Hakuna kitu kinanipa utulivu kama Quran

Hakuna kitu kinanipa utulivu kama Quran

Ukisoma Qur an kwa kuifuata ukaachana na ushabiki basi moyo unatulia sana ka kridhika ..
 
Kuna vijana mimi nimeshuhudia walikuwa watukutu sana wakilewa 24 hours wakaacha uhuni ghafla baada ya kuanza kusikiliza Aya za Quran yaani ina njia fulani hivi sahihi sahihi sana walioandika Quran na biblia ni watu wa Mungu waongofu... Hahaha me mkristo ila Quran naona na yenyewe ya kisomi sana imebobea yaani ukitaka ukii download ile halafu ukapiga na ma meditation na ma semen tentation lazima utanufaika tu.
Muda si mrefu utakuwa muislamu
 
Eti ww mkristo,toka lini ngozi nyeusi ikawa na imani ya kikrsito na kiislam.fateni imani za mababu na mabini zetu achaneni na imani za wenzenu.
Afrika ni lini mtakuwa ba vyenu na kujivunia navyo.
We punguwani kwelii, Nani alikwambia uislamu Ni Mila za kiarabu.
Nenda kasome Uzi wangu "Dini sio mila za kizungu Wala kiarabu" halafu ndo uje uropokee hzo shits zako za matunguri na mababu wa mizimu.
Usipotezee wajingaa.
 
Mlokole mbuzi acha kukaza fuvu
Bobilia ni mkusanyiko wa hadithi za kutunga ndio maana mnasomeshwa huu upupu ili mumtubukie shimoni mazima
View attachment 3023163


Wakati Quran miongozo ya kuishi binadamu ikiwemo kuishi kishujaa ndani jihad (juhudi)
Acha kupumbaza watu akili.. Quran imethibitisha torat na injili kama zilivyo mikononi mwetu.. kapingane na Allah kwanza kisha njoo.
Quran 29:46
And zimeletwa na Allah 3:3–4, 5:47, 5:68
 
Mlokole mbuzi acha kukaza fuvu
Bobilia ni mkusanyiko wa hadithi za kutunga ndio maana mnasomeshwa huu upupu ili mumtubukie shimoni mazima
View attachment 3023163


Wakati Quran miongozo ya kuishi binadamu ikiwemo kuishi kishujaa ndani jihad (juhudi)
Kha.. hivi katika uislam Allah kasema Torat na Injil kazishusha yeye sasa unasemaje ni hadith za kutunga wakati Quran nayo kashusha yeye... Fake Muslim wanashangaza kumbe Allah ni mtunga vitabu vya uongo.. probably Allah ni taperi fulani kumbe amayestahili kucharazwa bakora na mbata... kasome Quran dogo huwezi kwepa biblia ila baki na uchizi wako Allah asije kukukosesha mabikira 70 na zaidi

Kasome Quran 5:68 ili ujue ni Allah anahusiki.

And Soma Quran 5:69 Allah kawaambia wafuasi wa Yesu watafika Mbinguni kabla yenu yaani mtakuja kutykuta sisi ndio wenyeji. Nyie mkoshachomwa na mkajatolewa huko na kuletwa peponi
 
Back
Top Bottom