Mnamsifia mtu mwenyewe kafa kirahiiiisi, aliua watu akidhani mtu kufa ni mpaka amuue yeye akajua kwa kuwa yeye ni muuaji akajiwekea ulinzi ili asiguswe akajiaminisha kuishi milele kama Jiwe. Matokeo yake kamuapisha bashiru leo kesho kafa kiulainiiii.Wengi wanaotaka kuaminisha umma kuwa hayati JPM alikuwa kiongozi asiyefaa imegundulika ni wapuuzi wa huko Twita, wanasiasa njaa/matapeli ambao wananchi hawawataki. Hawa wanataka kila mtu aamini kuwa hakuwa mtu wa haki na utawala wake ulijaa udhalimu.
Lakini leo hii tumepata picha kamili, wazalendo, wamachinga, wakinamama tumeshudia wakilia na kugaagaa mabarabarani hii ni kwa sababu wanajua pengo lake litakuwa ngumu kuzibwa.
Mabaradhuli na mafedhuli mnapoteza muda maana nyie ni kama 1% ya wanaoichukia Tanzania. Maana 99% wanaipenda Tanzania na leo mmeshuhudia.
.......Kama mna mpenda kweli si mngemuunga mkono kwenye hiyo safari yake kwa kuchukua maamuzi magumu? Mnaumia siyo kwa sababu mlimpenda sana!
Ni kwa sababu mlinufaika na utawala wake. Vipi kuhusu watumishi wa umma? Watamkumbuka kwa lipi hasa ndani ya miaka yake hii mitano na miezi kadhaa?
Wengi wanaotaka kuaminisha umma kuwa hayati JPM alikuwa kiongozi asiyefaa imegundulika ni wapuuzi wa huko Twita, wanasiasa njaa/matapeli ambao wananchi hawawataki. Hawa wanataka kila mtu aamini kuwa hakuwa mtu wa haki na utawala wake ulijaa udhalimu.
Lakini leo hii tumepata picha kamili, wazalendo, wamachinga, wakinamama tumeshudia wakilia na kugaagaa mabarabarani hii ni kwa sababu wanajua pengo lake litakuwa ngumu kuzibwa.
Mabaradhuli na mafedhuli mnapoteza muda maana nyie ni kama 1% ya wanaoichukia Tanzania. Maana 99% wanaipenda Tanzania na leo mmeshuhudia.
Hata Baada ya kufariki, bado Magufuli atawatesa saaana! Maana sasa hata kumuua hamuwezi tena shetwani nyie na matundu yenu!Dead and gone!
Hata Hitler kuna waliompendaUmeandika nini? Hakuwa Tanzania una maana gani? Mtu kama hakuwa mtu mwema watu wangemlilia leo?
Magufuli ataendelea kutesa sana wezi makauzu kwa kuwa ataendelea kuishi kwenye mioyo ya watu ambako hamtaweza kumuua tena!👇Ukiongea neno Wema,unaongea kuhusu NGUVU,na Neno Maarufu nayo ni Nguvu.Utofauti ni kwamba NGUVU ya wema wake kama ilikuwepo itaendelea kukaa ndani ya miyo ya watu na ni ngumu kuiondoa kwa sababu chanzo chake ni Kikuu sana,hakizuiwi na propaganda ya aina yeyote kama ilivyokuwa kwa Yesu Kristu alipofakufa.Ila Nguvu ya umaarufu itayeyuka tu pindi msiba utakapoisha hiyo inamaanisha chanzo cha hiyo nguvu ni artificial or manmade ambayo na wewe unaamini ndio ilimfunika.Ila Subiri baada ya Muda utarudi ushuhudie alikuwa amefunikwa na nguvu gani
kuua kuuaKuua vipi?
We ni fara Kama mafara wengne tuNyerere aliacha Wosia, Mkapa aliacha kitabu na Magufuli ameacha makaburi.
Kaka yangu aliuawa kikatili kwa Mapanga, Ubongo ukachuruzika mithili ya supu nzito ya nguruwe, Polisi bila hata uchunguzi wakatoa statement kwamba kauawa kwa ugomvi wa mapenzi pamoja na kuwaonesha meseji nyingi za vitisho kutoka kwa CCM na ambazo kabla marehemu aliripoti mwenyewe polisi hakuna hata mmoja aliyekamatwa.
Kisa ni kaka kuwa Diwani kupitia chadema, wakaamua kumuua kikatili kwa mapanga. RIP bro, RIP Azory Gwanda, RIP Ben Saanane
Lala milele Dikteta Jiwe, Usiamke tena na uwe kuni huku uendako
We mpumbafu sana! Huyu anapendwa na zaidi ya 75% ya watz! Hawa wanalia kuliko hata walivyowalilia ndugu zao!Hata Hitler kuna waliompenda
Utakufa na roho yako mbayaKama mna mpenda kweli si mngemuunga mkono kwenye hiyo safari yake kwa kuchukua maamuzi magumu? Mnaumia siyo kwa sababu mlimpenda sana!
Ni kwa sababu mlinufaika na utawala wake. Vipi kuhusu watumishi wa umma? Watamkumbuka kwa lipi hasa ndani ya miaka yake hii mitano na miezi kadhaa?
Acha uongo wewe! Unataka uniambie Nchi yetu ina mama ntilie, wamachinga, bodaboda na raia wa chattle wanaofikia asilimia hiyo 75%?We mpumbafu sana! Huyu anapendwa na zaidi ya 75% ya watz! Hawa wanalia kuliko hata walivyowalilia ndugu zao!
Kufa ww uone kitakachotokea!
Ma huu ni ukweli mchungu, kama kila mmoja pahala pake akikidhi na kufuata sheria, tutafika mbali. Haiwezekani wamachinga washangilie wakati viongozi waliokosoea wakitumbuliwa lakini wao wakipata favor huku wakiwa wamevunja sheria. Maeneo kama Mbagala, Posta na Mwendokasi Kariakoo, yako holela sana, kimsingi utaratibu ufuatwe na kila mmoja awe mfanyakazi, machinga, Boda boda, sheria iko wazi kwa kila kundi kuifuata.Nafikiri ufike muda watanzania walio wengi wajitambue na wafate sheria za nchi kama ilivyo, kisa wewe ni machinga umeruhusiwa kuziba njia kwa bidhaa zako isiwe sababu ya kuwaita watanzania wenzako fedhuli..mnakosea kwa sababu nyie hamfuati kanuni za miji mnafuata maagizo ya mtu binafsi balaa lake ndio hili mnaanza kulia lia kwa vile mwajua hakuna kiongozi mwenye weledi na uongozi atakaeruhusu machinga kupanga bidhaa barabarani.
Kina mama wametandika nguo zao barabarani ni upendo wa hali ya juu.Wengi wanaotaka kuaminisha umma kuwa hayati JPM alikuwa kiongozi asiyefaa imegundulika ni wapuuzi wa huko Twita, wanasiasa njaa/matapeli ambao wananchi hawawataki. Hawa wanataka kila mtu aamini kuwa hakuwa mtu wa haki na utawala wake ulijaa udhalimu.
Lakini leo hii tumepata picha kamili, wazalendo, wamachinga, wakinamama tumeshudia wakilia na kugaagaa mabarabarani hii ni kwa sababu wanajua pengo lake litakuwa ngumu kuzibwa.
Mabaradhuli na mafedhuli mnapoteza muda maana nyie ni kama 1% ya wanaoichukia Tanzania. Maana 99% wanaipenda Tanzania na leo mmeshuhudia.
Siyo wanyonge tu, hata mimi nisiyemnyonge siachi kufuta machozi na tupo wengi sana tuliohuzinishwa kwa kuondokewa na mtu aliyekuwa anarudisha tabasamu kwa wanyonge na kuwezesha tuendeshe magari yetu kwenye barabara zisizo na mashimo! Tukifuata huduma maofisini hatupotezewi muda!Acha uongo wewe! Unataka uniambie Nchi yetu ina mama ntilie, wamachinga, bodaboda na raia wa chattle wanaofikia asilimia hiyo 75%?
Maana hao ndiyo wanyonge tulio hubiriwa tangu mwaka 2015!
Siyo wanyonge tu, hata mimi nisiyemnyonge siachi kufuta machozi na tupo wengi sana tuliohuzinishwa kwa kuondokewa na mtu aliyekuwa anarudisha tabasamu kwa wanyonge na kuwezesha tuendeshe magari yetu kwenye barabara zisizo na mashimo! Tukifuata huduma maofisini hatupotezewi muda!Acha uongo wewe! Unataka uniambie Nchi yetu ina mama ntilie, wamachinga, bodaboda na raia wa chattle wanaofikia asilimia hiyo 75%?
Maana hao ndiyo wanyonge tulio hubiriwa tangu mwaka 2015!
Jicheki humo ndani 6a fuvu lako kama mna neurons au uporoto!Mungu hakukosea alipoumba kichwa changu nipo sawa kabisa , ila kwa wewe kutuaminisha kuwa wanyonge na wazalendo wamlilia marehemu Jiwe upuuzi mtupu huo, hata wasukuma hawalii bali wanashangilia kwa style ya kujitupa chini sembuse na hao chinga wa Ilala
Bwashee tuondolee ujinga hapa
Mungu hakukosea alipoumba kichwa changu nipo sawa kabisa , ila kwa wewe kutuaminisha kuwa wanyonge na wazalendo wamlilia marehemu Jiwe upuuzi mtupu huo, hata wasukuma hawalii bali wanashangilia kwa style ya kujitupa chini sembuse na hao chinga wa Ilala
Bwashee tuondolee ujinga hapa
Mungu hakukosea alipoumba kichwa changu nipo sawa kabisa , ila kwa wewe kutuaminisha kuwa wanyonge na wazalendo wamlilia marehemu Jiwe upuuzi mtupu huo, hata wasukuma hawalii bali wanashangilia kwa style ya kujitupa chini sembuse na hao chinga wa Ilala
Bwashee tuondolee ujinga hapa
Mungu hakukosea alipoumba kichwa changu nipo sawa kabisa , ila kwa wewe kutuaminisha kuwa wanyonge na wazalendo wamlilia marehemu Jiwe upuuzi mtupu huo, hata wasukuma hawalii bali wanashangilia kwa style ya kujitupa chini sembuse na hao chinga wa Ilala
Bwashee tuondolee ujinga hapa
Jicheki humo ndani ya fuvu lako kama kuna neva au uporoto!Mungu hakukosea alipoumba kichwa changu nipo sawa kabisa , ila kwa wewe kutuaminisha kuwa wanyonge na wazalendo wamlilia marehemu Jiwe upuuzi mtupu huo, hata wasukuma hawalii bali wanashangilia kwa style ya kujitupa chini sembuse na hao chinga wa Ilala
Bwashee tuondolee ujinga hapa