikoa ya lindi zilikuwa ni chache,hii ina maana ya k2amba vijana wengi walikosa elimu na wakakosa na sifa ya kuajirika.

Hivyo kusema kwamba serikali imewanyjma nafasi huu ni uongo wa wazi na haya ni maneno ambayo utazidi kuwafanya watu wa kusini waone kuwa kumbe tatizo sio wao bali serikali,inaonesha hujayaishi maisha ya kusini,mimi nimelelewa kusini kwa zaidi ya miaka 18 maisha tu ndio yamenifanya niwe mbali ila huwa ni nyumbani naenda sana tu mpaka kesho wazazi wangu wapo huko.




Bado tu huoni faida ya serokali ya majimbo
Mkuu hakuna aliyepinga serikali ya majimbo naomba uelewe tena.

Ninachopinga ni kuona kwamba serikali ya majimbo ndio suluhisho la kwanza kwa maendeleo ya kusini wakati kuna mikoa imeendelea bila hizo serikali za majimbo ?

Badala yake tutafute njia ambazo zitakuwa hazisubiri idhini ya serikali,kwa sababu ishu ya majimbo ikiwa itachukua muda mrefu ina maana wana kusini waendelee kubweteka tu wakisubiri miujiza ya serikali ya majimbo ?

Hapana watafute njia zingine za kusolve hii ishu
 
Tokea Uhuru hakuma mradi wowote wa maendeleo ulioanzia mikoa ya kusini mwa tz . Kusini imekuwa nyuma na ya mwisho kufikirika ktk kila mradi. Miaka 25 - 30 iliyopita serikali ilijinadi kuwa hauna uwezo was kupoleka maendeleo kwa kila mkoa kwa wakati Mmoja.

Na kwakua ilikuwa ndio miaka 30 tokea Uhuru wananchi was kusini walikuwa na matumaini kuwa Siku zao ya kupelekewa maendeleo. Hata hivyo walikaa tens miaka 20 zaidi ndipo wakaambulia kupata barabara ya lami inayounganishana jiji la dar.

Ule usemi kuwa serikali haihangaiki na jamii zilizo lala nakubaliana nao kwa asilimia zote.

Miradi yote mikubwa ikiwemo hospitali ya rufaa kusini hakuna tokea Uhuru

Chuo kikuu au tawi lake hakuna tokea Uhuru

Kuna mradi huu wa reli SGR kusini hawafikiriwi kabisa wakati kanda nyingine hii wakipelekewa awamu ya pili ya reli. kusini sio tu hawajafikiriwa lkn wenyewe pia hawajitambu, wamelala fofofo.

Ukweli ni kuwa jamii yangu ya watu was kusini wanafurahisha na wanasikitisha na wanahitaji maombi ya haraka kutoka kwa watz.

Wanafurahisha na kusikitisha kwasababu; kusini ndio jamii pekee ambayo ccm inavuma kura nyingi wakati wa uchaguzi na huwa ni watu was mwisho kupelekwa maendeleo na serikali hii ya ccm.


Unaweza kuuliza kuna faida itapatikana ikijengwa reli kusini.

kuna rasilimali na bidhaa muhimu ambayo kama ingesafirisha kwa reli bidhaa hizo zingenuaisha watz walio wengi. Bidhaa hizo no pamoja na cement ambapo kwasasa kina zaidi ya maloli 1000 na hivyo kupelekea barabala ya lami kushindwa kuhimili uwingi na ujazo was maloli endapo kiwanda kingezalisha ktk uwezo wake halisi, kuna makaa ya mawe kuna uranium ambazo michakato ya uzalishaji bado inasuasua. Bila shaka uwepo was reli umgesisimua miradi hii mikubwa.

Jana Mh SSH ameshuhudia utiwaji saini mkopo was pesa kwa ajili ya wa ujenzi wa SGR kipande cha tatu kutoka Makutupora hadi Tabora chenye urefu wa kilometa 368, kitakachogharimu Dola za Kimarekani 1.908 Bilioni sawa na Sh4.41 trilioni kati ya Shirika la Reli Tanzania (TRC) na Yapi Merkez kutoka Uturuki.

Mkopo huu ambao kwa ujumla wake no zaidi tri 14 watu wa kusini watakuwa in wasindikizaji na walipaji wakuu wa deni hili lisilo na faida yyt kwao.

Sijaja hapa kulia lia kama watz wengine bali huu in Uamsho kwa kwa waliolala fofofo. AMKENI


Ukweli nimechokoza mada hii kwa kuwa Nina njia niliyofikiria ni muarubali wa mabadiliko ktk jamii ya wakusini.

Hata hivyo nilitaka kusikia kutoka kwa wadau wenyewe kabla sijaleta mwelekeo wa njia mpya ya kutembea nayo.

Hadi sasa sijapata wazo mbadala zaidi ya kauli zinazoonyesha unyonge kutoka kwa wadau.

Mwelekeo sahihi.

Chanzo cha tatizo nini:-

Kuelekea kupata suluhisho lazima tujue chanzo kikuu cha tatizo mini, lazima tujue tulipojikwaa na sio tulipoangukia.

Kikwazo kikubwa kimojawapo cha kanda ya kusini kusahaulika ktk masuala maxima ya maendeleo ni kuwa Tanzania ni kubwa na mfuno was serikali kuu hauna na wala hautapata uwezo was kupeleka maendeleo Tanzania yote. Mfumi huu unalazimisha kuwepo ubaguzi kwa baadhi ya kanda.

Kuendelea kukumbatia mfumo huu wa utawala was Serikali kuu kwa jamii ya watu wa kusini, Mfumo ambao ushakuwa mkongwe wa miaka zaidi 60 ya Uhuru. Kuuendelea kuuegemea ni sawa kuupa sapoti mgomba dhaifu ukizaa mkungu mkubwa wa ndizi ili usinguke unazuia na nguzo. Lkn ndizi hizo zikishakomaa hupati manufaa yake. Serikali kwasasa ccm imeelemewa na maitaji ya wa tz. Lkn kubwa zaidi imeelemewa na madeni kiasi kwambainaelekea kuvuka mstari wa kukopesheka.

Mwelekeo
Ni lazima jamii iamke usingizini wa fofofo na ifanye Maamuzi magumu, maamuzi mapya, lkn lazima yafanyike maamuzi magumu. Kwa kuukataa mfumo huu ulioelemewa.

Vyama vyote vinavyoamini mfumo was serikali kuu vikataliwe. Vyama vinavyoamini mfumo wa serikali tatu pia hauna faida kwa wana kusini. Tunahitaji mfumo ule wa kikoloni na baada ya Uhuru. Mfumo wa seriKali za Majimbo ambapo kusini lilijulikana kama Southern Province. Kwa lugha nyepesi lazima wanakusini waunganishe nguvu na kusimama au kuanzisha chama kitakachi amini na kusimamia mfumo wa serikali za majimbo yatakayokuwa na Uhuru zaidi wa kujiamulia mambo yao wenyewe.

Jambo hili so geni na wala halitakuwa geni. Kwasasa serikali ya ccm imelipatia nguvu na Uhuru zaidi jimbo moja tu la znz. Tunahitaji chama ambacho kitazipa nguvu Majimbo na uhuru was kujiamulia uchumi wao, utamaduni wao, elimu yao, mambo yao ya kijamii nk

kila jimbo lihodhi 75% ya rasilimali zake. 25% ziende serikali kuu kwa ajili ya kujiendesha na kwa ajili ya kusaidoa majimbo yasiyo na rasilimali yajitengenezee artificial rasilimali. Eg elimu maalum kama ya engineering au IT.

Hakuna haja kukumbatia chama Kama bendera kufata upepo. Kipindi Fulani nilikwenda kufanya kijiutatfiti kwa kuwauliza kwann mmetoka CUF na kwenda ACT wengi walijibu tumemfata Maalim . nikawauliza maalim akishinda urais znz jamii ya watu wa kanda ya kusini mtafaidika vp urais wa Maalim Seif (Mungu Amrehemu) hawakuwa na jibu. Hawakuwa na jibu kwa kuwa Maalim seif alijipambanua kuwa anapigania Uhuru zaidi wa znz kujiamulia mambo yao wenyewe.

Ndugu zangu najua wamenielewa lkn watakuja na swali moja kuuliza. Sasa kama tutaipunguzia nguvu serikali kuu sasa hayo madeni ya tri 71 ya serikali kuu atalipa nani!??

Jibu rahisi ni guys mind ur business. Else majimbo husika yaliyonufaika na madeni hayo ndio watakuwa walipaji wakuu. Nawatalipa kulingana na faida kayozaliswa na miradi hiyo.

Ndugu zangu hili wazo linaingia akilini, je linatekelezeka?

R U ready U my fellow guys kufata njia hii
hilo la hospital ya rufaa mbona ishajengwa tayari mkuu. NEnda pale mikindani utaiona.
 
Ndanda hospital ni referral hospital


That's one,nisihangaike tena maana inaonekana unazungumza usilolijua
Hahaha hospital ya rufaa ndio kwanza inajengwa mtwara baada ya miaka 60.

St Benedict Ndanda Hospital si Serikali
 
hilo la hospital ya rufaa mbona ishajengwa tayari mkuu. NEnda pale mikindani utaiona.
Yes. Ni baada ya miaka 60. Na baada ya kumaliza kanda zote kujemgwa. Fikiria reli itakuja mwaka gn ikiwa sasa serikali INA deni la tri 78. Tusubiri kiama kama kusini hawatofanya maamuzi magumu
 
Mkuu mimi nakubali kabisa kwamba serikali ya majimbo ina faida tele sana,sijakataa hilo sehemu yoyote ile naomba unifahamu tena mkui,sijakataa kwamba serikali ya majimbo ina faida sana tu.

Hapa unakubali kwamba kuna mikoa imeendelea kupita kusini,lakini unasahau kuwa mikoa hiyo imeendelea bila hata ya hiyo serikali ya majimbo.

Kwa maana kama mikoa mingine imeweza kupiga hatua bila serikali ya majimbo basi na kusini pia tunaweza kuendelea bila kutegemea mfumo huo wa majimbo ambao mpaka serikali itake au ije swrikali mpya.



Sio kweli kaka.

Angalia takwimu vijana waliokuwa na elimu kusini ni wachache sana ukilinganisha na vijana wasiokuwa na elimu kusini huko.

Shule ambayo mimi nilisoma waliofanikiwa kwenda A level na kumaliza masomo walikuwa ni watu hawazidi 13 na tulikuwa wanafunzi zaidi ya 100,hiyo ni kusini shule ya mjini sio kijijini,na hiyo shule ilijitahidi kufanya vizuri

Shule hiyo hiyo form four wa mwanzo kuhitimu hakwenda hata mmoja form five na kupata elimu ya juu.

Wakati huo huo mpaka hivi leo hakuna utofauti mkubwa wa vijana kwenda A level ukilinganisha na zamani.

Shule mpaka 2009 shule za sekondari mikoa ya lindi zilikuwa ni chache,hii ina maana ya k2amba vijana wengi walikosa elimu na wakakosa na sifa ya kuajirika.

Hivyo kusema kwamba serikali imewanyjma nafasi huu ni uongo wa wazi na haya ni maneno ambayo utazidi kuwafanya watu wa kusini waone kuwa kumbe tatizo sio wao bali serikali,inaonesha hujayaishi maisha ya kusini,mimi nimelelewa kusini kwa zaidi ya miaka 18 maisha tu ndio yamenifanya niwe mbali ila huwa ni nyumbani naenda sana tu mpaka kesho wazazi wangu wapo huko.





Mkuu hakuna aliyepinga serikali ya majimbo naomba uelewe tena.

Ninachopinga ni kuona kwamba serikali ya majimbo ndio suluhisho la kwanza kwa maendeleo ya kusini wakati kuna mikoa imeendelea bila hizo serikali za majimbo ?

Badala yake tutafute njia ambazo zitakuwa hazisubiri idhini ya serikali,kwa sababu ishu ya majimbo ikiwa itachukua muda mrefu ina maana wana kusini waendelee kubweteka tu wakisubiri miujiza ya serikali ya majimbo ?

Hapana watafute njia zingine za kusolve hii ishu

Nafurahi kuona kuwa tunaanza kukubaliana kuhusu umuhimu was Wana kusini kuwa na jukwaa huru la kujiamulia yale tunayoamini ndio mustakbali wetu badala ya kuridhika na kukisubiri kikundi cha watu wengune watufanyie maamuzi kwa niaba yetu.

Kuna mambo machache hatujaelewana au hujanielewa.


1. ..... kama mikoa mingine imeweza kupiga hatua bila serikali ya majimbo basi na kusini pia tunaweza kuendelea bila kutegemea mfumo huo wa majimbo ambao mpaka serikali itake au ije swrikali mpya.

Maoni mbadala: nimesema mikoa yote unayoona imepiga hatua serikali iliwekeza. Serikali ikiwekeza mzunguko was pesa unaongezeka. Hoja yangu hatuwezi jifananisha na mikoa ambayo serikali iliwekeza dhidi ya mikoa ambayo serikali imeisahau. Haya kwenye boxing mabondia hawawezi kupiganishwa kama wana tofauti ya uzito mkubwa. Huwezi kushindanisha shule ya ilboru na madangwa sekondari. Wakati serikali iliwekeza ilboru. Ili nasi tupige hatua lazima tutafute mbadala kwa kuitafuta serikali ambayo itawekeza. Na mbadala huo ndio serikali ya majimbo ambayo kimsingi unaiamini. Sasa kama serialikali inapatikana kila baada ya miaka mitano. Kuna ubaya gn sisi tukajipanga sasa kuanzalisha jukwaa au chama chenye kutetea maslahi ya wana kusini. Ili chama kilicho madarakani kiamue kuendelea kutoipa kipaumbele kanda yetu na wakose kura zetu kwa kukichagua chama tutachosajili chenye kutaka mfumo wa majimbo.?!?!? Nasisitiza tens mikoa iliyoendelea haikuendelea kwa kuwa wao ni hodari na sisi ni wavivu laa! Imeendelea kwa kuwa serikali iliwekeza kwayo na umasikini was wana kusini ni was kulazimishwa watu wawe masikini kutokana na kusahauliwa na serikali. Na tumesahauliwa na serikali kwa kuwa sisi wenyewe tumelala.


Nafasi za kazi serikali 90% zikachukuliwa na wageni. Sio kwa sababu vijana hawana weledi laa, kwasababu ajira wanapeana kwa kujuana na Sera ya nchi ya ajira inaruhusu kufanywa wanayofanya.

Hili kuna malalamiko juu ya upendeleo. Zikitoka nafasi za polisi au jeshi, wengi wanaochukuliwa ni watoto wa maaskari. Hivyo hata kama mapungufu ni ya watendaji, lawama tutazitupia serikali. Niliwahi kuzungumza na MTU mmoja alinambia zilitokea nafasi za 50. Kati nafasi hizo wenyeji waliobahatika hawakuzidi 5.

Kama utakuwa umenielewa naamini utakubaliana na Mimi kuwa milango ifunguliwe kwa kila wazo litakalopelea kusini kusisahauliwe ikiwemo mchakato was kuanzisha chama chenye kupigamia maslahi ya kusini. Ili kila mpiga kuwa apige kura ya maslahi yake badala ya kung'ang'nia vyama viliopo ambavyo havina au havipiganii maslahi yyt ya wana kusini
 
Mimi nafikiri watu wa kusini ni watu wazuri sana.

Ni kweli wamesahaulika sana. Ni waaminifu, waadilifu, wazalendo simple sana.

Wakipata Elimu wataisadia sana hii nchi. Tatizo hii nchi haijawekeza vya kutosha kusini.

Vyuo vijengwe, elimu isisitizwe unajua nina interest za kutosha huko, nimesaidia kujenga shule, hospitali.

Naongelea na mama ntilie ananiambia sasa nafanyaje kijana wangu hataki kwenda shule, naongeo na mtoto anasema shule is boring.

Muhimu kufanya shule ziwe zinawafunza watoto/ vijana wa kiume vitu vyenye faida ya moja kwa moja.

Mfano kujifunza kilimo cha kisasa, kutumia mbolea sahihi,trekta masoko.

Muhimu zaidi ni elimu ya pesa. Financial literacy. Sababu wengi wao sio maskini kivile,hawajui kutumia pesa.

Pia kufundisha kusisitiza umuhimu wa Familia. Baba, mama, watoto kukaa pamoja. Wanawake wanachacharika sana, wanaume wanaendesha wakipata pesa kulewa,kuzalisha,kutojali, wanasepa.
Mtoa mada anatafuta ugomvi ulipo,serikali ndo imelala lakin sio watu was kusini,labda kama kalaliwa yeye!
 
Nadhani niseme nimeshindwa kukushawishi ili nawe ushawishi
Wengine..

Labda nikueleze kwa kutumia lugha ya kiuchumi kueleza faida ya serokali ya majimbo ktk zama hizi na kwa jamii ya watu waliolala.

Ni hivi nchi yetu imeingia ktk uchumi wa kati wa chini (lower middle-income economies - those with a GNI per capita between $4,046 and $12,535 (2021). Uchumi wa kati wa chini ni maana wake wasatani wa pato LA mtu mmoja mmoja ni laki 7 kwa mwexi. wenye uhakika was kupata walau sh laki 7 kwa mwezi. Kwa tz watu hao ni waajiriwa peke yao. Ajira za serikali kwa zaidi ya 90% kusini zimechukuliwa na wageni. kwa Mikoa unayoona imepiga hatua ya maendeleo ni ile ambayo INA vijana waliojiriwa na seikali na sekta binafsi. Kwa maana kwa makusudi serikali iliamua kuweza huko ktk elimu, afya viwanda nk

Na kwa makusudi serikali iliwabaguabaadhi ya kanda ikiwemo na kwa kiasi kikubwa ya kusini. Nafasi za kazi serikali 90% zikachukuliwa na wageni. Sio kwa sababu vijana hawana weledi laa, kwasababu ajira wanapeana kwa kujuana na Sera ya nchi ya ajira inaruhusu kufanywa wanayofanya.

Suala LA pili muhimu ni hili.... Jamii yyt ikitaka ijikwamue na isonge mbele lazima iwe na mirija yakuingiza pesa. Mfumo was serikali kuu umekata mirija yote ya kuingiza pesa kwa halmashauri. Matokeo yake mapato yote ya serikali yanakwenda hazina kuu na rais na ndie anaeamia wapi ziende sh ngapi.

Kwa vigezo hivi viwili nakwa jamii iliyolala kutaka kupita njia ambayo jamii iliyoamka imepitia tens kwa nguvu na maamuzi ya kisiasa.Nanyi mpite bila ya kutumia nguvu ya kisiasa ni kanuni isiyokubalika.

Ni Serkali ya majimbo ndio itaweza kutupitisha njia hiyo.

Serikali za majimbo hupewa nguvu na Uhuru zaidi huwalazimu 75% ya ajira kipaumbele wanapewa wazawa was kanda husika ktk nafasi zote nyeti. Mfano huo unaweza kuona ktkserikali ya jimbo LA znz katiba ya Kenya na nigeria. Hii inamaana kwamba serokali ya majimbo italazimisha mchakato wa ajira uangaliwe upya kwa kusinu utakuwa na manufaa makubwa kwao hivyo nao kuweza kuendeleza miji yao.

Serikali ya majimbo inapewa nguvu na mamlaka ya kukusanya mapato na 75% hayo yatumike ndani jimbo/kanda. Na 25% yanakwenda serikali kuu.

Bado tu huoni faida ya serokali ya majimbo na kuanziaha jukwa litaloelimisha na Kuhamasha wanakusini na watz kwa ujumla kipindi cha uchaguzi kupiga kura na tuchague chama ambacho kitabadili muundo wa serikali kutoka serikali kuu hadi serikali za majimbo yenye Uhuru zaidi was kujiamulia mambo yao wenyewe
Umeandika pumba kabisa..kwamba nafasi za ajira za watu wa kusini zinachukuliwa na wageni?kwahiyo kusoma hamtaki..elimu mnakomea la saba mnaolewa na kuja kuwa mamachinga dsm..manataka madaktari..wahasibu watokee wapi..?somesheni watoto acheni kulia lia.

#MaendeleoHayanaChama
 
Kusini kumesahaulika kwa kweli. Hata huduma muhimu kama umeme na maji bdo hazijasambaa kwa wqnanchi wengi.

Chukua mfano wa wilaya ya Mbinga mjini. Badhi ya maeneo yaliyo ndani ya mamlaka ya mji hayana hata umeme.

Na jinsi watumishi wa maeneo hayo walivyojisahau, kusini kutaendelea kuwa nyuma kwa miaka mingi ijayo.
Acha uong Mbinga imeendelea na inaendeled vizuri katika maeneo mengi kuliko wilaya nyingi, japo haijulikani Sana
 
Kuna Mzee wa mmmoja alinipa ushauri na nakwambia leo chukua hii;
Popote utakakuwa kulingana na Jiografia utakayoikuta usikae eneo la Kusini lina Mambo yake.
Mfano.
Tanzania Kusini kuna Lindi, Mtwara nk. Ambayo huwezi linganisha na Arusha na Kili vya Kaskazin
Bara la Afrika Kusini kuna Swaz, Zimba, Tanza, SA nk ambazo kamwe huwezi zilinganisha na Egypt na Morroco za Kaskazin
Mwili wa Binadam kusini kuna Nyayo, visigino nk ambavyo kamwe huwez linganisha na Kichwa kule Kaskazin.
Hata kwenye Kijiji chako eneo lililo Kusini ni Maskini na lina mambo ya ovyo ovyo kulinganisha na Kaskazini
Huyo babu yako angechagua kuishi SOUTH AFRICA kwanini amekaa hapa BONGO. Wewe na mzee wako wote hamko sawa kichwani.
 
Hahaha hospital ya rufaa ndio kwanza inajengwa mtwara baada ya miaka 60.

St Benedict Ndanda Hospital si Serikali
Hujui wewe, nilikuwa huko siku si nyingi, Wana hospitali kubwa na mpya ya Kanda ipo Mikindani, wana soko kubwa liko sawa na la Ndugai kwa kila kitu, bandari imepanuliwa barabara za uhakika, kwenda wilaya zote kasoro kutoka Nanyamba mpaka Newala kutokea Masasi ambapo tayari wamepelekewa pesa. Uwanja wa ndege wanao ambapo hata uko sawa na tu na ule wa Dom, Umeme uhakika, hakuna mikoa yenye uhakika wa UMEME NCHI HII KUSHINDA LINDI NA MTWARA, MAJI HAKUNA MGAO. SIJUI KUSINI MNAMAANISHA WAPI.
MAANA HATA MANYARA NI KASKAZINI NA KUKO HOVYO MARADUFU.
 
Umeandika pumba kabisa..kwamba nafasi za ajira za watu wa kusini zinachukuliwa na wageni?kwahiyo kusoma hamtaki..elimu mnakomea la saba mnaolewa na kuja kuwa mamachinga dsm..manataka madaktari..wahasibu watokee wapi..?somesheni watoto acheni kulia lia.

#MaendeleoHayanaChama
Mkuu nikuulize hivi kipindi wachaga walipojazana TRA inamaana makabila mengine yalikuwa hayajasoma?!?!

Au ktk awamu iliyopita pale Sukuma walipojaa kila idara za serikali na ktk nafasi nyeti za kufanya maamuzi INA maana makabila mengine hayakuwa yamesoma?!?!

Suala LA jamii ya kusini kusoma sasa no historia.

Hakuna nafasi yyt ya ajira ambayo kwasasa 90% imeshikwa na wageni ambayo wana kusini hawana vigezo vya elimu kukamata nafasi hiyo.

Tena sio kusini Bali watu was kata moja tu wanaweza kufit ktk nafasi hata 50 zikitangazwa. Familia yangu tu tuko wenye first degree zaidi ya 10 masters zaidi ya 5. Binafsi niliwahi mfundisha mkurugrnzi was wilaya ambae elimu take ilikiwa ni form iv. Ndugu yangu ambae alikuwa akifanya field sehemu, baadae sehemu hiyo wakatangaza ajira. Lkn awamu ya pili ya kuitwa kwenye interview yeye hakuitwa, hadi bosi was ile taasisi tens ya seriksli akashangaa. Akamshauri aandike barua kwa katibu mkuu kupeleka malalmiko yake. Katibu mkuu akatoa agizo aitwe kwenye awamu ya pili ya interview na matokeo take akapata ajira.

Nachotaka kusema kuna asilimia kubwa ya watumishi so waadilifu. Wanafanya upendeleo na ubaguzi. Wachachr sana in werevu.

Kuwepo kwa zaidi ya 90% ya wafanyazi wageni kanda ya kusini si bahati mbaya. Si kwakuwa hakuna wenye kufit nafasi hizo kwa wenyeji Bali kuna upendeleo, kuna kushikana mikono, Luna ugod father. Hats wakusini wasome VP maadam chumba cha interview wamekaa wageni watupu nafasi hizo zitaendela kutwaliwa na wageni. Na hakuna njia nyingine ya kubadili mfumo huu ila kuwepo na serikali za majimbo.
Ambapo mfumo wa ajira unasimamiwa na madiwani. Unaweza kuuliza madiwani wana nafasi gn kuwaintetview watu wenye taaluma zao. Ni hivi wataalamu was fani wanakuwepo lkn wenye kufanya maamuzi in madiwani.
Na sharti kuu wenyeji lazima wawe zaidi ya 75%. Hili ni sharti.

Else mtaendelea kuwazuga wana kusini wajihisi kweli hawastahili kuajiriwa kwa sababu zile zinazojulikana "zilipendwa"

Yuki ndugu yangu aliyoa takwimu za miaka 7 - 10 iliyopita kuwa eti darasani weneji waliofaulu hawakuzidi 10. Kwa takwimu kama hiyo ukizidisha miaka 10 ambayo serikali haikutangaza ajira manake idadi hiyi sasa imefika watu zaidi ya 100 wana taaluma xao lkn hawana ajira.

Kusini inapaswa kuamka kutoka ktk usingizi mzito na macho yaliyojaa matongotongo.
 
𝗪𝗮𝘁𝗮𝗻𝗴𝗮𝗻𝘆𝗶𝗸𝗮 𝘄𝗼𝘁𝗲
 
Tokea Uhuru hakuma mradi wowote wa maendeleo ulioanzia mikoa ya kusini mwa tz . Kusini imekuwa nyuma na ya mwisho kufikirika ktk kila mradi. Miaka 25 - 30 iliyopita serikali ilijinadi kuwa hauna uwezo was kupoleka maendeleo kwa kila mkoa kwa wakati Mmoja.

Na kwakua ilikuwa ndio miaka 30 tokea Uhuru wananchi was kusini walikuwa na matumaini kuwa Siku zao ya kupelekewa maendeleo. Hata hivyo walikaa tens miaka 20 zaidi ndipo wakaambulia kupata barabara ya lami inayounganishana jiji la dar.

Ule usemi kuwa serikali haihangaiki na jamii zilizo lala nakubaliana nao kwa asilimia zote.

Miradi yote mikubwa ikiwemo hospitali ya rufaa kusini hakuna tokea Uhuru

Chuo kikuu au tawi lake hakuna tokea Uhuru

Kuna mradi huu wa reli SGR kusini hawafikiriwi kabisa wakati kanda nyingine hii wakipelekewa awamu ya pili ya reli. kusini sio tu hawajafikiriwa lkn wenyewe pia hawajitambu, wamelala fofofo.

Ukweli ni kuwa jamii yangu ya watu was kusini wanafurahisha na wanasikitisha na wanahitaji maombi ya haraka kutoka kwa watz.

Wanafurahisha na kusikitisha kwasababu; kusini ndio jamii pekee ambayo ccm inavuma kura nyingi wakati wa uchaguzi na huwa ni watu was mwisho kupelekwa maendeleo na serikali hii ya ccm.


Unaweza kuuliza kuna faida itapatikana ikijengwa reli kusini.

kuna rasilimali na bidhaa muhimu ambayo kama ingesafirisha kwa reli bidhaa hizo zingenuaisha watz walio wengi. Bidhaa hizo no pamoja na cement ambapo kwasasa kina zaidi ya maloli 1000 na hivyo kupelekea barabala ya lami kushindwa kuhimili uwingi na ujazo was maloli endapo kiwanda kingezalisha ktk uwezo wake halisi, kuna makaa ya mawe kuna uranium ambazo michakato ya uzalishaji bado inasuasua. Bila shaka uwepo was reli umgesisimua miradi hii mikubwa.

Jana Mh SSH ameshuhudia utiwaji saini mkopo was pesa kwa ajili ya wa ujenzi wa SGR kipande cha tatu kutoka Makutupora hadi Tabora chenye urefu wa kilometa 368, kitakachogharimu Dola za Kimarekani 1.908 Bilioni sawa na Sh4.41 trilioni kati ya Shirika la Reli Tanzania (TRC) na Yapi Merkez kutoka Uturuki.

Mkopo huu ambao kwa ujumla wake no zaidi tri 14 watu wa kusini watakuwa in wasindikizaji na walipaji wakuu wa deni hili lisilo na faida yyt kwao.

Sijaja hapa kulia lia kama watz wengine bali huu in Uamsho kwa kwa waliolala fofofo. AMKENI


Ukweli nimechokoza mada hii kwa kuwa Nina njia niliyofikiria ni muarubali wa mabadiliko ktk jamii ya wakusini.

Hata hivyo nilitaka kusikia kutoka kwa wadau wenyewe kabla sijaleta mwelekeo wa njia mpya ya kutembea nayo.

Hadi sasa sijapata wazo mbadala zaidi ya kauli zinazoonyesha unyonge kutoka kwa wadau.

Mwelekeo sahihi.

Chanzo cha tatizo nini:-

Kuelekea kupata suluhisho lazima tujue chanzo kikuu cha tatizo mini, lazima tujue tulipojikwaa na sio tulipoangukia.

Kikwazo kikubwa kimojawapo cha kanda ya kusini kusahaulika ktk masuala maxima ya maendeleo ni kuwa Tanzania ni kubwa na mfuno was serikali kuu hauna na wala hautapata uwezo was kupeleka maendeleo Tanzania yote. Mfumi huu unalazimisha kuwepo ubaguzi kwa baadhi ya kanda.

Kuendelea kukumbatia mfumo huu wa utawala was Serikali kuu kwa jamii ya watu wa kusini, Mfumo ambao ushakuwa mkongwe wa miaka zaidi 60 ya Uhuru. Kuuendelea kuuegemea ni sawa kuupa sapoti mgomba dhaifu ukizaa mkungu mkubwa wa ndizi ili usinguke unazuia na nguzo. Lkn ndizi hizo zikishakomaa hupati manufaa yake. Serikali kwasasa ccm imeelemewa na maitaji ya wa tz. Lkn kubwa zaidi imeelemewa na madeni kiasi kwambainaelekea kuvuka mstari wa kukopesheka.

Mwelekeo
Ni lazima jamii iamke usingizini wa fofofo na ifanye Maamuzi magumu, maamuzi mapya, lkn lazima yafanyike maamuzi magumu. Kwa kuukataa mfumo huu ulioelemewa.

Vyama vyote vinavyoamini mfumo was serikali kuu vikataliwe. Vyama vinavyoamini mfumo wa serikali tatu pia hauna faida kwa wana kusini. Tunahitaji mfumo ule wa kikoloni na baada ya Uhuru. Mfumo wa seriKali za Majimbo ambapo kusini lilijulikana kama Southern Province. Kwa lugha nyepesi lazima wanakusini waunganishe nguvu na kusimama au kuanzisha chama kitakachi amini na kusimamia mfumo wa serikali za majimbo yatakayokuwa na Uhuru zaidi wa kujiamulia mambo yao wenyewe.

Jambo hili so geni na wala halitakuwa geni. Kwasasa serikali ya ccm imelipatia nguvu na Uhuru zaidi jimbo moja tu la znz. Tunahitaji chama ambacho kitazipa nguvu Majimbo na uhuru was kujiamulia uchumi wao, utamaduni wao, elimu yao, mambo yao ya kijamii nk

kila jimbo lihodhi 75% ya rasilimali zake. 25% ziende serikali kuu kwa ajili ya kujiendesha na kwa ajili ya kusaidoa majimbo yasiyo na rasilimali yajitengenezee artificial rasilimali. Eg elimu maalum kama ya engineering au IT.

Hakuna haja kukumbatia chama Kama bendera kufata upepo. Kipindi Fulani nilikwenda kufanya kijiutatfiti kwa kuwauliza kwann mmetoka CUF na kwenda ACT wengi walijibu tumemfata Maalim . nikawauliza maalim akishinda urais znz jamii ya watu wa kanda ya kusini mtafaidika vp urais wa Maalim Seif (Mungu Amrehemu) hawakuwa na jibu. Hawakuwa na jibu kwa kuwa Maalim seif alijipambanua kuwa anapigania Uhuru zaidi wa znz kujiamulia mambo yao wenyewe.

Ndugu zangu najua wamenielewa lkn watakuja na swali moja kuuliza. Sasa kama tutaipunguzia nguvu serikali kuu sasa hayo madeni ya tri 71 ya serikali kuu atalipa nani!??

Jibu rahisi ni guys mind ur business. Else majimbo husika yaliyonufaika na madeni hayo ndio watakuwa walipaji wakuu. Nawatalipa kulingana na faida kayozaliswa na miradi hiyo.

Ndugu zangu hili wazo linaingia akilini, je linatekelezeka?

R U ready U my fellow guys kufata njia hii
Tokea Uhuru hakuma mradi wowote wa maendeleo ulioanzia mikoa ya kusini mwa tz . Kusini imekuwa nyuma na ya mwisho kufikirika ktk kila mradi. Miaka 25 - 30 iliyopita serikali ilijinadi kuwa hauna uwezo was kupoleka maendeleo kwa kila mkoa kwa wakati Mmoja.

Na kwakua ilikuwa ndio miaka 30 tokea Uhuru wananchi was kusini walikuwa na matumaini kuwa Siku zao ya kupelekewa maendeleo. Hata hivyo walikaa tens miaka 20 zaidi ndipo wakaambulia kupata barabara ya lami inayounganishana jiji la dar.

Ule usemi kuwa serikali haihangaiki na jamii zilizo lala nakubaliana nao kwa asilimia zote.

Miradi yote mikubwa ikiwemo hospitali ya rufaa kusini hakuna tokea Uhuru

Chuo kikuu au tawi lake hakuna tokea Uhuru

Kuna mradi huu wa reli SGR kusini hawafikiriwi kabisa wakati kanda nyingine hii wakipelekewa awamu ya pili ya reli. kusini sio tu hawajafikiriwa lkn wenyewe pia hawajitambu, wamelala fofofo.

Ukweli ni kuwa jamii yangu ya watu was kusini wanafurahisha na wanasikitisha na wanahitaji maombi ya haraka kutoka kwa watz.

Wanafurahisha na kusikitisha kwasababu; kusini ndio jamii pekee ambayo ccm inavuma kura nyingi wakati wa uchaguzi na huwa ni watu was mwisho kupelekwa maendeleo na serikali hii ya ccm.


Unaweza kuuliza kuna faida itapatikana ikijengwa reli kusini.

kuna rasilimali na bidhaa muhimu ambayo kama ingesafirisha kwa reli bidhaa hizo zingenuaisha watz walio wengi. Bidhaa hizo no pamoja na cement ambapo kwasasa kina zaidi ya maloli 1000 na hivyo kupelekea barabala ya lami kushindwa kuhimili uwingi na ujazo was maloli endapo kiwanda kingezalisha ktk uwezo wake halisi, kuna makaa ya mawe kuna uranium ambazo michakato ya uzalishaji bado inasuasua. Bila shaka uwepo was reli umgesisimua miradi hii mikubwa.

Jana Mh SSH ameshuhudia utiwaji saini mkopo was pesa kwa ajili ya wa ujenzi wa SGR kipande cha tatu kutoka Makutupora hadi Tabora chenye urefu wa kilometa 368, kitakachogharimu Dola za Kimarekani 1.908 Bilioni sawa na Sh4.41 trilioni kati ya Shirika la Reli Tanzania (TRC) na Yapi Merkez kutoka Uturuki.

Mkopo huu ambao kwa ujumla wake no zaidi tri 14 watu wa kusini watakuwa in wasindikizaji na walipaji wakuu wa deni hili lisilo na faida yyt kwao.

Sijaja hapa kulia lia kama watz wengine bali huu in Uamsho kwa kwa waliolala fofofo. AMKENI


Ukweli nimechokoza mada hii kwa kuwa Nina njia niliyofikiria ni muarubali wa mabadiliko ktk jamii ya wakusini.

Hata hivyo nilitaka kusikia kutoka kwa wadau wenyewe kabla sijaleta mwelekeo wa njia mpya ya kutembea nayo.

Hadi sasa sijapata wazo mbadala zaidi ya kauli zinazoonyesha unyonge kutoka kwa wadau.

Mwelekeo sahihi.

Chanzo cha tatizo nini:-

Kuelekea kupata suluhisho lazima tujue chanzo kikuu cha tatizo mini, lazima tujue tulipojikwaa na sio tulipoangukia.

Kikwazo kikubwa kimojawapo cha kanda ya kusini kusahaulika ktk masuala maxima ya maendeleo ni kuwa Tanzania ni kubwa na mfuno was serikali kuu hauna na wala hautapata uwezo was kupeleka maendeleo Tanzania yote. Mfumi huu unalazimisha kuwepo ubaguzi kwa baadhi ya kanda.

Kuendelea kukumbatia mfumo huu wa utawala was Serikali kuu kwa jamii ya watu wa kusini, Mfumo ambao ushakuwa mkongwe wa miaka zaidi 60 ya Uhuru. Kuuendelea kuuegemea ni sawa kuupa sapoti mgomba dhaifu ukizaa mkungu mkubwa wa ndizi ili usinguke unazuia na nguzo. Lkn ndizi hizo zikishakomaa hupati manufaa yake. Serikali kwasasa ccm imeelemewa na maitaji ya wa tz. Lkn kubwa zaidi imeelemewa na madeni kiasi kwambainaelekea kuvuka mstari wa kukopesheka.

Mwelekeo
Ni lazima jamii iamke usingizini wa fofofo na ifanye Maamuzi magumu, maamuzi mapya, lkn lazima yafanyike maamuzi magumu. Kwa kuukataa mfumo huu ulioelemewa.

Vyama vyote vinavyoamini mfumo was serikali kuu vikataliwe. Vyama vinavyoamini mfumo wa serikali tatu pia hauna faida kwa wana kusini. Tunahitaji mfumo ule wa kikoloni na baada ya Uhuru. Mfumo wa seriKali za Majimbo ambapo kusini lilijulikana kama Southern Province. Kwa lugha nyepesi lazima wanakusini waunganishe nguvu na kusimama au kuanzisha chama kitakachi amini na kusimamia mfumo wa serikali za majimbo yatakayokuwa na Uhuru zaidi wa kujiamulia mambo yao wenyewe.

Jambo hili so geni na wala halitakuwa geni. Kwasasa serikali ya ccm imelipatia nguvu na Uhuru zaidi jimbo moja tu la znz. Tunahitaji chama ambacho kitazipa nguvu Majimbo na uhuru was kujiamulia uchumi wao, utamaduni wao, elimu yao, mambo yao ya kijamii nk

kila jimbo lihodhi 75% ya rasilimali zake. 25% ziende serikali kuu kwa ajili ya kujiendesha na kwa ajili ya kusaidoa majimbo yasiyo na rasilimali yajitengenezee artificial rasilimali. Eg elimu maalum kama ya engineering au IT.

Hakuna haja kukumbatia chama Kama bendera kufata upepo. Kipindi Fulani nilikwenda kufanya kijiutatfiti kwa kuwauliza kwann mmetoka CUF na kwenda ACT wengi walijibu tumemfata Maalim . nikawauliza maalim akishinda urais znz jamii ya watu wa kanda ya kusini mtafaidika vp urais wa Maalim Seif (Mungu Amrehemu) hawakuwa na jibu. Hawakuwa na jibu kwa kuwa Maalim seif alijipambanua kuwa anapigania Uhuru zaidi wa znz kujiamulia mambo yao wenyewe.

Ndugu zangu najua wamenielewa lkn watakuja na swali moja kuuliza. Sasa kama tutaipunguzia nguvu serikali kuu sasa hayo madeni ya tri 71 ya serikali kuu atalipa nani!??

Jibu rahisi ni guys mind ur business. Else majimbo husika yaliyonufaika na madeni hayo ndio watakuwa walipaji wakuu. Nawatalipa kulingana na faida kayozaliswa na miradi hiyo.

Ndugu zangu hili wazo linaingia akilini, je linatekelezeka?

R U ready U my fellow guys kufata njia hii
Sijui kama hii article ina ukweli. Unakaa mikoa ya Lindi na Mtwara? Fikiria upanuzi wa bandari ya Mtwara, kiwanja cha ndege, kiwanda cha cement, uchimbaji wa gesi,wakulima wa korosho kupewa pembejeo bure, daraja la mkapa etc
 
Tanzania ni kubwa aisee
Kama vipi iwepo a na b
Itakuwa rahisi kwa maendeleo kupatikana
 
Hujui wewe, nilikuwa huko siku si nyingi, Wana hospitali kubwa na mpya ya Kanda ipo Mikindani, wana soko kubwa liko sawa na la Ndugai kwa kila kitu, bandari imepanuliwa barabara za uhakika, kwenda wilaya zote kasoro kutoka Nanyamba mpaka Newala kutokea Masasi ambapo tayari wamepelekewa pesa. Uwanja wa ndege wanao ambapo hata uko sawa na tu na ule wa Dom, Umeme uhakika, hakuna mikoa yenye uhakika wa UMEME NCHI HII KUSHINDA LINDI NA MTWARA, MAJI HAKUNA MGAO. SIJUI KUSINI MNAMAANISHA WAPI.
MAANA HATA MANYARA NI KASKAZINI NA KUKO HOVYO MARADUFU.
We jamaa kusini ulienda lini?mana kwa mawazo haya naweza sema ulikaa siku moja ukaondoka ndio umekuja na conclusion hiyo.

Kwa uzoefu wangu wa miaka mi4..maji na umeme ni matatizo common kwa watu wa kusini.

#MaendeleoHayanaChama
 
Mkuu nikuulize hivi kipindi wachaga walipojazana TRA inamaana makabila mengine yalikuwa hayajasoma?!?!

Au ktk awamu iliyopita pale Sukuma walipojaa kila idara za serikali na ktk nafasi nyeti za kufanya maamuzi INA maana makabila mengine hayakuwa yamesoma?!?!

Suala LA jamii ya kusini kusoma sasa no historia.

Hakuna nafasi yyt ya ajira ambayo kwasasa 90% imeshikwa na wageni ambayo wana kusini hawana vigezo vya elimu kukamata nafasi hiyo.

Tena sio kusini Bali watu was kata moja tu wanaweza kufit ktk nafasi hata 50 zikitangazwa. Familia yangu tu tuko wenye first degree zaidi ya 10 masters zaidi ya 5. Binafsi niliwahi mfundisha mkurugrnzi was wilaya ambae elimu take ilikiwa ni form iv. Ndugu yangu ambae alikuwa akifanya field sehemu, baadae sehemu hiyo wakatangaza ajira. Lkn awamu ya pili ya kuitwa kwenye interview yeye hakuitwa, hadi bosi was ile taasisi tens ya seriksli akashangaa. Akamshauri aandike barua kwa katibu mkuu kupeleka malalmiko yake. Katibu mkuu akatoa agizo aitwe kwenye awamu ya pili ya interview na matokeo take akapata ajira.

Nachotaka kusema kuna asilimia kubwa ya watumishi so waadilifu. Wanafanya upendeleo na ubaguzi. Wachachr sana in werevu.

Kuwepo kwa zaidi ya 90% ya wafanyazi wageni kanda ya kusini si bahati mbaya. Si kwakuwa hakuna wenye kufit nafasi hizo kwa wenyeji Bali kuna upendeleo, kuna kushikana mikono, Luna ugod father. Hats wakusini wasome VP maadam chumba cha interview wamekaa wageni watupu nafasi hizo zitaendela kutwaliwa na wageni. Na hakuna njia nyingine ya kubadili mfumo huu ila kuwepo na serikali za majimbo.
Ambapo mfumo wa ajira unasimamiwa na madiwani. Unaweza kuuliza madiwani wana nafasi gn kuwaintetview watu wenye taaluma zao. Ni hivi wataalamu was fani wanakuwepo lkn wenye kufanya maamuzi in madiwani.
Na sharti kuu wenyeji lazima wawe zaidi ya 75%. Hili ni sharti.

Else mtaendelea kuwazuga wana kusini wajihisi kweli hawastahili kuajiriwa kwa sababu zile zinazojulikana "zilipendwa"

Yuki ndugu yangu aliyoa takwimu za miaka 7 - 10 iliyopita kuwa eti darasani weneji waliofaulu hawakuzidi 10. Kwa takwimu kama hiyo ukizidisha miaka 10 ambayo serikali haikutangaza ajira manake idadi hiyi sasa imefika watu zaidi ya 100 wana taaluma xao lkn hawana ajira.

Kusini inapaswa kuamka kutoka ktk usingizi mzito na macho yaliyojaa matongotongo.
Hivi unajua hakuna kipindi watu wakusini walijaa serikalini kama kipindi cha mkapa..hususani idara za ulinzi na usalama.

Tukija hoja ya wasomi bado huwezi linganisha watu wa kusini na watu wa kaskazinj katika wingi wa wasomi wenye elimu za juu..

Hii hupelekea nafasi nyingi lts say 100 ukapata watu wa kaskazini 90 na watu wa kusini 10..hapo wenye chance ni kubwa ya kupata ni watu wa kaskazini..sio upendeleo ingawa waweza kuwepo...kama ulivyokuwepo serikali ya mkapa.

Kingine watu wa kusini hambebeki ndiomana hata marehemu mkapa aliamua kuwaacha tu mana mmejaa majungu na fitina..natakana kubebwa hata pasipobebeka.

Hoja ya majimbo ni nzuri sana wala siipingi..tambua serikali ili weka mfumo huu uliopo ili kuunganisha taifa na kuondoa matabaka ya ukabila..udini na ukanda..ambapo leo hii kijana wa newala anaenda kufanya kazi sengerema..

Sasa ukisema tuweke mfumo wa majimbo na kuajairi watu wa eneo husika tu huoni tunataka kurudi kule kule tulipotoka mana hakuta kua nakuchangamana tena...hivyo kutengeneza ubaguzi..hoja ya majimbo naweza iuinga mkono kwenye masuala ya kiuchumi na wala sio ajira..watu waajiriwe popote ndani ya nchi yao.

Wito: watu wa kusini hasa Mtwara na Lindi ondoeni ujinga na wivu kwa wasomi..pelekeni watoto shule wapate elimu waondoe ujinga.

#MaendeleoHayanaChama
 
Back
Top Bottom