Hakuna kitu kinaumiza kama unaamka Asubuhi na hujui utaenda wapi

Yani life acha tu....
 
Sahihi ila hii system nzuri,shida upweke. Ndiyo pigo zangu ila mpunga chekwaa
 
🀝 experience tupu
 
Usipojua pa kwenda ni faida zaidi kuliko hssara, sababu usipojua pa kwenda unaweza ukaenda popote.
 
Nakumbuka hiki kipindi nilisota sana mawazo mengi, ila nashukuru Mungu nilikutana na mtu akanipa mchongo nipo nafanya mpaka sasa napambania nipate mtaji nijiajiri, ili niepukane na kadhia kama hizo ikitokea sina kazi tena.
 
umenikumbusha mbal san naeza jifungia ndan kmy ilimrad tu nionekane na mm nimeenda mishe au na mm natoka asbh km wenzangu kwamaan unabaka om na wake za wati n aibu aseh wanaume wenzio wanaend mishe

Alhamdulilah Mungu sio mwantum nikafanikiwaga kaz iliyonileta makaz km mbili kdg saiv najibana hvyo hvyo na familia yang Alhamdulillah nipo hapa na kula sekela kujipongeza na kakimshahara chang
 

Attachments

  • IMG_0202.jpeg
    597.7 KB · Views: 2
Hongera kwa kujipongeza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…