Nafikiri mtoa mada anazinguliwa na fake life la insta....Maisha ya intragram si ya kuamini kwa hawa celebrities ni uwongoo mwingi.
Sidhani kama anachunguza...anataka fahamu.. Jaribuni kuwa positive.Very low low loww person
Loma.na Maisha yako
Huo muda WA kuchunguza watu, ungeutumia kutafuta Maisha yako
Yeah ndugu yangu ndio anaratibu hio project, patakuwa pazuri sana.Anataka kupapanua atengeneze night club ya kisasa zaidi.
Kiukweli hakuna kitu kinachotuumiza kichwa kama chanzo cha mapato cha Irene Uwoya.
Nimejaribu kupeleleza sana haswa kwa watu wa karibu wa Irene Uwoya nipate kujua anafanya kazi gani lakini nimeambulia patupu.
Si mimi tu watu wengi sana tumekuws tukijiuliza mara kwa mara hivi huyu Mama Krish anafanya kazi gani?? Mbona kila siku mambo yake yanazidi kumnyookea na anazidi kutapanya pesa hovyo , imefika pahala hata shabiki akimuimba pesa kiutani utani haoni shida kumtumia laki 5 ,sita kawaida sana yani.
Kuna kipindi alikuwa na mchezo wa kuuliza viswali vidogo vidogo ukipatia anakualika mkapate chakula cha pamoja na hakuachi hivi hivi lazima akupe chochote kitu.Sasa
je swali linabaki pale pale huyu Irene anakazi gani mbona anazidi kutoboa kila kukicha???
Kuna kipindi nilidhani pub yake ndio kila kitu lakini nimekuja kugundua hategemei pub kuendesha maisha yake bali ana kazi nyingine nzuri tu, lakini najiuliza tena mbona kila muda yupo mtandaoni tu hiyo kazi anafanya muda gani?? Daaah, mnaojua mtujuze tafadhari.
View attachment 976305
Ni kweli kule intragram wana tanganza biashara ya nguo n.kNafikiri mtoa mada anazinguliwa na fake life la insta....
Leo kavaa hivi...kesho anakula hoteli hii..
Hajui kama wanatumika kama mabango ya biashara.
Mkuu wewe ni bishiii sitaki tubishane amini unacho jua kuhusu Irenefamilia ya kishua then waishi kwenye nyumba ya kupanga pale kimandolu arusha?ebu kuwa serious
siku wakianza kuumwa ndio atajua kuwa hayo maisha wayaishiyo ni real au fake?Nafikiri mtoa mada anazinguliwa na fake life la insta....
Leo kavaa hivi...kesho anakula hoteli hii..
Hajui kama wanatumika kama mabango ya biashara.
It's the same thingSidhani kama anachunguza...anataka fahamu.. Jaribuni kuwa positive.
Kwani wanaishi bure?familia ya kishua then waishi kwenye nyumba ya kupanga pale kimandolu arusha?ebu kuwa serious
Kwani wanaishi bure?
Wanadhani kujenga ndiyo mafanikio. Watu hujenga ili kuindokana na kero za wapangaji au wenye nyumba wala hawajengi kama hatua ya maendeleo kiuchumi.Mkuu wabongo wachukulie tu, yani ukikodi nyumba kwao tafsiri yao ndio huna kitu. Hafahamu kama ndio maisha ya kawaida kwenye ulimwengu.
ivi watanzania umbea n kipaji au urithi, yaana we na pumbu zako mbili linakusumbua akil life LA MTU,....Sasa wew ndo mume cjui mkeo atakuajeKiukweli hakuna kitu kinachotuumiza kichwa kama chanzo cha mapato cha Irene Uwoya.
Nimejaribu kupeleleza sana haswa kwa watu wa karibu wa Irene Uwoya nipate kujua anafanya kazi gani lakini nimeambulia patupu.
Si mimi tu watu wengi sana tumekuws tukijiuliza mara kwa mara hivi huyu Mama Krish anafanya kazi gani?? Mbona kila siku mambo yake yanazidi kumnyookea na anazidi kutapanya pesa hovyo , imefika pahala hata shabiki akimuimba pesa kiutani utani haoni shida kumtumia laki 5 ,sita kawaida sana yani.
Kuna kipindi alikuwa na mchezo wa kuuliza viswali vidogo vidogo ukipatia anakualika mkapate chakula cha pamoja na hakuachi hivi hivi lazima akupe chochote kitu.Sasa
je swali linabaki pale pale huyu Irene anakazi gani mbona anazidi kutoboa kila kukicha???
Kuna kipindi nilidhani pub yake ndio kila kitu lakini nimekuja kugundua hategemei pub kuendesha maisha yake bali ana kazi nyingine nzuri tu, lakini najiuliza tena mbona kila muda yupo mtandaoni tu hiyo kazi anafanya muda gani?? Daaah, mnaojua mtujuze tafadhari.
View attachment 976305