Rungu
JF-Expert Member
- Feb 23, 2007
- 3,932
- 1,726
Hivi kama chama tawala nacho kikiwahamasisha wapiga kura wao nao wakae umbali wa mita mia mbili ili kulinda kura zao itakuweje? Nyinyi Ukawa acheni uhuni wenu. Ni dhahiri kwamba baada ya kuona hamtashinda huu uchaguzi sasa mnatafuta njia za kuvunja amani. Hebu jaribuni kufanya hivyo na tuone.