Hakuna kitu kinauma humu kama kuona mwenzako anachangamkiwa na mwanamke, utatamani ardhi ipasuke

am sure ww ndo upo kwenye avatar. I think u mrembo but that are non reasonable characteristics. I
napenda u Charming wako na u Friend wako tu
Asante mkuu jamani mm sio huyo kwa avatar niliiokota tu huko kwenye mapicha ya watu nikaipenda mm mweusi kibonge
 
Tatizo ni ID na avatar yako.....badilisha ID yako na avatar ivutie kama Daby, Iceman 3D, Mr Miller, tamuuuu na wengineo. Sasa unakuwa na avatar ya vikongwe kama yangu utafatwa na nani zaidi ya kubaki kuita uwapendao mashemeji tu! [emoji144]
Mmh![emoji30]
 
aiseeeh mkuu ushawaka wangap?[emoji16]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…