Hakuna Kiongozi Mbovu nchi hii kwa sasa kama Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam!

Dhambi siyo neno la kidini. Ni suala la maadili tu. Watu wamelikoleza kwenye udini for no obvious reason. Hata ukipiga ngumi ukuta umefanya dhambi na mshahara wake ni maumivu mkononi mwako. Sin is going against the law, ANY LAW.
Nilisoma mada ya eethicschuoni sikuwahi kukuta msamiati wa sin kama kinyume cha kanuni au sheria za kimaumbile. au za kijamii
Dhambi nafahamu ni neo la dini kwenda kinyume na sheria za mungu.
 
Huyo anacho kifanya bila kujua, Ni kuwaforce wawe mazingira mapya na ya hadhi tofaut na vile. Baada ya Muda watakua sehem zingine nzuri,

Hawawezi kuacha maan wengine ukahaba umeingia Kwenye DNA
 
Nilisoma mada ya eethicschuoni sikuwahi kukuta msamiati wa sin kama kinyume cha kanuni au sheria za kimaumbile. au za kijamii
Dhambi nafahamu ni neo la dini kwenda kinyume na sheria za mungu.
Dhambi ni uhalifu. Going against a law. A moral or physical law. Watu wa dini wamelibatiza maana hiyo unayoisema but it isn't necessarily so.
 
Kuna vita zingine ni kupoteza muda na rasilimali tu.

Ukahaba upo hata kabla ya Kristu, hawezi kuumaliza. Makahaba wanapunguza kesi za ubakaji.

NB: Siungi mkono dhambi ya uzinzi na uasherati.
Sasa kama ni kura yenye sura mbili ya kahaba na Chalamila, ungelimpigia nani?
 
Dhambi ni uhalifu. Going against a law. A moral or physical law. Watu wa dini wamelibatiza maana hiyo unayoisema but it isn't necessarily so.
Bibliabina ina m9lenia 2+ sasa jweli hilo neno limeanza ba wanafaksafa wa kigiriki?
 
Bibliabina ina m9lenia 2+ sasa jweli hilo neno limeanza ba wanafaksafa wa kigiriki?
Biblia imeandikwa kwa Kiebrania, Kiaramayo na Kigiriki. Tafsiri nyingi za lugha za kisasa zina shida kwenye matumizi ya maneno
 
Faida za uwepo wa dada poa.
1. Kudumu kwa ndoa: ni heri kufanya mapenzi na kahaba, kuliko kuongeza mke wa 2,
2. Hakuna vitendo vya ubakaji, ulawiti.
3.
4.
5

MADHARA
1.
2.
3
 
Huyu mkuu wa mkoa wa dar ningemuona wa maana sana kama angetumia nguvu kubwa kupambana na wanaofuja fedha za uma ndani ya mko kuliko hiki anachokifanya maana atafeli vibaya mno
Utapambana vipi na biashara ambayo haionekani
 
mamake tu malaya..wake zetu tu malaya...umalaya si kuexchange sex to hela matumizi...ingekuwa westen ukiolewa unachangia 1/2 matumizi ya nyumbani....na umalaya umehalalishwa ...hapa tz au africa ukioa ina maana unaexchange sex to money au care...malaya kawaacha nyumbani kwake anawafuata hao walijitangazia uhuru.... ila vichwa dizaini ile havinaga kokwa ndani
 
Kwa msimamo wako ongelea na bangi kama zao la biashara
 
Apigwe mawe.
 
Nilitegemea haya malalamiko kwa wateja wao
 
Mbona umechanganya sana mambo!? Serekali na dhambi wapi na wapi mzee!? Nikukumbushe tu huwa tunatumia kodi kutoka kwa pombe, sigara, kondom, vilainishi nk.
 
Ukahaba hauwezi kuisha,kinachotakiwa kufanywa ni kuweka utaratibu mzuri wa hao makahaba kulipa kodi,nchi inapoteza kodi nyingi sana kwasababu ya watu kama wewe ambao mnataka kujionyesha mnao uwezo wa kukomesha makahaba!.
Huyu RC ni mjinga anachanganya imani na majukumu ya serikali, yeye anadeal na hao makahaba from sinning perspective, kumbe angeweza kufikiria namna nyingine bora ya kutogombana na watu wakati akitatua hiyo changamoto, Dsm ina wasomi wengi sana angewatumia kama think tank yake lakini hawaoni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…