Shida na raha
JF-Expert Member
- Aug 8, 2014
- 3,773
- 3,471
- Thread starter
-
- #401
Asiende sio kuzuri kule atarudi hana nywele..Au mfate pm [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hahahaha, taratibu maana nakaribia kuzima.Hahha upo Rafiki...imebidi nikuchangamkie ili mtoa mada azidi kuumia(kidding)[emoji3]
Asante mkuu jamani mm sio huyo kwa avatar niliiokota tu huko kwenye mapicha ya watu nikaipenda mm mweusi kibongeam sure ww ndo upo kwenye avatar. I think u mrembo but that are non reasonable characteristics. I
napenda u Charming wako na u Friend wako tu
Kwahiyo pm watu wananyoa nyweleAsiende sio kuzuri kule atarudi hana nywele..
Ni zaidi ya saloon.Kwahiyo pm watu wananyoa nywele
Bahati ya kumdangia haahaJamani bahati gani aliyonayo tena
AiseeeNi zaidi ya saloon.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Bahati ya kumdangia haaha
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] matani yako sio rafiki kwa afya ya mmiliki wa uzi...Hahha upo Rafiki...imebidi nikuchangamkie ili mtoa mada azidi kuumia(kidding)[emoji3]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mwanaume anayekumili ababahati sana
Jamani bahati gani aliyonayo tena
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hahahaha, taratibu maana nakaribia kuzima.
am sure ww ndo upo kwenye avatar. I think u mrembo but that are non reasonable characteristics. I
napenda u Charming wako na u Friend wako tu
Chukua sifa hizo unaruka ruka nini?Asante mkuu jamani mm sio huyo kwa avatar niliiokota tu huko kwenye mapicha ya watu nikaipenda mm mweusi kibonge
Uko na niniChukua sifa hizo unaruka ruka nini?
Niko na nyinyi alafu kumbe upo humu ndio maana uzi unakimbia sana huuUko na nini
Hahah! Nikweli mkuu tulikua pamoja katika hiyo safariNa mm ni shahidi wako kuwa kweli ulikuwemo humu tangu usiku maana tulikuwa wote ila mi nilizimika mida flani
Naendelea kupata ahueni kidogo.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] matani yako sio rafiki kwa afya ya mmiliki wa uzi...
Niko poa rafiki, vipi za kwako?
Mic u babe[emoji173]Pole
Mmh![emoji30]Tatizo ni ID na avatar yako.....badilisha ID yako na avatar ivutie kama Daby, Iceman 3D, Mr Miller, tamuuuu na wengineo. Sasa unakuwa na avatar ya vikongwe kama yangu utafatwa na nani zaidi ya kubaki kuita uwapendao mashemeji tu! [emoji144]
aiseeeh mkuu ushawaka wangap?[emoji16]Mbinu zao ni kama ifuatavyo!.
Huwa wanakuwa active ili kupata attention
Sasa unakuta Wanatengeneza ukaribu Na wanawake wenyewe..ili kupata namba Na mawasiliano!
Asilimia kubwa ya mademu wa Jf wameliwa kwa stahili hiyo.
Unadhan garl mwenzako anaku Pm mnafikishan mpaka kwenye kupeana namba Na kutumiana pics. Hapo ndipo kuna assist!
Hii nyingine SIWEZI itaja maana nitawaumbua
Ila poleni woteeee mnaopata wivu