ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
Yeah me Bible huwa navutiwa zaidi na nyaraka za Paulo na ufunuo wa yohanaUkitaka uijue vizuri Quran soma na Bible.
Wewe kama unafuata ya mababu fuata tu hakuna aliyekushikia Panga, Ndege John yeye kasema ni mkristo kuna tatizo kwani?Eti ww mkristo,toka lini ngozi nyeusi ikawa na imani ya kikrsito na kiislam.fateni imani za mababu na mabini zetu achaneni na imani za wenzenu.
Afrika ni lini mtakuwa ba vyenu na kujivunia navyo.
Yaani nimefurahi sana. Mtu akili mgando hata hajitambui kama anafuata Mila za kitumwa quaran na biblia hazikuwepo Africa Bali zililetwa Kwa ukatili wa Hali ya juu sana Ili kuumiza dini zetu za asili.Eti ww mkristo,toka lini ngozi nyeusi ikawa na imani ya kikrsito na kiislam.fateni imani za mababu na mabini zetu achaneni na imani za wenzenu.
Afrika ni lini mtakuwa ba vyenu na kujivunia navyo.
Yaani maneno yawe mapepo aisee basi akili hio itakuwa sio imaraTayari umeingiwa na mapepo soon utapagawa, umeanza kupenda hiyo kitu?
nazi, mayai huwa zinaandikwa maneno hayo kisha hutupwa njia panda kwa imani za kishirikinaYaani maneno yawe mapepo aisee basi akili hio itakuwa sio imara
Kile ni kiarabu hakuna mwenye kuweza mfanano wa qurannazi, mayai huwa zinaandikwa maneno hayo kisha hutupwa njia panda kwa imani za kishirikina
Na hapo ndiyo utajiuliza mbona hazitumiki lugha zingine kama kichina.nazi, mayai huwa zinaandikwa maneno hayo kisha hutupwa njia panda kwa imani za kishirikina
Hata gazeti la kiarabu mtasema QUR'AN,Kuna bible ya kiarabu piaNa hapo ndiyo autajiuliza mbona hazitumiki lugha zingine kama kichina.