Hakuna kitu kinauma humu kama kuona mwenzako anachangamkiwa na mwanamke, utatamani ardhi ipasuke

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa huo utakua uchoyo. Mabody yatakutoa roho
Akili yangu ishajiset kuwa mwanaume aliejaa jaa kwa mazoezi anavutia halaf ana nguvu Kama kunibeba hivi, kunilinda, pia nadhani movie zimeniharibu Wale ma sterring huwa wanavutia pia wana miili iliyojaa kwa mazoezi sasa naonaga Wale waadada wanaoigiza nao wanafaidi kweli, hebu angalia movie zote mastar wengi wao wana mvuto ajabu, sasa nami naonaga hata nipate angalau wa kufanana nao .hata nikiwa kitandani nahisi Kama nipo na Dolf au Jason statham

Akili zangu nazijua mwenyewee
 
Kweli akili zako wazijua mwenyewe.
 
Mimi nakucheki tu alafu nasema hiiiii......!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…