Hakuna kitu kinaumiza kama unaamka Asubuhi na hujui utaenda wapi

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Uzoefu ni mwalimu mzuri sana. Pia maisha ni safari ndefu. Kwenye safari kuna milima, mabonde, tambalale n.k

Mimi kuna wakati niliwahi kuwa natembea kwa miguu kutoka Kjitonyama kwa Ali Maua hadi Coco Beach kwenda kushangaa mawimbi ya bahari.
 
Uzoefu ni mwalimu mzuri sana. Pia maisha ni safari ndefu. Kwenye safari kuna milima, mabonde, tambalale n.k

Mimi kuna wakati niliwahi kuwa natembea kwa miguu kutoka Kjitonyama kwa Ali Maua hadi Coco Beach kwenda kushangaa mawimbi ya bahari.
Hahahha dah aisee kwanini uliamua kufanya hivyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…