Ila kusema kweli idadi ya wanawake weusi inazidi kupungua,,,nafikiri pia inachangiwa na wanaume wengi kupenda kuoa wanawake weupe na hivyo kuwafanya mabinti wabadili rangi wakiamini wataongeza mvuto
Binafsi napenda mwanamke mweusi japo mimi ni zile rangi wanaita "maji ya kunde"na nashukuru nilibahatika kuoa kitu natural black,,wife nae anapenda sana rangi yangu
Sasa akawa anatamani tukipata baby achukue rangi yangu,at the same time mi napenda mtoto achukue rangi ya Mama yake,,kilichokea sasa chalii sura ka-copy ya kwangu ila rangi ka-copy kwa Mama,,kwenye mchezo wa soka tunasema mtu kapigwa tatu bila