Hakuna kitu kinauma humu kama kuona mwenzako anachangamkiwa na mwanamke, utatamani ardhi ipasuke

Am proud of you my girl!
 
Mfyuuuuu [emoji57]
Hicho kifua kimeanza lini muone vile.

Namshukuru Mungu kwakweli, Vipi wewe umeamka salama?
Yaani ney badala ya kunipa pole unaniambia mfyuu[emoji23][emoji23][emoji23]

Nashukuru nimeamka salama kabisa[emoji120][emoji120][emoji120]
Hii tabia ya kiume ya kusonyana wakati mnapendana mmeianza lini?[emoji848]
 
Kuna id humu huwa inanitaja kila kona yaan uzi hata haunihusu nishatajwa kwa siku naweza tajwa hata Mara kumi unakuwa unaona anataka ukaribu na umpe attention yako tu
Hahahaha na usipo mpa chamoto utakiona
 
Itabidi tu nikuunganishe nae maana sio kwa kumpenda huko[emoji23][emoji23][emoji23]
Tulisha jiunga huku PM, hapa nasubiri aniandikie tu uzi wa kunibebisha... tehteehhh
 
Hahahaha nilijua tu utajifanya hujaelewa swali[emoji23]
Hivi ukimmithii mtu si unaambatanisha na busu, mbona silioni[emoji40] (huyo 3D asisome hapa tafadhali)
Teh teh teh teh
Naomba nikubusu kwenye paji la uso huku nikiwa nimemkubatia iceman wangu
Unataka mpandisha pressure mpenzi wangu aanze kuongea kiingereza sasahivi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…