Hakuna kitu kinanipa utulivu kama Quran

Hakuna kitu kinanipa utulivu kama Quran

ndege JOHN

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2015
Posts
21,643
Reaction score
51,642
Kuna vijana mimi nimeshuhudia walikuwa watukutu sana wakilewa 24 hours wakaacha uhuni ghafla baada ya kuanza kusikiliza Aya za Quran yaani ina njia fulani hivi sahihi sahihi sana walioandika Quran na biblia ni watu wa Mungu waongofu... Hahaha me mkristo ila Quran naona na yenyewe ya kisomi sana imebobea yaani ukitaka ukii download ile halafu ukapiga na ma meditation na ma semen tentation lazima utanufaika tu.
 
Eti ww mkristo,toka lini ngozi nyeusi ikawa na imani ya kikrsito na kiislam.fateni imani za mababu na mabini zetu achaneni na imani za wenzenu.
Afrika ni lini mtakuwa ba vyenu na kujivunia navyo.
Wewe kama unafuata ya mababu fuata tu hakuna aliyekushikia Panga, Ndege John yeye kasema ni mkristo kuna tatizo kwani?
 
Yaani nimefur
Eti ww mkristo,toka lini ngozi nyeusi ikawa na imani ya kikrsito na kiislam.fateni imani za mababu na mabini zetu achaneni na imani za wenzenu.
Afrika ni lini mtakuwa ba vyenu na kujivunia navyo.
Yaani nimefurahi sana. Mtu akili mgando hata hajitambui kama anafuata Mila za kitumwa quaran na biblia hazikuwepo Africa Bali zililetwa Kwa ukatili wa Hali ya juu sana Ili kuumiza dini zetu za asili.
 
Back
Top Bottom