Hakuna kitu kinaniuma Kama ndugu zangu wote kuzalia nyumbani

Hakuna kitu kinaniuma Kama ndugu zangu wote kuzalia nyumbani

DR HAYA LAND

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2017
Posts
23,928
Reaction score
63,499
Nilichogundua wanaume wa Tanzania waongo waongo tu. Dada zangu wote mbona hamjawaoa mmeishia kuwapa Mimba tu.

Yaani wanaume ni waongo Sana mlikuwa mnawapeleka guest na Magari, leo hii dada zangu wanatembea kwa Miguu kwenda Kliniki (clinic)

Wanaume ambao wapo serious na hawana mpango wa kuwachezea watoto wa watu na kuwafanya single mothers wapo wachache Mno. Nimeyatafakari haya Maisha ya mahusiano nimebaki Kupata mshangao Sana.

Ushauri: tulieni na punguzeni tamaa za vitu vidogo ukiona Mtu ana gari acha shobo haimaniishi hiyo gari yake ndo upendo. Hasa hawa wanawake wa zama hizi ambao hawajausoma huu mchezo vizuri.
 
Sasa wamezalishwa dada zako...
Wewe unakuja kutoa ushauri humu wadada waache tamaa...
Why usiwaite uwape huo ushauri??..

Sometimes maji hufata mkondo...
Je wamama wakubwa wote kwenu waliolewa?? Mama wadogo wote wako kwenye ndoa?

Binti hawezi tulia na kusubiri kuolewa iwapo mama zake wote walizaa bila kuolewa....au Kaka zake wote wanazalisha wadada bila ndoa
 
Nilichogundua wanaume wa Tanzania waongo waongo tu.

Dada zangu wote mbona hamjawaoa mmeishia kuwapa Mimba tu.

Yaani mwanume ni waongo Sana mlikuwa mnawapeleka guest na Magari leo hii dada zangu wanatembea kwa Miguu kwenda Kliniki (clinic)

Wanaume ambao wapo serious na hawana mpango wa kuwachezea watoto wa watu na kuwafanya single mothers wapo wachache Mno.

Nimeyatafakari haya Maisha ya mahusiano nimebaki Kupata mshangao Sana.

Ushauri : tulieni na punguzeni tamaa za vitu vidogo ukiona Mtu ana gari acha shobo haimaniishi hiyo gari yake ndo upendo . Hasa hawa mademu wa Chuo ambao asilimia kubwa hawana Akili kichwani.
Tena mademu wa chuo ndio wazuri kweli...wanadanga yika kirahisi kwa kutaka modern lifestyle....uzuri wao threesome nje nje
 
Nilichogundua wanaume wa Tanzania waongo waongo tu .

Dada zangu wote mbona hamjawaoa mmeishia kuwapa Mimba tu.

Yaani mwanume ni waongo Sana mlikuwa mnawapeleka guest na Magari leo hii dada zangu wanatembea kwa Miguu kwenda Kliniki (clinic)

Wanaume ambao wapo serious na hawana mpango wa kuwachezea watoto wa watu na kuwafanya single mothers wapo wachache Mno.

Nimeyatafakari haya Maisha ya mahusiano nimebaki Kupata mshangao Sana.

Ushauri : tulieni na punguzeni tamaa za vitu vidogo ukiona Mtu ana gari acha shobo haimaniishi hiyo gari yake ndo upendo . Hasa hawa mademu wa Chuo ambao asilimia kubwa hawana Akili kichwani .
Ndoa kwa mwanamke ina pambaniwa sio kuipata pata kirahisi, fundisha dada zako jinsi ya kuwalagai wanaume wawaingize kwenye ndoa kwa kutumia akili na mbinu, kuna wanawake wengine mpaka wana roga kuipata hiyo ndoa, wengine wana inunua, wengine wana gharamikia mchakato mzima, hapa Africa huwezi kupata ndoa on a slaverplate........we always marry accidentally.
 
Aliyetoa hela bandia nae kauziwa chrni ya bandia 🤣🤣🤣
Wakati hawajapata mimba si walikuwa wanaona raha kuchuna? Kuna mmoja nipo nae kila nikienda kula tunda naagizwa niende na makorokoro mengi yani hadi dawa ya meno hawawezi kujinunulia... Mahusiano yana mwezi tu na kupika kaacha kabisa
 
Kwa kweli wadada walizalishwa nyumbani wengi wao hawapo vyema kiuchumi,watoto wao shida zote zinapelekwa kwa Wazazi wa binti na ndugu zake kwa matumizi. Ya watoto.

Kwa kweli Dada zetu hawa ni zaidi ya kero ,starehe zao matatizo unayapata wewe-na lazima tu utamsapport huwezi muacha nduguyo analala na njaa.

Dada zetu punguzeni tamaa,anza maisha na mwanaume yoyote mwenye nia ya kukuoa mali na mengineyo ni majaliwa.
 
Aliyetoa hela bandia nae kauziwa chrni ya bandia [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wakati hawajapata mimba si walikuwa wanaona raha kuchuna? Kuna mmoja nipo nae kila nikienda kula tunda naagizwa niende na makorokoro mengi yani hadi dawa ya meno hawawezi kujinunulia... Mahusiano yana mwezi tu na kupika kaacha kabisa

Ahahah ananunua tu chakula
 
Nilichogundua wanaume wa Tanzania waongo waongo tu.

Dada zangu wote mbona hamjawaoa mmeishia kuwapa Mimba tu.

Yaani mwanume ni waongo Sana mlikuwa mnawapeleka guest na Magari leo hii dada zangu wanatembea kwa Miguu kwenda Kliniki (clinic)

Wanaume ambao wapo serious na hawana mpango wa kuwachezea watoto wa watu na kuwafanya single mothers wapo wachache Mno.

Nimeyatafakari haya Maisha ya mahusiano nimebaki Kupata mshangao Sana.

Ushauri : tulieni na punguzeni tamaa za vitu vidogo ukiona Mtu ana gari acha shobo haimaniishi hiyo gari yake ndo upendo . Hasa hawa mademu wa Chuo ambao asilimia kubwa hawana Akili kichwani.
HAO WANAWAKE WANAVUNA WALICHOPANDA



Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
 
Kwa kweli wadada walizalishwa nyumbani wengi wao hawapo vyema kiuchumi,watoto wao shida zote zinapelekwa kwa Wazazi wa binti na ndugu zake kwa matumizi. Ya watoto.

Kwa kweli Dada zetu hawa ni zaidi ya kero ,starehe zao matatizo unayapata wewe-na lazima tu utamsapport huwezi muacha nduguyo analala na njaa.

Dada zetu punguzeni tamaa,anza maisha na mwanaume yoyote mwenye nia ya kukuoa mali na mengineyo ni majaliwa.

Hilo unasema
Kweli kuna dem mmoja alikua rafiki tu anamaisha magumu sana tulipotezana mwaka sasa ila juz juz kanichek anamtoto analalamika
Maisha magumu nkasema yaan ww unajua hali yako kwann ulizaa yaan alf bado yupo kwao.
 
Back
Top Bottom