Hakuna kinachotuumiza kichwa kama kazi anayoifanya Irene Uwoya

Hakuna kinachotuumiza kichwa kama kazi anayoifanya Irene Uwoya

Fanya kaz bro! Achana na ishu za kuchunguzana. Unapoteza time. Fainal uzehen.
 
Unasema Ana Kazi Zuri Tu Then Mda Huo Huo Unasema Haujui Kazi Yake
Kiukweli hakuna kitu kinachotuumiza kichwa kama chanzo cha mapato cha Irene Uwoya.

Nimejaribu kupeleleza sana haswa kwa watu wa karibu wa Irene Uwoya nipate kujua anafanya kazi gani lakini nimeambulia patupu.

Si mimi tu watu wengi sana tumekuws tukijiuliza mara kwa mara hivi huyu Mama Krish anafanya kazi gani?? Mbona kila siku mambo yake yanazidi kumnyookea na anazidi kutapanya pesa hovyo , imefika pahala hata shabiki akimuimba pesa kiutani utani haoni shida kumtumia laki 5 ,sita kawaida sana yani.

Kuna kipindi alikuwa na mchezo wa kuuliza viswali vidogo vidogo ukipatia anakualika mkapate chakula cha pamoja na hakuachi hivi hivi lazima akupe chochote kitu.Sasa
je swali linabaki pale pale huyu Irene anakazi gani mbona anazidi kutoboa kila kukicha???

Kuna kipindi nilidhani pub yake ndio kila kitu lakini nimekuja kugundua hategemei pub kuendesha maisha yake bali ana kazi nyingine nzuri tu, lakini najiuliza tena mbona kila muda yupo mtandaoni tu hiyo kazi anafanya muda gani?? Daaah, mnaojua mtujuze tafadhari.

View attachment 976305
 
Anauza mirungi ya muleba kithii-kenya muleba ardhi nono sana na haijaharibiwa kwa sababu sheria zetu haziruhusu miraa😂😂😂 🎄🎄🎄
 
Nafikiri mtoa mada anazinguliwa na fake life la insta....
Leo kavaa hivi...kesho anakula hoteli hii..

Hajui kama wanatumika kama mabango ya biashara.
Ni kweli kule intragram wana tanganza biashara ya nguo n.k
 
Mkuu wabongo wachukulie tu, yani ukikodi nyumba kwao tafsiri yao ndio huna kitu. Hafahamu kama ndio maisha ya kawaida kwenye ulimwengu.
Wanadhani kujenga ndiyo mafanikio. Watu hujenga ili kuindokana na kero za wapangaji au wenye nyumba wala hawajengi kama hatua ya maendeleo kiuchumi.
Ukishakuwa na lifetime projects na kipato cha uhakika huna hofu ya kukimbilia kujenga hasa mijini. Sehemu ya kujenga ni vijijini kwenye machimbuko yetu, mijini watu hupanga tu. Mazingira yakibadirika kuwa tofauti na utakavyo unahama, au vipaombele vyako vikibadirika unafanya kuhama na kutafuta kwingine patakapo kufaa au kama unajenga basi unajenga kwa sababu za kibiashara, hivyo unaweza ukajenga nyumba zako na bado ukaendelea kuishi kwenye nyumba ya kupanga.
 
Kiukweli hakuna kitu kinachotuumiza kichwa kama chanzo cha mapato cha Irene Uwoya.

Nimejaribu kupeleleza sana haswa kwa watu wa karibu wa Irene Uwoya nipate kujua anafanya kazi gani lakini nimeambulia patupu.

Si mimi tu watu wengi sana tumekuws tukijiuliza mara kwa mara hivi huyu Mama Krish anafanya kazi gani?? Mbona kila siku mambo yake yanazidi kumnyookea na anazidi kutapanya pesa hovyo , imefika pahala hata shabiki akimuimba pesa kiutani utani haoni shida kumtumia laki 5 ,sita kawaida sana yani.

Kuna kipindi alikuwa na mchezo wa kuuliza viswali vidogo vidogo ukipatia anakualika mkapate chakula cha pamoja na hakuachi hivi hivi lazima akupe chochote kitu.Sasa
je swali linabaki pale pale huyu Irene anakazi gani mbona anazidi kutoboa kila kukicha???

Kuna kipindi nilidhani pub yake ndio kila kitu lakini nimekuja kugundua hategemei pub kuendesha maisha yake bali ana kazi nyingine nzuri tu, lakini najiuliza tena mbona kila muda yupo mtandaoni tu hiyo kazi anafanya muda gani?? Daaah, mnaojua mtujuze tafadhari.

View attachment 976305
ivi watanzania umbea n kipaji au urithi, yaana we na pumbu zako mbili linakusumbua akil life LA MTU,....Sasa wew ndo mume cjui mkeo atakuaje
au ndo kopo na mfuniko
 
Back
Top Bottom