Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hakuna jitu pumbavu km wewe mpaka namlaumu babako kwanini alisahau condom wakati wa kutiwa mimba yakoUkihitaji salamu subiri kwanza nikamatwe niwekwe lokapu,nikitoka nitakuwa na adabu na nitaanza kusalimia!
Kama kuna mambo yanafanya kama Taifa tusisonge mbele ni kubarikiwa kuwa na watu wapumbavu wa viwango vya juu kuliko maelezo!
Sijajua ni nani amesmshauri kufanya ujinga anaoendelea kuufanya!.Jana nimeona kwenye mitandao na vyombo mbalimbali vya habari akizunguka kwenye jiji lenye karaha na raha la Dar es salaam eti akitafuta Madanguro ili yavunjwe na shughuli za wanawake kuuuza miili yao ikomeshwe!
Aliyekwambia kuvunja majengo ni kukomesha biashara ya madada poa ni nani?,Utavunja jengo sawa,je utavunja na roho ya ukahaba ya udada poa?
Aliyekwambia kuvunja nyumba walizokuwa wakifanyia biashara zao kutakomesha biashara zao ni nani?,Umeenda mbali zaidi hadi kunukuliwa ukisema "Zile Baa zote ambazo hao wanawake wanasimama kwa mbele wakifanya biashara tutazifunga kama wasipo komesha hiyo tabia?"
Hao malaya wanatafuta wateja na wateja wengi ni pamoja na walevi,njia nzuri ya kumkamata mlevi ni kusogea karibu yake!,Wamiliki wa Bar hata hawahusiki na hao wanawake,wao nao hushitukia tu hao wanawake wamejazana mbele ya bar yake,sasa mmiliki atafanya nini?
Hii nchi wafanya biashara hasa hao wamiliki wa Bars na Pub wanalipa kodi kibwena,nao pia wanahitaji wateja,sasa kama hao wanawake wanasimama mbele ya Bar yake na kjpitia hao hao anapata wateja wa kutosha kwanini awafukuze?
Suala la ukahaba haliwezi kuisha na halitokaa liishe!,Dunia ya leo ya Sayansi na Teknolojia bado unazuia ukahaba kweli?
Watu kila siku wanatoa michango na mawazo ya kwamba,hao makahaba mlipaswa muwasajili ili waanze kulipa kodi,kupitia usajili huo watakuwa wanapewa semina pia namna ya kujilinda dhidi ya afya zao kutoka wizara ya afya!,nyie hamtaki mnataka kila siku kufukuzana nao mabarabarani!.
Imeenda mbali zaidi hadi sehemu za Masaji mnafungia!,Hivi wewe jamaa uko timamu kweli kichwani?
Ukahaba hauwezi kuisha,kinachotakiwa kufanywa ni kuweka utaratibu mzuri wa hao makahaba kulipa kodi,nchi inapoteza kodi nyingi sana kwasababu ya watu kama wewe ambao mnataka kujionyesha mnao uwezo wa kukomesha makahaba!.
Unadhani mdau kama GENTAMYCINE yeye ataenda kuponea wapi na ufupi wake?,Hao watu walikuwa wakimsaidia kumwaga oil chafu!
Ifike sehemu mkuu wa Mkoa uache ujuaji wa kijinga,kufoka foka siyo aina ya kiongozi mwenye akili timamu!.
nawe ni sehemu ya hao makahaba siyo? Kafanye kazi halali, kazi ya K ni kuzaa si biashara, Huoni hata haya kuandika upumbavu huu. Mamako ana shida, au mimba yako ilitungwa danguro? Mtu gani mpumbavu km wewe usiyeona hata kunyaa kumwona mtu mzima mwenye viuongo vyote anakaa baa au hata kwenye migahawa anawinda wanaume, ningekuwa mimi ni kucharazwa viboko hadharani. Arusha asubuhi wanakaa mpaka kwenye migahawa pale stand kuu kuvizia wateja mpaka hamu ya chai inakuisha. Halafu anakuja mtu bila hata aibu kutetea kinyaa km hiki? Nashangaa sana, ndio utazitamani nchi za kiislam ingawa mi si muislamuUkihitaji salamu subiri kwanza nikamatwe niwekwe lokapu,nikitoka nitakuwa na adabu na nitaanza kusalimia!
Kama kuna mambo yanafanya kama Taifa tusisonge mbele ni kubarikiwa kuwa na watu wapumbavu wa viwango vya juu kuliko maelezo!
Sijajua ni nani amesmshauri kufanya ujinga anaoendelea kuufanya!.Jana nimeona kwenye mitandao na vyombo mbalimbali vya habari akizunguka kwenye jiji lenye karaha na raha la Dar es salaam eti akitafuta Madanguro ili yavunjwe na shughuli za wanawake kuuuza miili yao ikomeshwe!
Aliyekwambia kuvunja majengo ni kukomesha biashara ya madada poa ni nani?,Utavunja jengo sawa,je utavunja na roho ya ukahaba ya udada poa?
Aliyekwambia kuvunja nyumba walizokuwa wakifanyia biashara zao kutakomesha biashara zao ni nani?,Umeenda mbali zaidi hadi kunukuliwa ukisema "Zile Baa zote ambazo hao wanawake wanasimama kwa mbele wakifanya biashara tutazifunga kama wasipo komesha hiyo tabia?"
Hao malaya wanatafuta wateja na wateja wengi ni pamoja na walevi,njia nzuri ya kumkamata mlevi ni kusogea karibu yake!,Wamiliki wa Bar hata hawahusiki na hao wanawake,wao nao hushitukia tu hao wanawake wamejazana mbele ya bar yake,sasa mmiliki atafanya nini?
Hii nchi wafanya biashara hasa hao wamiliki wa Bars na Pub wanalipa kodi kibwena,nao pia wanahitaji wateja,sasa kama hao wanawake wanasimama mbele ya Bar yake na kjpitia hao hao anapata wateja wa kutosha kwanini awafukuze?
Suala la ukahaba haliwezi kuisha na halitokaa liishe!,Dunia ya leo ya Sayansi na Teknolojia bado unazuia ukahaba kweli?
Watu kila siku wanatoa michango na mawazo ya kwamba,hao makahaba mlipaswa muwasajili ili waanze kulipa kodi,kupitia usajili huo watakuwa wanapewa semina pia namna ya kujilinda dhidi ya afya zao kutoka wizara ya afya!,nyie hamtaki mnataka kila siku kufukuzana nao mabarabarani!.
Imeenda mbali zaidi hadi sehemu za Masaji mnafungia!,Hivi wewe jamaa uko timamu kweli kichwani?
Ukahaba hauwezi kuisha,kinachotakiwa kufanywa ni kuweka utaratibu mzuri wa hao makahaba kulipa kodi,nchi inapoteza kodi nyingi sana kwasababu ya watu kama wewe ambao mnataka kujionyesha mnao uwezo wa kukomesha makahaba!.
Unadhani mdau kama GENTAMYCINE yeye ataenda kuponea wapi na ufupi wake?,Hao watu walikuwa wakimsaidia kumwaga oil chafu!
Ifike sehemu mkuu wa Mkoa uache ujuaji wa kijinga,kufoka foka siyo aina ya kiongozi mwenye akili timamu!.
Activenawe ni sehemu ya hao makahaba siyo? Kafanye kazi halali, kazi ya K ni kuzaa si biashara, Huoni hata haya kuandika upumbavu huu. Mamako ana shida, au mimba yako ilitungwa danguro? Mtu gani mpumbavu km wewe usiyeona hata kunyaa kumwona mtu mzima mwenye viuongo vyote anakaa baa au hata kwenye migahawa anawinda wanaume, ningekuwa mimi ni kucharazwa viboko hadharani. Arusha asubuhi wanakaa mpaka kwenye migahawa pale stand kuu kuvizia wateja mpaka hamu ya chai inakuisha. Halafu anakuja mtu bila hata aibu kutetea kinyaa km hiki? Nashangaa sana, ndio utazitamani nchi za kiislam ingawa mi si muislamu
Kumbe!We umegundua leo? Ni Mjinga mmoja tu
Kula kitimoto na konyagi ni uhalifu??Dhambi ni uhalifu. Going against a law. A moral or physical law. Watu wa dini wamelibatiza maana hiyo unayoisema but it isn't necessarily so.