Hakuna kitu kinaniuma Kama ndugu zangu wote kuzalia nyumbani

Hakuna kitu kinaniuma Kama ndugu zangu wote kuzalia nyumbani

Nilichogundua wanaume wa Tanzania waongo waongo tu.

Dada zangu wote mbona hamjawaoa mmeishia kuwapa Mimba tu.

Yaani mwanume ni waongo Sana mlikuwa mnawapeleka guest na Magari leo hii dada zangu wanatembea kwa Miguu kwenda Kliniki (clinic)

Wanaume ambao wapo serious na hawana mpango wa kuwachezea watoto wa watu na kuwafanya single mothers wapo wachache Mno.

Nimeyatafakari haya Maisha ya mahusiano nimebaki Kupata mshangao Sana.

Ushauri : tulieni na punguzeni tamaa za vitu vidogo ukiona Mtu ana gari acha shobo haimaniishi hiyo gari yake ndo upendo . Hasa hawa wanawakel wa zama hizi ambao hawajausoma huu mchezo vizuri.
Dada zako watakuwa malaya wa rejareja. Wakanye sasa ili waache umalaya.
Watazaaje kama hawakupigwa miti kiholela?

NOTE:
Tendo la ndoa ni mahususi kwa wanandoa tu, nje ya hapo ni umalaya.
 
Mzee we si unasemaga kataa ndoa

[emoji1787][emoji1787]
Wenzake wakikataaa ndoaa Ila wakila utamu wa dada zake analiaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Ila Mwanaume unakomaa.kabisaa kataa ndoa alafu Kesho baba ako akimuacha mama ako unalalamika sasa HAYO SI MATATIZO YA AKILI.. unapiga kampeni kataa ndoa kesho dada ako akigongwaa akazalia nyumbani unaanza kulia[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Hapana watu wamefanya unachotakaa KATAA NDOA so apambane kulee wajombaaa.
 
Wenzako wengine huku wamepata bahati ya kuoelewa,,lakini imegundulika hawana uwezo wa kuzaa,,,Waume zao wanataka kuvunja ndoa wawarudishe nyumbani,vikao vya talaka haviishi nyumbani!!! Wewe endelea kulaumu tuu,,ukidhani ya kwamba shida zipo kwenu tuu na hamstahili hayo mnayopitia,,,kaka hii dunia kila mmoja na maswahibu yake,,usiwaone wamekosea sana kuna mambo si lazima kwenye maisha yatokee,,unachotakiwa kama una uwezo either wa kifikra au maono wasaidie,,,au hata uwezo wa kifedha pia wape mikakati na mitaji wajitafute wao,, hao wataendelea kuwa dada zako,,ndugu zako Wa damu usibaki kulaumu wanaume wenzako walio wazalisha haita saidia kitu wala kubadilisha kitu,,,,Wabadilishe wewe Kaka Yao kuijenga heshima ya familia yenu na ndugu zako,,,Malalamiko yako kwa walimwengu hayana maana kwa sasa wataishia kukucheka tuu bila msaada wowote ule,,,Anza sasa chukua hatua utakuja nishukuru!!!Hakuna aliyemtimilifu kamwe,,,hakuwahi kuzaliwa,,hayupo na sidhani kama atakuja kuwepo aliyemtimilfu kuliko wengine,,Narudia tena!!!KAMWEE!!
 
wewe si ndio timu kataa ndoa safi kabisa,dada zako wamekutana na wapuuzi kama wewe. Endelea kuwatuma sigara wapwa zako ,wa kike wakikuakua usiwaache wakawa single mothers huko nje shughulikia mwenyewe ukoo usiende mbali kama unavyowashauri jamaa zako humu

[emoji23][emoji23]
 
Wenzake wakikataaa ndoaa Ila wakila utamu wa dada zake analiaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Ila Mwanaume unakomaa.kabisaa kataa ndoa alafu Kesho baba ako akimuacha mama ako unalalamika sasa HAYO SI MATATIZO YA AKILI.. unapiga kampeni kataa ndoa kesho dada ako akigongwaa akazalia nyumbani unaanza kulia[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Hapana watu wamefanya unachotakaa KATAA NDOA so apambane kulee wajombaaa.
Kuna mtu alimfata mtume s.a.w, akamuomba kuwa kabanwa saana amridhie afanye zinaa kidogo tu,apunguze kichupa, mtu akamuuliza je ukikuta dada yako watu wanaupigwa mwingi au bimkubwa wako watu wanaruka nae je, akasema atamkata mtu kichwa,hawezi vumilia kuona dada au mama yake anaziniwa.
Mtume akamwambia huyo nitakaekuruhusu ukampelekee pumzi za moto nae ni dada wa mtu au mama wa tu, ama shangazi wa mtu n.k

Ndio huyu mwamba ye anakataa ndoa, anagonga dada za watu, halafu baadae anawaonea huruma dada zake(wanawake) kuzalia nyumbani bila ndoa
 
Wenzako wengine huku wamepata bahati ya kuoelewa,,lakini imegundulika hawana uwezo wa kuzaa,,,Waume zao wanataka kuvunja ndoa wawarudishe nyumbani,vikao vya talaka haviishi nyumbani!!! Wewe endelea kulaumu tuu,,ukidhani ya kwamba shida zipo kwenu tuu na hamstahili hayo mnayopitia,,,kaka hii dunia kila mmoja na maswahibu yake,,usiwaone wamekosea sana kuna mambo si lazima kwenye maisha yatokee,,unachotakiwa kama una uwezo either wa kifikra au maono wasaidie,,,au hata uwezo wa kifedha pia wape mikakati na mitaji wajitafute wao,, hao wataendelea kuwa dada zako,,ndugu zako Wa damu usibaki kulaumu wanaume wenzako walio wazalisha haita saidia kitu wala kubadilisha kitu,,,,Wabadilishe wewe Kaka Yao kuijenga heshima ya familia yenu na ndugu zako,,,Malalamiko yako kwa walimwengu hayana maana kwa sasa wataishia kukucheka tuu bila msaada wowote ule,,,Anza sasa chukua hatua utakuja nishukuru!!!Hakuna aliyemtimilifu kamwe,,,hakuwahi kuzaliwa,,hayupo na sidhani kama atakuja kuwepo aliyemtimilfu kuliko wengine,,Narudia tena!!!KAMWEE!!

Ww n noma aisee unaubongo mkubwa sana
 
wewe si ndio timu kataa ndoa safi kabisa,dada zako wamekutana na wapuuzi kama wewe. Endelea kuwatuma sigara wapwa zako ,wa kike wakikuakua usiwaache wakawa single mothers huko nje shughulikia mwenyewe ukoo usiende mbali kama unavyowashauri jamaa zako humu
Kumbe ni karma inamtafuna halafu analaumu shemeji zake....

Shemeji zake ni team kataa ndoa wenzie, inabidi awafanyie sherehe kabisa
 
Kuna mademu wa kirangi na mbulu ni wazuri,huyu mbulu kachanganya na upande mwengine wa warangi. Nakumbuka kipindi nipo advance, gari zilikuwa zinabadilihana pale kwao kuja kuwachukua,wanyabi tena sisi tupo wapenzi watizamaji kuna wana walijaribu wakala vibuti.

Mwisho wa siku huyu Mrangi kazalishwa na dereva wa bajaj hata hatukumzania jamaa mpole,ndiye aliyekuwaga dereva wake wa safari zake fupifupi.Huyu mbulu kazalishwa na mme wa mtu,akawa mke wa pili ndani ya mwaka akapigwa chini. Baada ya hapo sasa wakulungwa ndio ukawa mda wetu wa gombania goli,watu wanapiga then wanakaa pembeni. Ila hugu Mbulu yy akaja kuuolewa na jamaa mmoja muuza nguo.

Huyu menzake wa kirangi karukaruka baadae akarudi kwa baba watoto wake dereva bajaj na jamaa akampiga mimba nyingine mbili faster.
 
Nilichogundua wanaume wa Tanzania waongo waongo tu.

Dada zangu wote mbona hamjawaoa mmeishia kuwapa Mimba tu.

Yaani mwanume ni waongo Sana mlikuwa mnawapeleka guest na Magari leo hii dada zangu wanatembea kwa Miguu kwenda Kliniki (clinic)

Wanaume ambao wapo serious na hawana mpango wa kuwachezea watoto wa watu na kuwafanya single mothers wapo wachache Mno.

Nimeyatafakari haya Maisha ya mahusiano nimebaki Kupata mshangao Sana.

Ushauri : tulieni na punguzeni tamaa za vitu vidogo ukiona Mtu ana gari acha shobo haimaniishi hiyo gari yake ndo upendo . Hasa hawa wanawakel wa zama hizi ambao hawajausoma huu mchezo vizuri.

Kabla hujalaumu wanaume hao? Umeshawahi kuwafuata ujue tabia za dada zako?
I mean players wapo, but also hata mwanaume awe serious vipi kama mwanamke hatambui nafasi yake ataachika tu.

Lawama situpi kwa dada zako, ila ni vema ungejua chanzo ni nn mpaka wamefika hapo
 
Back
Top Bottom