Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dada zako watakuwa malaya wa rejareja. Wakanye sasa ili waache umalaya.Nilichogundua wanaume wa Tanzania waongo waongo tu.
Dada zangu wote mbona hamjawaoa mmeishia kuwapa Mimba tu.
Yaani mwanume ni waongo Sana mlikuwa mnawapeleka guest na Magari leo hii dada zangu wanatembea kwa Miguu kwenda Kliniki (clinic)
Wanaume ambao wapo serious na hawana mpango wa kuwachezea watoto wa watu na kuwafanya single mothers wapo wachache Mno.
Nimeyatafakari haya Maisha ya mahusiano nimebaki Kupata mshangao Sana.
Ushauri : tulieni na punguzeni tamaa za vitu vidogo ukiona Mtu ana gari acha shobo haimaniishi hiyo gari yake ndo upendo . Hasa hawa wanawakel wa zama hizi ambao hawajausoma huu mchezo vizuri.
Wenzake wakikataaa ndoaa Ila wakila utamu wa dada zake analiaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Ila Mwanaume unakomaa.kabisaa kataa ndoa alafu Kesho baba ako akimuacha mama ako unalalamika sasa HAYO SI MATATIZO YA AKILI.. unapiga kampeni kataa ndoa kesho dada ako akigongwaa akazalia nyumbani unaanza kulia[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Hapana watu wamefanya unachotakaa KATAA NDOA so apambane kulee wajombaaa.Mzee we si unasemaga kataa ndoa
[emoji1787][emoji1787]
wewe si ndio timu kataa ndoa safi kabisa,dada zako wamekutana na wapuuzi kama wewe. Endelea kuwatuma sigara wapwa zako ,wa kike wakikuakua usiwaache wakawa single mothers huko nje shughulikia mwenyewe ukoo usiende mbali kama unavyowashauri jamaa zako humu
Kuna mtu alimfata mtume s.a.w, akamuomba kuwa kabanwa saana amridhie afanye zinaa kidogo tu,apunguze kichupa, mtu akamuuliza je ukikuta dada yako watu wanaupigwa mwingi au bimkubwa wako watu wanaruka nae je, akasema atamkata mtu kichwa,hawezi vumilia kuona dada au mama yake anaziniwa.Wenzake wakikataaa ndoaa Ila wakila utamu wa dada zake analiaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Ila Mwanaume unakomaa.kabisaa kataa ndoa alafu Kesho baba ako akimuacha mama ako unalalamika sasa HAYO SI MATATIZO YA AKILI.. unapiga kampeni kataa ndoa kesho dada ako akigongwaa akazalia nyumbani unaanza kulia[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Hapana watu wamefanya unachotakaa KATAA NDOA so apambane kulee wajombaaa.
Wenzako wengine huku wamepata bahati ya kuoelewa,,lakini imegundulika hawana uwezo wa kuzaa,,,Waume zao wanataka kuvunja ndoa wawarudishe nyumbani,vikao vya talaka haviishi nyumbani!!! Wewe endelea kulaumu tuu,,ukidhani ya kwamba shida zipo kwenu tuu na hamstahili hayo mnayopitia,,,kaka hii dunia kila mmoja na maswahibu yake,,usiwaone wamekosea sana kuna mambo si lazima kwenye maisha yatokee,,unachotakiwa kama una uwezo either wa kifikra au maono wasaidie,,,au hata uwezo wa kifedha pia wape mikakati na mitaji wajitafute wao,, hao wataendelea kuwa dada zako,,ndugu zako Wa damu usibaki kulaumu wanaume wenzako walio wazalisha haita saidia kitu wala kubadilisha kitu,,,,Wabadilishe wewe Kaka Yao kuijenga heshima ya familia yenu na ndugu zako,,,Malalamiko yako kwa walimwengu hayana maana kwa sasa wataishia kukucheka tuu bila msaada wowote ule,,,Anza sasa chukua hatua utakuja nishukuru!!!Hakuna aliyemtimilifu kamwe,,,hakuwahi kuzaliwa,,hayupo na sidhani kama atakuja kuwepo aliyemtimilfu kuliko wengine,,Narudia tena!!!KAMWEE!!
Kumbe ni karma inamtafuna halafu analaumu shemeji zake....wewe si ndio timu kataa ndoa safi kabisa,dada zako wamekutana na wapuuzi kama wewe. Endelea kuwatuma sigara wapwa zako ,wa kike wakikuakua usiwaache wakawa single mothers huko nje shughulikia mwenyewe ukoo usiende mbali kama unavyowashauri jamaa zako humu
Dah! Mtenda hutendwaHuyo Ndio kinara kwenye iyo crew nashangaa leo analalamika dada zake hawaolewi wanazalia nyumbani.
Na katika crew yao kauli mbiu yao usioe tafuta mwanamke piga mimba sepa,leo wahuni wenzake wamemzunguka amepigiwa mimba dada zake
Nilichogundua wanaume wa Tanzania waongo waongo tu.
Dada zangu wote mbona hamjawaoa mmeishia kuwapa Mimba tu.
Yaani mwanume ni waongo Sana mlikuwa mnawapeleka guest na Magari leo hii dada zangu wanatembea kwa Miguu kwenda Kliniki (clinic)
Wanaume ambao wapo serious na hawana mpango wa kuwachezea watoto wa watu na kuwafanya single mothers wapo wachache Mno.
Nimeyatafakari haya Maisha ya mahusiano nimebaki Kupata mshangao Sana.
Ushauri : tulieni na punguzeni tamaa za vitu vidogo ukiona Mtu ana gari acha shobo haimaniishi hiyo gari yake ndo upendo . Hasa hawa wanawakel wa zama hizi ambao hawajausoma huu mchezo vizuri.
Watu mnanishambulia lakini hamjui ugumu wa hili Jambo Hakuna Mtu anapenda kuona dada zake wanazalia nyumbani Tena dada zangu wote Bora hata ingekuwa Mmoja.
KATAA NDOAWatu mnanishambulia lakini hamjui ugumu wa hili Jambo Hakuna Mtu anapenda kuona dada zake wanazalia nyumbani Tena dada zangu wote Bora hata ingekuwa Mmoja.
MKUU TUNAKATAA NDOA..Watu mnanishambulia lakini hamjui ugumu wa hili Jambo Hakuna Mtu anapenda kuona dada zake wanazalia nyumbani Tena dada zangu wote Bora hata ingekuwa Mmoja.