Suzy Elias
JF-Expert Member
- Nov 9, 2021
- 1,067
- 6,200
Hilo utajua ww, sisi tunajua Mungu alituondolea yule kiongozi muovu bila damu kumwagika fullstop.Namaanisha hata Mungu anashuhudia!
Niwe wazi, hata kifo cha baba yangu sikuumia moyo kwa kiwango kama ilivyokuwa kwa Hayati Magufuli!
R.I.P JPM.
R.I.P BABA.
Namaanisha hata Mungu anashuhudia!
Niwe wazi, hata kifo cha baba yangu sikuumia moyo kwa kiwango kama ilivyokuwa kwa Hayati Magufuli!
R.I.P JPM.
R.I.P BABA.
Sio wewe tu ndugu. Mimi hadi leo nikikumbuka nasikiaga machozi[emoji24][emoji24][emoji24]Namaanisha hata Mungu anashuhudia!
Niwe wazi, hata kifo cha baba yangu sikuumia moyo kwa kiwango kama ilivyokuwa kwa Hayati Magufuli!
R.I.P JPM.
R.I.P BABA.
Wameanza mmoja mmoja kulipia...Hilo utajua ww, sisi tunajua Mungu alituondolea yule kiongozi muovu bila damu kumwagika fullstop.
Mpuuzi tu wewe!Hilo utajua ww, sisi tunajua Mungu alituondolea yule kiongozi muovu bila damu kumwagika fullstop.
Kumbe Wajane mpo wengi mbona hamkutangazwaNamaanisha hata Mungu anashuhudia!
Niwe wazi, hata kifo cha baba yangu sikuumia moyo kwa kiwango kama ilivyokuwa kwa Hayati Magufuli!
R.I.P JPM.
R.I.P BABA.
Utakuwa wewe sio mzima mkuu. Unahudhunishwa na kifo cha Magufuli kuliko kifo cha Membe? Utakuwa na tatizo kichwani sio bure!Namaanisha hata Mungu anashuhudia!
Niwe wazi, hata kifo cha baba yangu sikuumia moyo kwa kiwango kama ilivyokuwa kwa Hayati Magufuli!
R.I.P JPM.
R.I.P BABA.
Mungu mwema vifo vyao vinafafana na walichosema kilimuua.Jpm alibeba sauti za wanyonge, kauli zake zilibeba mamlaka.
Walimuua wakatoa maneno ya kejeli eti kafa kwa Covid-19.
Bullshit!
Mungu engineer.Utakuwa wewe sio mzima mkuu. Unahudhunishwa na kifo cha Magufuli kuliko kifo cha Membe? Utakuwa na tatizo kichwani sio bure!
Mtajuana huko huko kimya nyieWameanza mmoja mmoja kulipia...
Pia Leo katuondolea jitu jingineHilo utajua ww, sisi tunajua Mungu alituondolea yule kiongozi muovu bila damu kumwagika fullstop.
Utatulia tu we jizi la kura. Watu tuko happy kinoma.Mpuuzi tu wewe!
Ni jambo la sherehe kubwa.Pia Leo katuondolea jitu jingine