Pang Fung Mi
JF-Expert Member
- Nov 10, 2022
- 6,653
- 13,919
Pole sana mrembo nao safari yao imetia nanga majibu ni hapa hapa, Hukumu iko mkononi wa Watu wazuri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukiangalia watu wengi unaowasikia walihuzunishwa sna ni watu ambao hawana muelekeo wa maisha, watu wenye wivu na chuki kwa maendeleo ya wenzao. Sasa mtajinyonga kwasababu mpaka 2030 mtateseka sana
Furahi sana kaka! Vyeti feki vya unesi na ualimu.Utatulia tu we jizi la kura. Watu tuko happy kinoma.
Furahi sana kaka! Vyeti feki vya unesi na ualimu.
Jinga thana[emoji16][emoji16][emoji16]
Mimi Ile siku sikulala kabisa usingizi haukurudi tena Hadi asubuhi. Ila zile furaha za wanasiasa baadhi kunye Mitandao na kejeri juu ya kifo kile, zitafanya jereha kubwa Kwa Watanzania. RIP Membe. I'll ulikosea kusherekea kifo cha JPM.Namaanisha hata Mungu anashuhudia!
Niwe wazi, hata kifo cha baba yangu sikuumia moyo kwa kiwango kama ilivyokuwa kwa Hayati Magufuli!
R.I.P JPM.
R.I.P BABA.
Ni watanzania wengi tuliumia na bado tunaumia sana Suzy. Shujaa wa Tanzania amelala lakini anaendelea kuishi katika mioyo yetu. Pole kwetu soteNamaanisha hata Mungu anashuhudia!
Niwe wazi, hata kifo cha baba yangu sikuumia moyo kwa kiwango kama ilivyokuwa kwa Hayati Magufuli!
R.I.P JPM.
R.I.P BABA.
Wewe hujui baba yako ni nani ndiyo maana ulimlilia Magufuli. Nyie watoto wa malaya, mama zenu wanadanga mnazaliwa na hamjawahi kuona baba. Ni UHAYAWANI kumlilia Magufuli kama kweli ulikuwa na baba na hukulia alipokufa.Namaanisha hata Mungu anashuhudia!
Niwe wazi, hata kifo cha baba yangu sikuumia moyo kwa kiwango kama ilivyokuwa kwa Hayati Magufuli!
R.I.P JPM.
R.I.P BABA.
We mpumbavu unamuitaje Mgufuli baba? Ina maana na wewe hujui baba yako? Yote mitoto ya malaya hiiSio wewe tu ndugu. Mimi hadi leo nikikumbuka nasikiaga machozi[emoji24][emoji24][emoji24]
Endelea kupumzika baba[emoji120][emoji120]
Sikushangai sana mimi kifo kilicho niumiza ni cha muammal gadafi
Jpm alibeba sauti za wanyonge, kauli zake zilibeba mamlaka.
Walimuua wakatoa maneno ya kejeli eti kafa kwa Covid-19.
Wakenda mbali wakasema wazuri hawafi!
Allah amenyakua mmojawapo! Jina lake lihimidiwe.
Bullshit!
Wazuri hawafiWameanza mmoja mmoja kulipia...
Nenda kamuulize mama yako akuonyeshe baba yako halisi. Huwezi kulialia hovyo kwa mtu ambaye huna DNA naye. Ni upimbi pia.Namaanisha hata Mungu anashuhudia!
Niwe wazi, hata kifo cha baba yangu sikuumia moyo kwa kiwango kama ilivyokuwa kwa Hayati Magufuli!
R.I.P JPM.
R.I.P BABA.
Mlikua mnafahamiana in personal? Duh kwamba hata cha baba hakikuuma .ni baba mzazi au wakufikia?Namaanisha hata Mungu anashuhudia!
Niwe wazi, hata kifo cha baba yangu sikuumia moyo kwa kiwango kama ilivyokuwa kwa Hayati Magufuli!
R.I.P JPM.
R.I.P BABA.