kwaku the traveler
JF-Expert Member
- Feb 12, 2023
- 218
- 586
- Thread starter
-
- #181
Kweli ndugu Alafu kuzama jua linachelewa hatari ndio unateseka weweee had linapozama unasema Asanteh mungu siku imeishaUnakuwa unachukia sana ikifika asubuhi na kuifurahia usiku.
Njaa mbaya sn AISEE
Hapo nime summarize tu Nina vingi sijaviweka hapo niliyopitiaUmeandika kwa hisia sana
NipooWe dogo upo
Wewe nae toa upuuzi wako hapa,kila kitu uislamuVitu vya kufanya, kama ni Muislam.
Amka asubuhi nenda msikitini ukasali jamaa na sala za jamaa zisikupite.
Jiunge na chama cha siasa ujumuike na wenzako na ufanye mazoea ya kwenda mara kwa mara. CCM connection nyingi.
Jiunge na vikundi vya michezo, hususan mpira, vya hapo mtaani kwako au jirani na mtaani kwako.
Jiunge na meza za vijana au wazee wanapocheza bao na draft jioni.
Vijiwe vya kahawa ni muhimu sana, ujlvijuwe hata kama vipo mbali na wewe, uwe unaenda kila siku japo mara moja baada kusali alfajiri na au jioni.
Mjuwe mwenyekiti wako wa serikali ya mtaa na wajumbe wake wote. Kuwa karibu nao, siyo kuwajuwa kwa sura tu. Uwe na mawasiliano nao ya karibu.
Mjuwe Diwani wako na uwe na mawasiliano nae ya mara kwa mara.
Wajuwe wafanya biashara wakubwa na wadogo wa mtaani kwako, jisogeze kwao uwe na ukaribu nao.
Wajuwe watu wanaojenga mtaani kwako au maeneo ya karibu na hapo, ufanye ukaribu na mafundi na ma engineer wa ujenzi.
Sasa kijana ukiwa na connection na wote hao na ukiwa na mawasiliano nao utakosa cha kifanya kweli?
Fikiri.
Hakika mkuuKweli ndugu Alafu kuzama jua linachelewa hatari ndio unateseka weweee had linapozama unasema Asanteh mungu siku imeisha
Kama si Muuslam atakwenda msikitini kuswali sala 5?Wewe nae toa upuuzi wako hapa,kila kitu uislamu
Mbona juzi Marco Rubio yule US secretary of State, alisema misaada ya USAID kwa NGO imerudishwa tena 🤔 ERoniJaribu kufikiria wale jamaa walikuwa under 🇺🇸 AID, juzi kuna jamaa waliandaliwa kwenda nyanda za juu kusini kupiga kazi, walishaandaa mambo yao, perdiem za kutosha. Mara paap, safari imesitishwa. Ile miradi iliyopo chini ya USAID yote imelala, zile NGO zilizopata kuendesha miradi chini ya marekani...noma na nusu!
Mkuu nipe basi connection kama ipoKama si Muuslam atakwenda msikitini kuswali sala 5?
AlhamduliLlah, mimi ni Muislam na najivunia Uislam wangu.
hiyo kwenda msikitini tu, kutwa mara 5, inampa mtu connections kibao.
Nenda mjini tuu Kuna vijiwe kibaoYaani unaamka halafu hauna mishe zozote au mishe ulikuwa nazo zinegoma aisee inapain sana.
Nilipitia hii hali basi bwana nilipopanga chumba unaona vyumba vya majirani zako Wanaamka Mapema wanaenda mishe kurudi jioni Mimi nipo tu
Hii hali ilinitesa sana kutokuwa na mishe full no respect mtaani yaani unaona kabisa hapa hii kwakuwa sina mishe
Basi bwana, nikaona nisiwe boya nikaanza nami kuamka mapema naoga na vaa vizuri naondoka kumbuka sina kazi yoyote hapo naenda mjini
Naenda zangu mjini kuzurura kumbuka kama hauna mishe jua linachelewa kuzama hatari
Mimepiga hiyo kitu kama miezi mitatu heshima nilipokuwa nakaa ikarejea kidogo, mabinti walikuwa wengi hapo napoishi wakawa wananiambia eeh sikuizi umepata mishe hongera Mimi najibu si unajua tena, kumbe wangejua nazurura tu mjini huko
Nifupishe, katika kuzurura kwangu nikapata Dili hilo Dili ikanipa Hela kidogo hiyo Hela nikaona fursa huko huko mjini nikatembea nayo
Tutoke maghetoni vijana Dunia Haina huruma na mtu asiyekuwa na shughuli ya kumwingizia kipato
Kama ushapitia hali hii pita hapa toa experience yako ilikuwaje
Mungu awapiganie Wote wanaoamka Asubuh halafu sehemu ya kwenda hawana wapate mishe🙏🏿🙏🏿🙏🏿
Mkuu nipe basi connection kama ipo
Unamaanisha tangu umemaliza degree chuo, uko home miaka 10 bila kazi😲 na bado kula yako inategema wazazi kwa asilimia 100, alooo Tayana-wogAcha tu
10 yrs kitaa ni vile tu,tuna wazazi wanajiweza laa sivyo 🙌
Asante kwa ushauri mzuri ubarikiwe SanaVitu vya kufanya, kama ni Muislam.
Amka asubuhi nenda msikitini ukasali jamaa na sala za jamaa zisikupite.
Jiunge na chama cha siasa ujumuike na wenzako na ufanye mazoea ya kwenda mara kwa mara. CCM connection nyingi.
Jiunge na vikundi vya michezo, hususan mpira, vya hapo mtaani kwako au jirani na mtaani kwako.
Jiunge na meza za vijana au wazee wanapocheza bao na draft jioni.
Vijiwe vya kahawa ni muhimu sana, ujlvijuwe hata kama vipo mbali na wewe, uwe unaenda kila siku japo mara moja baada kusali alfajiri na au jioni.
Mjuwe mwenyekiti wako wa serikali ya mtaa na wajumbe wake wote. Kuwa karibu nao, siyo kuwajuwa kwa sura tu. Uwe na mawasiliano nao ya karibu.
Mjuwe Diwani wako na uwe na mawasiliano nae ya mara kwa mara.
Wajuwe wafanya biashara wakubwa na wadogo wa mtaani kwako, jisogeze kwao uwe na ukaribu nao.
Wajuwe watu wanaojenga mtaani kwako au maeneo ya karibu na hapo, ufanye ukaribu na mafundi na ma engineer wa ujenzi.
Sasa kijana ukiwa na connection na wote hao na ukiwa na mawasiliano nao utakosa cha kifanya kweli?
Fikiri.
Halafu sijui kwanini mtu ukimaliza chuo ukakaa mda mrefu sana bila ajira, maisha yakikupiga, inafika mahali mtu akikuona anaona kama dishi lako limeyumba, ila kiuhalisia una akili timamu, au kuna saa mtu akikuangalia anahisi wewe ni mlevi wa pombe, kumbe kiuhalisia hunywagi pombe hata kidogo mwandendeTena ukiwa na njaa ndy utajuwa Kila kitu ktk maisha yako,wanao kupenda na wasio kupenda utawajuwa.
Kuanzia mke uliyenae,ndugu.
Ukiwa na njaa hata kama una AFYA mgogoro pia itajulikana.
Njaa inadhalilisha utu wa mtu.
Ni hatari ndugu usiombe upitie situation hiyoUnashinda umelala tu,dah hayo mambo yasikie kwa jirani tu
Mkuu hiko Cha kushangaza kwani?Unamaanisha tangu umemaliza degree chuo, uko home miaka 10 bila kazi😲 na bado kula yako inategema wazazi kwa asilimia 100, alooo Tayana-wog
Shemeji chama chako hakifai kuwepo hakina faida yoyote, bora hata chama cha yule donedrake sijui ameendaga wapi naye 😂Mimi Kama raisi wa ma jobless pro max, nakemea hoja yako.
una taka wanachama watoke ili waende wapi??, au lengo lenu ni chama chetu kuvunjika eboo!
Ulikuwa na cha kufanyaUmenikumbusha mbali natoka home naenda vuta ndum
Kikubwa, Uhai, Mkuu mengine one day yes.Mwaka Mmoja tu mkuu wengine hiyo kupigika ndo yashakua maisha yetu tunashkuru mungu tu Kwa kila hali.