Masalakulangwasa
JF-Expert Member
- Nov 28, 2022
- 354
- 436
Ungekufa naeNamaanisha hata Mungu anashuhudia!
Niwe wazi, hata kifo cha baba yangu sikuumia moyo kwa kiwango kama ilivyokuwa kwa Hayati Magufuli!
R.I.P JPM.
R.I.P BABA.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ungekufa naeNamaanisha hata Mungu anashuhudia!
Niwe wazi, hata kifo cha baba yangu sikuumia moyo kwa kiwango kama ilivyokuwa kwa Hayati Magufuli!
R.I.P JPM.
R.I.P BABA.
Kuna mawe pale ikulu dodoma unaweza kua unalala juu ya mawe kumuenziNamaanisha hata Mungu anashuhudia!
Niwe wazi, hata kifo cha baba yangu sikuumia moyo kwa kiwango kama ilivyokuwa kwa Hayati Magufuli!
R.I.P JPM.
R.I.P BABA.
Na leo kalale chooni kabisa tena choo kile cha shimo unamokunyaga maji yanakurukia matakonniMimi nililala nje kwenye baridi na Mbu bila net kwa furaha
Jpm usimfananishe na ccmWana ccm mna matatizo, mnavyoshangilia kifo cha membe utadhani ni mpinzani wakati ni mbobezi kutoka chama lenu kabisa
Wafu wazike wafu wao, maisha yanaendelea
Waliofariki wapumzike wanapostahili na kila mmoja aonje hukumu sawa na matendo yake hapa duniani
Tuko pamoja!Namaanisha hata Mungu anashuhudia!
Niwe wazi, hata kifo cha baba yangu sikuumia moyo kwa kiwango kama ilivyokuwa kwa Hayati Magufuli!
R.I.P JPM.
R.I.P BABA.
Wewe una akili ya mbwa siyo bure!Hilo utajua ww, sisi tunajua Mungu alituondolea yule kiongozi muovu bila damu kumwagika fullstop.
[emoji2]Aliyekufa kafa...
Sema kazana kumuombea tu awe kiongozi wa malaika huko mbinguni, na saizi yupo na Membe anatabu gani sasa!!!
Kumbe alikua chadema au ACT?Jpm usimfananishe na ccm
Kwa kuwa ulikua kimada wake kuumia lazmaNamaanisha hata Mungu anashuhudia!
Niwe wazi, hata kifo cha baba yangu sikuumia moyo kwa kiwango kama ilivyokuwa kwa Hayati Magufuli!
R.I.P JPM.
R.I.P BABA.
Na leo kalale chooni kabisa tena choo
kile cha shimo unamokunyaga maji yanakurukia matakonni
Pumbovo mkumbwa
Ziba masikio usukumbuke tenaSio wewe tu ndugu. Mimi hadi leo nikikumbuka nasikiaga machozi[emoji24][emoji24][emoji24]
Endelea kupumzika baba[emoji120][emoji120]
Kichaa ni wewe kama mwendazake.Mpuuzi tu wewe!
Namaanisha hata Mungu anashuhudia!
Niwe wazi, hata kifo cha baba yangu sikuumia moyo kwa kiwango kama ilivyokuwa kwa Hayati Magufuli!
R.I.P JPM.
R.I.P B
Eh aisee walivyomburuza kila Kona ya mji wakamvua nguoSikushangai sana mimi kifo kilicho niumiza ni cha muammal gadafi
We syo bashite kweli[emoji848][emoji848][emoji848]Mimi pia nilisikitika sana kwa msiba ule , taarifa ilinifikia yapata saa tano usiku nikiwa narudi toka kwny kibarua changu nikaamua kupitia bar ninywe chupa kadhaa kupunguza ule mshituko nikakuta mziki umezimwa na watu wakiwa wanatazama TV na wimbo wa taifa unaimbwa, huku baadhi ya wadada wakiwa wanalia , Apumzike kamanda sauti ya mwisho JPM.