Cole Williams
JF-Expert Member
- Jun 1, 2016
- 35,265
- 201,451
Ayaaaaaaaaa weeeeeehMbinu zao ni kama ifuatavyo!.
Huwa wanakuwa active ili kupata attention
Sasa unakuta Wanatengeneza ukaribu Na wanawake wenyewe..ili kupata namba Na mawasiliano!
Asilimia kubwa ya mademu wa Jf wameliwa kwa stahili hiyo.
Unadhan garl mwenzako anaku Pm mnafikishan mpaka kwenye kupeana namba Na kutumiana pics. Hapo ndipo kuna assist!
Hii nyingine SIWEZI itaja maana nitawaumbua
Ila poleni woteeee mnaopata wivu
Hahahahahhaha hiii kama imekaaa kicodes ngoja nijaribu kufunguaWewe mke wa mganga utakuwa unakula sana kuku,nitumie basi vipapatio
Wengine tunajuana ndo maanaWivu huua wajinga wote unapataje wivu na mtu ambaye humjui
Mambo mengine ni kuyavumilia kiume au kunyamaza ili ufiche uwezo wa kufikiri
Zaidi ya kuelewaNimekuelewa
Mkuu mwenye thread naona kama inamuhusu[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Braza huo msemo ulikuwa unaulazima sana kwani?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Zaidi ya kuelewa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mkuu mwenye thread naona kama inamuhusu
Ukiwa na bae jf wanamfata pm wanasema huyo demu nimeshamkula hafai[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Shemela kumbe mwajuana huku ni wakati wa Mimi kukufahamu kama mnajuana sio mbayaWivu huua wajinga wote unapataje wivu na mtu ambaye humjui
Mambo mengine ni kuyavumilia kiume au kunyamaza ili ufiche uwezo wa kufikiri
Acha nitiririke moja kwa moja.
Ni hivi imetokea umeanzisha ukaribu na dem humu JF ukawa unajikomba komba lakini kwa bahati mbaya unaona kama vile hakuchangamkii.
Kibaya zaidi mara paaa unaona dem kamuanzishia mshikaji uzi wa kumpenda hapo ndo utajua kwamba 'Zanzibar ina Rais ila Tanganyika haina na yote ni Tanzania'.
Kwa hiyo dada zangu nawaomba humu, ukiniona mimi najipendekeza kwako kubali japo kwa kunidanganya ili upate nafasi ya kunichuna.
Naona kuna watu hajanielewa, ni hivi kwa mfano unampenda Demiss halafu unamkuta kaanzisha uzi wa Mr Tunguli moyo wako unajisikiaje?
Na ndio maana unakuta mtu anaandamwa na ma I'd mapya mapya kila siku, kumbe kisa kupendwa. Niwatakie mfungo mwema kwa wale wafungao.
Wakati hata mkono hajakushika. Sema hili ndo eneo la maajabu wallah watu wanaweza wakakuzushia hata tako unatoa wakati hata mbele hutoi.Ukiwa na bae jf wanamfata pm wanasema huyo demu nimeshamkula hafai
Watu tumekaba mpaka penalty
Mbn umejiqoute wasije sema id yangu imeunganishwaShemela kumbe mwajuana huku ni wakati wa Mimi kukufahamu kama mnajuana sio mbaya
Balaa ni pale kupenda ID na kuanza kujilengesha lengesha kwa mtoto ili akuelewe Mara paaap kumbe dume kama lenzako
Wallahi huu uzi unakuhusu maana mie penzi langu limekudondokea afu ninaona kama lako umemkabidhi mwingineWakati hata mkono hajakushika. Sema hili ndo eneo la maajabu wallah watu wanaweza wakakuzushia hata tako unatoa wakati hata mbele hutoi.
Mimi mbona sijamdondokea bado mtu boo boo. Labda nianze na wewe.Wallahi huu uzi unakuhusu maana mie penzi langu limekudondokea afu ninaona kama lako umemkabidhi mwingine
Hang over bado haijsha shemelaMbn umejiqoute wasije sema id yangu imeunganishwa