HAKUNA KAMA TANZANIA

Hao wanaosoma kenya hawafiki ht ten percent ya raia wetu.
Halafu huko watu wamefata elimu tu sio maisha.
Maana kenya mna maisha magumu hakuna atayependa ishi huko.
Tungekuwa na maisha magumu ombaomba wenu hawangevamia mjtaa zetu kama nzige na bakuli mikononi! πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚
 
Tungekuwa na maisha magumu ombaomba wenu hawangevamia mjtaa zetu kama nzige na bakuli mikononi! [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Na nyie mngekuwa na maisha mazuri wananchi wenu tusingewasweka ndan huku Tz kwa wizi na ujambazi.
 

Unafahamu nini maana ya an isolated incidents.
Kenya kuna night runners, ina maana wakenya wote wako hivyo?
 
Kenya wakijua wewe ni mtanzania wazazi wa binti watafanya kila wawezalo kuhakikisha wanakuolesha visichana vyao, wanapapatikia sana vijana wa kitanzania sababu wanajua watoto wao ndio wameshatoka kimaisha hivyo
ATCL mtaikomboa lini huko SA? πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 

Ukishaoa kwa RITA kabisa huna cha kulipia kibali!

Acheni bangi!

Mtu akishaolewa ni basi,anakua na haki ya kuishi bila bughudha!

Acheni vituko!

Labda mseme β€œndoa” za mdomoni!

Yaani masuria!
 
Habari ya lini hii ya kuua albino?
Bado inaendelea mpaka sasa?
 
Nyang'au munawolewa cheaply ili mpate nafasi ya kuishi peponi
ATCL imekamatwa kule SA kwa sababu ya Madeni, yani Serikali yenu imeshindwa kulipa parking fees, fuel na cost zingine zinazohusika kuendesha Ndege πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ eti mkijarubu kushindana na Air Rwanda....hamuwezi wanyarwanda sembuse Air Uganda, KQ hata msiote...bure kabisa.
 
Siyo kweli
Ukweli ni kuwa Serikali ya Kenya imeipita Serikali ya Tanzania kwa mapato
Lakini watu wa Kenya ni masikini sisi wa Tanzania raia wengi tuna uwezo usitufananishe na nyie hatuwezi kutamani kuishi Kenya, Ethiopia,S Sudan nyie ndio mnatamani kuishi kwetu.
 
Hawa wajinga wanapenda kujidanganya sana na hii LDC yao wakati jamaa zao wanakimbilia kuishi Kenya kujimudu kimaisha. There's nothing worse than the lies you tell yourself .
Usituite wajinga jibu hoja
Hakuna mu Tanzania wa kawaida anatamani kuishi Kenya kwenye shida labda awe na uwezo aje kufanya biashara nyie raia ni maskini wakutupwa Serikali yenu ndio yenye uchumi
Uchumi wa Kenya ni wa mabwenyenye vigogo wachache tu
Kama una Dada tuozeshe upate maisha
 
Kama una Dada yako muozeshe Tanzania upate kuishi inchi ya maziwa na asali
 
Tungekuwa na maisha magumu ombaomba wenu hawangevamia mjtaa zetu kama nzige na bakuli mikononi! [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ukweli Kenya mna maisha magumu mno maisha ya wachache ndiyo yenye unafuu ila wa Tanzania wengi tunajimudu tuna ardhi nzuri mazingira rafiki hao omba omba ni wavivu wa kufanya kazi
 
Nakuhakishia baada ya miaka 5 tutawapita mbali sana
 
Una njaa dada ile ndege haitembezi mahindi naona mate yanakudondoka
 
Nakuhakishia baada ya miaka 5 tutawapita mbali sana
Mwenzakk Geza Ulole alisema hivo back in 2013, Sasa tuko 2019 gapa Kati yetu imekuwa kubwa kwa zaidi ya $30billion toka kwa chini ya $10billioni.πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…