Hakuna kifo kiliniumiza kama cha Magufuli

Hakuna kifo kiliniumiza kama cha Magufuli

Namaanisha hata Mungu anashuhudia!

Niwe wazi, hata kifo cha baba yangu sikuumia moyo kwa kiwango kama ilivyokuwa kwa Hayati Magufuli!

R.I.P JPM.

R.I.P BABA.
Kapimwe Akili milembe wengi wakiugua kichaa huonesha dalili za mwanzo kama wewe wahi mapema unaweza kupona.
 
Namaanisha hata Mungu anashuhudia!

Niwe wazi, hata kifo cha baba yangu sikuumia moyo kwa kiwango kama ilivyokuwa kwa Hayati Magufuli!

R.I.P JPM.

R.I.P BABA.
Ulikuwa unafaidika kibinafsi na uwepo wa Magufuli. Kuna watu kama wewe wengine waliugua wengine walizimia. Sabaya alilia machozi kama mtoto mdogo. Lakini ukweli utabaki pale pale kwamba Tanzania yetu ni shwari zaidi bila Magufuli.
 
Kwa wanufaika wote wa utawala wa awamu ya 5, mlistahili kabisa kulia na kusaga meno.

Ila kwa sisi wengine ambao miaka nenda hatuoni manufaa yoyote yale kutoka serikali ya ccm, tunaona sawa tu. Kiufupi no changes.
 
Namaanisha hata Mungu anashuhudia!

Niwe wazi, hata kifo cha baba yangu sikuumia moyo kwa kiwango kama ilivyokuwa kwa Hayati Magufuli!

R.I.P JPM.

R.I.P BABA.


Mimi nililala nje kwenye baridi na Mbu bila net kwa furaha
 
Jpm alibeba sauti za wanyonge, kauli zake zilibeba mamlaka.

Walimuua wakatoa maneno ya kejeli eti kafa kwa Covid-19.

Wakenda mbali wakasema wazuri hawafi!

Allah amenyakua mmojawapo! Jina lake lihimidiwe.

Bullshit!
Wanyonge gani?[emoji19]

Aliwafutia watu ajira zao kwa kigezo cha vyeti feki kibaya zaidi hakuwapa hata mia.
 
Sio wewe tu ndugu. Mimi hadi leo nikikumbuka nasikiaga machozi[emoji24][emoji24][emoji24]

Endelea kupumzika baba[emoji120][emoji120]
Wewe ni mwanaume ama mwanamke?

Kama ni mwanaume basi matokeo ya sensa kuhusu idadi ya wanaume inabidi wewe upunguzwe upelekwe upande wa pili.
 
Y
Jpm alibeba sauti za wanyonge, kauli zake zilibeba mamlaka.

Walimuua wakatoa maneno ya kejeli eti kafa kwa Covid-19.

Wakenda mbali wakasema wazuri hawafi!

Allah amenyakua mmojawapo! Jina lake lihimidiwe.

Bullshit

Wewe hujui baba yako ni nani ndiyo maana ulimlilia Magufuli. Nyie watoto wa malaya, mama zenu wanadanga mnazaliwa na hamjawahi kuona baba. Ni UHAYAWANI kumlilia Magufuli kama kweli ulikuwa na baba na hukulia alipokufa.
He he he! Mtotot wa Malaya!
 
Ulikuwa unafaidika kibinafsi na uwepo wa Magufuli. Kuna watu kama wewe wengine waliugua wengine walizimia. Sabaya alilia machozi kama mtoto mdogo. Lakini ukweli utabaki pale pale kwamba Tanzania yetu ni shwari zaidi bila Magufuli.
SUre sure! The man was a total disaster
 
Wewe hujui baba yako ni nani ndiyo maana ulimlilia Magufuli. Nyie watoto wa malaya, mama zenu wanadanga mnazaliwa na hamjawahi kuona baba. Ni UHAYAWANI kumlilia Magufuli kama kweli ulikuwa na baba na hukulia alipokufa.
Hahaha punguza hasira.. wanaomjua mama yako wakiweka hapa siri zake......
Hata hivyo mungu ameingilia kati..wacha watu wanywe bia
 
Back
Top Bottom