Hakuna kitu kinauma humu kama kuona mwenzako anachangamkiwa na mwanamke, utatamani ardhi ipasuke

Hakuna kitu kinauma humu kama kuona mwenzako anachangamkiwa na mwanamke, utatamani ardhi ipasuke

Mkuu hata humu unaweza.Anza kuwatajataja wale maarufu utaona unavyochangamkiwa siku zijazo.
Hapana humu mpaka uanze tena kazi ya kuomba picha mara namba, lakini fb diret unamuona mtu jinsi alivyo sehemu aliyopo hata kama kajikrim sana lakini picha zingine utamuona kwenye uhalisia wake. Kingine unapata kuwasiliana nae moja kwa moja via messenger na unapata sauti yake kama ni mbaya au nzuri. Lakini pamoja na yote niliwahi kuwatongoza wawili messenger kumbe wanaume wameweka picha za wake zao, walivoona ntakuja kuwasisimua wakaanza kujitambulisha ila mmoja juzi nikamwambia aondoe picha ya shem itakuja kumletea shida kwa sisi vidume. Mmoja kati ya niliowatongoza alikua sijui mzungu mbio mbio kanitumia picha zake aliona hali nibakoelekea siko. Nilibaki kucheka tu. Ushauri na broo kama fb profile kama unaweka ya shem sikushauri.
 
Hapana humu mpaka uanze tena kazi ya kuomba picha mara namba, lakini fb diret unamuona mtu jinsi alivyo sehemu aliyopo hata kama kajikrim sana lakini picha zingine utamuona kwenye uhalisia wake. Kingine unapata kuwasiliana nae moja kwa moja via messenger na unapata sauti yake kama ni mbaya au nzuri. Lakini pamoja na yote niliwahi kuwatongoza wawili messenger kumbe wanaume wameweka picha za wake zao, walivoona ntakuja kuwasisimua wakaanza kujitambulisha ila mmoja juzi nikamwambia aondoe picha ya shem itakuja kumletea shida kwa sisi vidume. Mmoja kati ya niliowatongoza alikua sijui mzungu mbio mbio kanitumia picha zake aliona hali nibakoelekea siko. Nilibaki kucheka tu. Ushauri na broo kama fb profile kama unaweka ya shem sikushauri.
Hahahaha balaaa.Jf ina namna yake et
 
Hahaha, we acha tu mkuu maana ninavotamani kukutana na mrembo mmoja humu... Lakini kila siku naona anasababisha moyo wangu unayumba.
huyo mrembo ni mzee mkuu,achana nae..najua ni yule anayepeleka compliments love mfululizo kwa ASPIRIN,nilikuona unacheza na chaki kwenye nyuzi zake,hahah pole sana mkuu,though watu wengi wa humu wasikuumize kichwa,wapo total different na uyaonapo majina yao...jiamini!
 
huyo mrembo ni mzee mkuu,achana nae..najua ni yule anayepeleka compliments love mfululizo kwa ASPIRIN,nilikuona unacheza na chaki kwenye nyuzi zake,hahah pole sana mkuu,though watu wengi wa humu wasikuumize kichwa,wapo total different na uyaonapo majina yao...jiamini!
Khaa, mkuu mbona huyo mtu simjui??
 
Kumbeee nilkuwa sijui wengine mpaka wanaenda kunisemea kwa Mganga wameshawahi nikula wanazani ataniacha pyeeeee nimebana mpaka penalty
 
Hahaha, we acha tu mkuu maana ninavotamani kukutana na mrembo mmoja humu... Lakini kila siku naona anasababisha moyo wangu unayumba.
Mwambie siku unakutana nayeee na mm nitakuwepo lazima aje[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Daby hata wewe ungeona hiyo post nauhakika ungeenda kuchungulia kwa profile,kuna watu hawawezi kubadilika anapokuja na id nyingine,aina ya uandishi,mada anazopenda kuchangia pia kama ana bif na mtu akija na id ingine analibeba na kuendeleza mapambano
ulijuaje ndiyo yeye mkuu?
 
Ahaaaaaaaaaaa wapi pambana kaka!.
Kuna wengine wanajichatisha humu .
I'd moja anakuwa garl nyingine anakuwa boy.

Wanaofanya mchezo huo wengi ni washkaji tu. Hawana channel
Kweli kabisaaaa
 
Kupenda ni vzuri, lakini si lazima unaye mpenda na yeye akupende. Hizo ni hisia hazilazimishwi
Mnao fungua nyuzi fungueni tu celebrate mapenzi mubashara
Au sio
IMG-20180525-WA0015.jpg
 
Unapendaje I'd fake?
Kwanza wengine ni wanaume wanatumia I'd za Kike kupata mabwege
Kuna wadau zangu nawahifadhi humu jukwaani ni majanaume shababy,.lakin jf wanatumia I'd za Kike tena ni active!.

Halafu kuna wengine wanajichatisha
I'd moja garl nyingine boy
Hapo atajitongozesha mwenyewe!.

Binafsi ukisema ufatilie/upate ety mwenza Jf hapo umeumia
Kwanza sifa KUU ya member ni KUTOAMINIANA
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Sitaki we mwenyewe nilikutongoza ukanichunia kabla hamjajuana na broo.
Wewe sema tu unanisema mm au kwa sababu siku ile nilipokeaaa simu yako hukutegemea kama Demiss yuko kifuani kwa mganga
 
Wewe mke wa mganga utakuwa unakula sana kuku,nitumie basi vipapatio
Kumbeee nilkuwa sijui wengine mpaka wanaenda kunisemea kwa Mganga wameshawahi nikula wanazani ataniacha pyeeeee nimebana mpaka penalty
 
Back
Top Bottom