Etugrul Bey
JF-Expert Member
- Aug 6, 2020
- 6,514
- 15,247
Labda hujaelewa nilikuwa namaanisha nini,huyo expert baada ya kuona majirani wanamletea dharau kwa yeye kutokuwa na mishe ndio akaamua nae awe anatoka asubuhi ili mradi aonekane mpambanaji ili apate heshimaBora mara kumi iwe na hy idea ya kutoka nje hata ili tuu uendane na majirani kuliko kukaa tuu ndani bila ishu yoyote, kumbuka akiwa huko nje anaweza kubahatisha chcht kuliko akiwa ndani tuu
Hawakukosea waliosema adui yako muombee njaa! Hakika hawakukosea kabisa njaa isikie kwa wenzako tuUnakuwa unachukia sana ikifika asubuhi na kuifurahia usiku.
Njaa mbaya sn AISEE
Humu kuna ma-don kibao… andika uzi omba kazi, watakucheki tu! Acha unyonge afsaDuh hali hii ndo nayo pitia now
Mkaa bure si sawa na mtembea bure ,haiwezekani deal likukute ukiwa umekaa tu ghetto! Hatari sana hiyo situation.Yaani unaamka halafu hauna mishe zozote au mishe ulikuwa nazo zinegoma aisee inapain sana.
Nilipitia hii hali basi bwana nilipopanga chumba unaona vyumba vya majirani zako Wanaamka Mapema wanaenda mishe kurudi jioni Mimi nipo tu
Hii hali ilinitesa sana kutokuwa na mishe full no respect mtaani yaani unaona kabisa hapa hii kwakuwa sina mishe
Basi bwana, nikaona nisiwe boya nikaanza nami kuamka mapema naoga na vaa vizuri naondoka kumbuka sina kazi yoyote hapo naenda mjini
Naenda zangu mjini kuzurura kumbuka kama hauna mishe jua linachelewa kuzama hatari
Mimepiga hiyo kitu kama miezi mitatu heshima nilipokuwa nakaa ikarejea kidogo, mabinti walikuwa wengi hapo napoishi wakawa wananiambia eeh sikuizi umepata mishe hongera Mimi najibu si unajua tena, kumbe wangejua nazurura tu mjini huko
Nifupishe, katika kuzurura kwangu nikapata Dili hilo Dili ikanipa Hela kidogo hiyo Hela nikaona fursa huko huko mjini nikatembea nayo
Tutoke maghetoni vijana Dunia Haina huruma na mtu asiyekuwa na shughuli ya kumwingizia kipato
Kama ushapitia hali hii pita hapa toa experience yako ilikuwaje
Mungu awapiganie Wote wanaoamka Asubuh halafu sehemu ya kwenda hawana wapate mishe🙏🏿🙏🏿🙏🏿
Tena ukiwa na njaa ndy utajuwa Kila kitu ktk maisha yako,wanao kupenda na wasio kupenda utawajuwa.Hawakukosea waliosema adui yako muombee njaa! Hakika hawakukosea kabisa njaa isikie kwa wenzako tu
Nikutie moyo..siku zako nzuri zaja..kikubwa usikate tamaa,pia jishughulishe hata na kitu kidogo.Duh hali hii ndo nayo pitia now
KwakweliKadri unavyopata na matumizi yanakuwa makubwa. Utashangaa wana madeni makubwa kuliko wewe na mimi, huko Bank wamekopa hadi 50m na hakuna cha maana wamefanya, stress juu ya stress.
Niliye mquote anaelewa.Ndo nn
Umemjibia mkuu.DIZASTA VINA......ft Mex cortez Gnako
😆😆 Ft Mex.Hahaha, sio dizasta??
Daaah nilimuonea HURUMA sana maana alikuwa anakuja na kiporo ya ugali ikifika MCHANA TU anapiga bila kupasha hata........baada ya kujipata kidg siku Moja nkamkuta njiani ni nikiwa na kaboxer kangu nikampa lifti..... aisee MAISHA ni Safari isiyokuwa na RAMANI......it's very pain when your useless in This life🤣 Duh kwahyo ukakimbia kabisa au uliendelea kupiga kazi
Wanaamka saa sita mchana je wanalala saa ngapi?Wabarikiwe wote wanaopitia Hali kama hiyo, life is tough especially for young peoples. Kama huna mtu wa kukushika mkono siku hizi lazima ukomae sana tena sana, achana na masuala yote wewe focus na pesa pamoja kuwa na nidhamu ya maisha na Imani tu, acha mambo ya mademu, acha show off na takataka za starehe nyingine, ww ni kazi na kurudi kulala, unaperuzi kidogo uwe updated unalala then kazi kazi.
Siku moja nilikwenda Kwa msomali mmoja, yeye anaamka saa sita mchana, hata watoto wake wanaamka saa sita mchana, siwezi kushangaa Kwa sababu ameshatega vyanzo vingi karibu ukanda wote wa pwani ya EA. Komaa sana aisee maana hakuna wa kukusaidia hata mmoja zaidi ya maarifa yako.
Kutoka kila siku asubuhi na kurudi jioni ni mentality tu ambayo kimtazamo ni kama itakujengea heshima kwa watu wa nje hasa kama unaishi nyumba ya kiswahili ya watu wengi, lakini ukweli tunaujua wenyewe tunaotoka asubuhi na kurudi jioni.Yaani unaamka halafu hauna mishe zozote au mishe ulikuwa nazo zinegoma aisee inapain sana.
Nilipitia hii hali basi bwana nilipopanga chumba unaona vyumba vya majirani zako Wanaamka Mapema wanaenda mishe kurudi jioni Mimi nipo tu
Hii hali ilinitesa sana kutokuwa na mishe full no respect mtaani yaani unaona kabisa hapa hii kwakuwa sina mishe
Basi bwana, nikaona nisiwe boya nikaanza nami kuamka mapema naoga na vaa vizuri naondoka kumbuka sina kazi yoyote hapo naenda mjini
Naenda zangu mjini kuzurura kumbuka kama hauna mishe jua linachelewa kuzama hatari
Mimepiga hiyo kitu kama miezi mitatu heshima nilipokuwa nakaa ikarejea kidogo, mabinti walikuwa wengi hapo napoishi wakawa wananiambia eeh sikuizi umepata mishe hongera Mimi najibu si unajua tena, kumbe wangejua nazurura tu mjini huko
Nifupishe, katika kuzurura kwangu nikapata Dili hilo Dili ikanipa Hela kidogo hiyo Hela nikaona fursa huko huko mjini nikatembea nayo
Tutoke maghetoni vijana Dunia Haina huruma na mtu asiyekuwa na shughuli ya kumwingizia kipato
Kama ushapitia hali hii pita hapa toa experience yako ilikuwaje
Mungu awapiganie Wote wanaoamka Asubuh halafu sehemu ya kwenda hawana wapate mishe🙏🏿🙏🏿🙏🏿
Umeongea vitu sahihi ndugu ni mentality kuwa ukitoka mapema unaonekana mpambanaji kumbe unaweza kuamka mapema kuchelewa kurud Hila mambo yasiwe hivyoKutoka kila siku asubuhi na kurudi jioni ni mentality tu ambayo kimtazamo ni kama itakujengea heshima kwa watu wa nje hasa kama unaishi nyumba ya kiswahili ya watu wengi, lakini ukweli tunaujua wenyewe tunaotoka asubuhi na kurudi jioni.
Nilishapitia hii hali sema ni vile
akili ndo ili chaji zaidi kuliko kipindi naamshwa na alarm kwenda kumtumikia mwekezaji. Mimi ni wale watu ambao siwezi kuwa comfortable nikiwa idle bila cha kufanya, hivyo naamini sidhani kama kukosa pa kwenda asubuhi ni kukosa cha kufanya labda inategemea na mtu.
Aisee ni hatari Sana Hila nahakika ulipita kwenye huo mtihani kama MimiAfadhali wewe ambaye ulikuwa unaamka na hujuwi pa kwenda,,hata ukaamua kuanza kutoka kwenda mjini kuzurura. Inamaana hata nauli ulikuwa nazo.
Mimi nilikuwa naamka na sijuwi tutakula nini Mimi na family yangu..
hata hyo nauli ya kwenda mjini sijuwi ningepataje.
Ila kweli MUNGU sio athumani AISEE.