Pesanyingi
JF-Expert Member
- Apr 15, 2023
- 1,157
- 1,983
Kwenye maswala ya mambo ya giza kwanini ndiyo lugha maarufu na pendwa?Hata gazeti la kiarabu mtasema QUR'AN,Kuna bible ya kiarabu pia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwenye maswala ya mambo ya giza kwanini ndiyo lugha maarufu na pendwa?Hata gazeti la kiarabu mtasema QUR'AN,Kuna bible ya kiarabu pia
Kwa hivyo vile viungo vya albino padre anavyotumia vinaandikwa maneno ya kiarabu? Unatia aibu enzi hizi za utandawazi unaendelea kumeza ujinga wa tangu enzi za Nyerere.Na hapo ndiyo utajiuliza mbona hazitumiki lugha zingine kama kichina.
Kwa mujibu watafiti za nani?Kwenye maswala ya mambo ya giza kwanini ndiyo lugha maarufu na pendwa?
ContradictionUkitaka uijue vizuri Quran soma na Bible.
Likitabu la Bibilia ni ngano za kale, yaani hadithi za kusadikika, wazungu waliita ni fictitious novelTayari umeingiwa na mapepo soon utapagawa, umeanza kupenda hiyo kitu?
Nilijua ni mimi pekee yanguKuna vijana mimi nimeshuhudia walikuwa watukutu sana wakilewa 24 hours wakaacha uhuni ghafla baada ya kuanza kusikiliza Aya za Quran yaani ina njia fulani hivi sahihi sahihi sana walioandika Quran na biblia ni watu wa Mungu waongofu... Hahaha me mkristo ila Quran naona na yenyewe ya kisomi sana imebobea yaani ukitaka ukii download ile halafu ukapiga na ma meditation na ma semen tentation lazima utanufaika tu.
Na wewe unaingiwa na ma semen tentation yanakuingia ukisoma Qur'an?Nilijua ni mimi pekee yangu
Hahah Bueno, Mimi nafurahia kusoma Quran na kusikiliza mafundishoNa wewe unaingiwa na ma semen tentation yanakuingia ukisoma Qur'an?
We mzinzi tu tangu muahidiwe mabikira 72 mbingini umekazana kusoma kuranKuna vijana mimi nimeshuhudia walikuwa watukutu sana wakilewa 24 hours wakaacha uhuni ghafla baada ya kuanza kusikiliza Aya za Quran yaani ina njia fulani hivi sahihi sahihi sana walioandika Quran na biblia ni watu wa Mungu waongofu... Hahaha me mkristo ila Quran naona na yenyewe ya kisomi sana imebobea yaani ukitaka ukii download ile halafu ukapiga na ma meditation na ma semen tentation lazima utanufaika tu.
Ma semen hayakuingii ukiwa unasoma km mtoa Mada?Hahah Bueno, Mimi nafurahia kusoma Quran na kusikiliza mafundisho
mpuuzi wewe, nyani usiyeona kundule. Unaponda biblia wakati quran ni abrakadabra tupu, bora biblia inasomwa kifalsafa na wengi. Unatoa povu jingi kana kwamba unajua vema vitabu hivyoLikitabu la Bibilia ni ngano za kale, yaani hadithi za kusadikika, wazungu waliita ni fictitious novel
Unaanzaje kusali kutumia hadithi kina yohana na paulo sijui mathayo, ndio maana wayahudi wanazichoma moto kwa kijinasabisha na Torati yao.
Soma bothUkitaka uijue vizuri Quran soma na Bible.
Bila uongo uislam unakufa kibudu. Uthman alikuwa anatamka aya And Allah anatia kwenye Quran...Kile ni kiarabu hakuna mwenye kuweza mfanano wa quran