mbongo_halisi
JF-Expert Member
- Apr 16, 2010
- 7,074
- 5,486
Kila Mtanzania alihuzunika na kifo cha Magufuli kasoro wale wezi tu waliopo serikalini pamoja na vibaraka wao huku mitaani kwani walizoea wizi usiodhibitiwa. Magufuli was a true leader!Namaanisha hata Mungu anashuhudia!
Niwe wazi, hata kifo cha baba yangu sikuumia moyo kwa kiwango kama ilivyokuwa kwa Hayati Magufuli!
R.I.P JPM.
R.I.P BABA.