Barbarosa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 22,584
- 27,817
Sawa wametumia sheria ipi kuzuwia mikusanyiko? Kwa maana ya wapiga kura.
Ukituwekea vifungu halisi tutakuelewa.
Ipo sheria ya nchi inayozuia watu kukusanyika bila ya kibali, yaani kilichokatazwa ni baada ya kupiga kura kukaa kikundi mahali kwa maana ya kukusanyika hili haliruhusiwi na hiyo sheria ipo ya kuzuia kukusanyika kama huwa mnakusanyika kundi kubwa la watu mahali pamoja na hakuna kinachotokea ni kwamba wameamua kutowafwatilia tu rejea zamani wazururaji hovyo walivyokuwa wanakamatwa au watu wasiokuwa na kazi maalumu!
Na hii ni Dunia nzima kila nchi ina hizi sheria za kuzuia mikusanyiko ya watu bila ya kibali maalumu kutoka kwa wahusika, hivyo siyo jambo geni!