Trillion
JF-Expert Member
- Apr 24, 2018
- 3,330
- 7,494
Kikubwa ni kua kila mtu atakufa na ataubeba msalaba wake.
MaCCM msizuie watu kusema mabaya ya Magufuli yalio mengi, kumpiga Lissu risasi, kumnyima pesa za matibabu na kumvua ubunge. MAUJI na kupotea kwa watu . Na makauli ya masimango.
Magufuli utajuana na Mungu wake huko aendako.
MaCCM msizuie watu kusema mabaya ya Magufuli yalio mengi, kumpiga Lissu risasi, kumnyima pesa za matibabu na kumvua ubunge. MAUJI na kupotea kwa watu . Na makauli ya masimango.
Magufuli utajuana na Mungu wake huko aendako.