Am proud of you my girl!Daah kumbe tupo wengi aiseeh wenye kupenda vitu hivyo, iceman wangu mwenyewe naupenda mwili wake balaah kama umeshaona series ya the last ship yule Tom Chandler (Erick Dan) basi copy paste sema yule mzungu huyu muafrika,
Ile miili banah huwa inatufanya tujihisi tupo secured sana aiseeh
Mfyuuuuu [emoji57]
Hicho kifua kimeanza lini muone vile.
Namshukuru Mungu kwakweli, Vipi wewe umeamka salama?
Hii tabia ya kiume ya kusonyana wakati mnapendana mmeianza lini?[emoji848]Yaani ney badala ya kunipa pole unaniambia mfyuu[emoji23][emoji23][emoji23]
Nashukuru nimeamka salama kabisa[emoji120][emoji120][emoji120]
Hahahaha na usipo mpa chamoto utakionaKuna id humu huwa inanitaja kila kona yaan uzi hata haunihusu nishatajwa kwa siku naweza tajwa hata Mara kumi unakuwa unaona anataka ukaribu na umpe attention yako tu
Wanawashwa balaaaa yani khaaaa ukiachwa wafurahi haachwi mtu hapaaMi ndio maana nimeifunga pm ya G najua tabia za humu watu huwa wanawashwa ahhaa,
Kati ya nani na nani?Hivi hapa anaetakiwa kuandika siredi ni nani? (Nasisitiza).
Wambie wambie, baelezeee wanatuharibia uzi sie wenye machungu yetuKafungueni uzi bhana,huku tuacheni wenye malalamiko [emoji23][emoji23][emoji23][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Wambie wambie, baelezeee wanatuharibia uzi sie wenye machungu yetu
Ney hata wewe? Kweli wewe ni wa kunisengenya mchana kweupe?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ndio uuache umbea naona umeanza kujifunza tabia mbaya kama ya Thad
Sio wanaume tu hata sisi wanawake tunayo hiyo tabia. [emoji23]Wanaume wana tabia hiyo utashangaa umechukiwa tu kumbe nyuzi za kusifia wengine muwege mnasema
Hahahaha nilijua tu utajifanya hujaelewa swali[emoji23]Teh teh teh
Umeanza mambo yako eeh
Mekumithiii [emoji85] [emoji85]
Hivi wewe na hayo mapengo yako unapataga warembo humu kweli[emoji12] [emoji12] [emoji12]Nimesoma comments zote hadi hapa.... tehteehhh, nitarudi kuendelea
Unamjua FaizaFoxy....??Hivi wewe na hayo mapengo yako unapataga warembo humu kweli[emoji12] [emoji12] [emoji12]
Wewe na Ney (kuna mtu kaniambia niulize)Kati ya nani na nani?
Itabidi tu nikuunganishe nae maana sio kwa kumpenda huko[emoji23][emoji23][emoji23]Nasubiri FaizaFoxy akuje hapa aseme neno....[emoji12] [emoji12]
Tulisha jiunga huku PM, hapa nasubiri aniandikie tu uzi wa kunibebisha... tehteehhhItabidi tu nikuunganishe nae maana sio kwa kumpenda huko[emoji23][emoji23][emoji23]
Siye mbona jamii yote inajua ni wapenzi haipo haja ya sirediWewe na Ney (kuna mtu kaniambia niulize)
Teh teh teh tehHahahaha nilijua tu utajifanya hujaelewa swali[emoji23]
Hivi ukimmithii mtu si unaambatanisha na busu, mbona silioni[emoji40] (huyo 3D asisome hapa tafadhali)
[emoji4][emoji4][emoji4][emoji8]Am proud of you my girl!
Aisee mbona mimi sifahamu, ntaamini nikiona siredi tu.Siye mbona jamii yote inajua ni wapenzi haipo haja ya siredi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hii tabia ya kiume ya kusonyana wakati mnapendana mmeianza lini?[emoji848]