Hakuna kitu kinauma humu kama kuona mwenzako anachangamkiwa na mwanamke, utatamani ardhi ipasuke

Hakuna kitu kinauma humu kama kuona mwenzako anachangamkiwa na mwanamke, utatamani ardhi ipasuke

Mbinu zao ni kama ifuatavyo!.
Huwa wanakuwa active ili kupata attention
Sasa unakuta Wanatengeneza ukaribu Na wanawake wenyewe..ili kupata namba Na mawasiliano!
Asilimia kubwa ya mademu wa Jf wameliwa kwa stahili hiyo.
Unadhan garl mwenzako anaku Pm mnafikishan mpaka kwenye kupeana namba Na kutumiana pics. Hapo ndipo kuna assist!

Hii nyingine SIWEZI itaja maana nitawaumbua
Ila poleni woteeee mnaopata wivu
Ayaaaaaaaaa weeeeeeh
 
Wivu huua wajinga wote unapataje wivu na mtu ambaye humjui

Mambo mengine ni kuyavumilia kiume au kunyamaza ili ufiche uwezo wa kufikiri
Shemela kumbe mwajuana huku ni wakati wa Mimi kukufahamu kama mnajuana sio mbaya

Balaa ni pale kupenda ID na kuanza kujilengesha lengesha kwa mtoto ili akuelewe Mara paaap kumbe dume kama lenzako
 
Acha nitiririke moja kwa moja.
Ni hivi imetokea umeanzisha ukaribu na dem humu JF ukawa unajikomba komba lakini kwa bahati mbaya unaona kama vile hakuchangamkii.
Kibaya zaidi mara paaa unaona dem kamuanzishia mshikaji uzi wa kumpenda hapo ndo utajua kwamba 'Zanzibar ina Rais ila Tanganyika haina na yote ni Tanzania'.

Kwa hiyo dada zangu nawaomba humu, ukiniona mimi najipendekeza kwako kubali japo kwa kunidanganya ili upate nafasi ya kunichuna.
Naona kuna watu hajanielewa, ni hivi kwa mfano unampenda Demiss halafu unamkuta kaanzisha uzi wa Mr Tunguli moyo wako unajisikiaje?
Na ndio maana unakuta mtu anaandamwa na ma I'd mapya mapya kila siku, kumbe kisa kupendwa. Niwatakie mfungo mwema kwa wale wafungao.



Tuseme ukweli tu, hivi Shida na raha kwa mapengo kama hayo uliyonayo, mwanamke gani atakukubali?
 
Wakati hata mkono hajakushika. Sema hili ndo eneo la maajabu wallah watu wanaweza wakakuzushia hata tako unatoa wakati hata mbele hutoi.
Wallahi huu uzi unakuhusu maana mie penzi langu limekudondokea afu ninaona kama lako umemkabidhi mwingine
 
Hivi kweli watu tuna shida hata mimi pia unaanzaje kumpenda mtu na id feki humjui mtu tabia yake duh
 
Back
Top Bottom