King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Sijaona life expensive analoishi Irene,mtu mwenye fedha hawezi kutembelea magari mabovu na kuishi kwenye majumba ya kupanga!! Kama Irene unamuona ana hela basi utakuwa unaishi maisha mabobu sana wewe!!