Hakuna kitu kinanipa utulivu kama Quran

Na hapo ndiyo utajiuliza mbona hazitumiki lugha zingine kama kichina.
Kwa hivyo vile viungo vya albino padre anavyotumia vinaandikwa maneno ya kiarabu? Unatia aibu enzi hizi za utandawazi unaendelea kumeza ujinga wa tangu enzi za Nyerere.
Kaangalia movie ya Brian Deacon utaona mapepo yaliyompanda yule mtu yalikuwa yanaongea lugha ipi.
 
Tayari umeingiwa na mapepo soon utapagawa, umeanza kupenda hiyo kitu?
Likitabu la Bibilia ni ngano za kale, yaani hadithi za kusadikika, wazungu waliita ni fictitious novel
Unaanzaje kusali kutumia hadithi kina yohana na paulo sijui mathayo, ndio maana wayahudi wanazichoma moto kwa kijinasabisha na Torati yao.
 
Nilijua ni mimi pekee yangu
 
We mzinzi tu tangu muahidiwe mabikira 72 mbingini umekazana kusoma kuran
 
Likitabu la Bibilia ni ngano za kale, yaani hadithi za kusadikika, wazungu waliita ni fictitious novel
Unaanzaje kusali kutumia hadithi kina yohana na paulo sijui mathayo, ndio maana wayahudi wanazichoma moto kwa kijinasabisha na Torati yao.
mpuuzi wewe, nyani usiyeona kundule. Unaponda biblia wakati quran ni abrakadabra tupu, bora biblia inasomwa kifalsafa na wengi. Unatoa povu jingi kana kwamba unajua vema vitabu hivyo
 
Samahani mkuu,kuna kipindi kipo Radio Imani FM kinatangazwa na Mzee mmoja anaitwa Baba Kiruwasha(sijui ntakuwa nimekosea jina)kinaitwa Familia huwa kinaanza saa 4 usiku ,baada ya kumaliza kipindi kuna sura 1 hivi huwa inasomwa,sasa siku hiyo na-tune radio kuna station nilikuwa naitafuta nilisimama kidogo baada kuisikia hiyo sura,ni ndefu kidogo ila nikiisikia kuna feelings flani najisikia ingawa sijui kinachoongelewa mule ni nini..Naomba unijuze inaitwaje hiyo sura
 
Kile ni kiarabu hakuna mwenye kuweza mfanano wa quran
Bila uongo uislam unakufa kibudu. Uthman alikuwa anatamka aya And Allah anatia kwenye Quran...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…