Gentlemen_
JF-Expert Member
- Nov 24, 2019
- 4,431
- 13,876
Yeaah tafuta NG'OMBE wako mzuri.. mwenye Afya nzuri fuga.. kuna faida.Soon namimi nitajoin chama chenu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yeaah tafuta NG'OMBE wako mzuri.. mwenye Afya nzuri fuga.. kuna faida.Soon namimi nitajoin chama chenu
Nimechangia tu kulingana na maoni ya mdau, vipi upo singo pia? For how longNdo unajidanganya hivyo,Sasa utakunywa maziwa ya ng'ombe wangapi mkuu[emoji2960]
Nitafanya hivyo mkuu japo utafutaji ni mgumu soko linakabaYeaah tafuta NG'OMBE wako mzuri.. mwenye Afya nzuri fuga.. kuna faida.
Nakwmabia mie nimekaa 6yrs famasiala nini, ndio nikaona hiyo chuma, nayo nikaiwekea 2 yrs kuichunguza. Nikaingia nikapigwa cha mbavu.. nikasota mwaka mzima ndio mkeka ukatiki.Nitafanya hivyo mkuu japo utafutaji ni mgumu soko linakaba
Soko ni gumu kweli kweli ukiingia kizembe unakula za uso mapema kabisa.Nakwmabia mie nimekaa 6yrs famasiala nini, ndio nikaona hiyo chuma, nayo nikaiwekea 2 yrs kuichunguza. Nikaingia nikapigwa cha mbavu.. nikasota mwaka mzima ndio mkeka ukatiki.
Soko la sasa hiv kuna hawa wavuta Shisha na walevi, wavaa uchi na wenye body count kubwa. Mtu early 20s amelala na Wanaume 30.
But her past inabaki kuwa the same.. Mwanamke aliyepitia mikono ya Wanaume wengi hafai. So mie naona ni vyema kudeal na hawa ambao wanakua sio waliokibuhu tyr (Shetani aliyezeeka na kuwa Malaika).Soko ni gumu kweli kweli ukiingia kizembe unakula za uso mapema kabisa.
Hawa under 28 wana mambo mengi sana, wakishavuka hapo ndio wengi kama hawajaolewa hubadilika.
6 yrs? Kumbe mimi nilie single mwaka 1 nisiwe na hofu kabisa.
Kwan mimi ni nani hadi nisiwe single 😂[emoji38][emoji38][emoji38]
Hadi wewe
Kweli mkuuBut her past inabaki kuwa the same.. Mwanamke aliyepitia mikono ya Wanaume wengi hafai. So mie naona ni vyema kudeal na hawa ambao wanakua sio waliokibuhu tyr (Shetani aliyezeeka na kuwa Malaika).
Samaki Mkunje akiwa bado mbichi.
Sikupingi hizo sifa.Hapana si rahisi, kuna vitu ambavyo huvipati kirahisi.
Mwanamke swala 5,
Ana shape (Curvy)
Bado mbichi..
Rangi ya Dubai..
Akili na heshima
Financial literate (unamtumia hela anairudisha/anaitunza next time ukitaka kutuma nyingine anakwambie ile ya siku ile bado ipo).
Haringi, anaongea na kila mtu bila kudharau hali ya mtu. (Ni Classy ila hajiwek hivyo kujikweza)
Sura ndio usiseme, unaweza tembea nae sehem na usione wa kumfunika.
Anajistiri.. havai uchi
Havuti shisha wala hanywi pombe.
Na mavitu mengine huko mengi.. mtu wa hivi kupata substitute yake ni ngumu sana.
Hii ni kweli mimi siku hizi nipo hivyo, wanawake hawanisumbui aisee nimewekeza akili kwingine kabisaNinaposema uhuru wa kihisia namaanisha ewe mwanaume popote ulipo, iwe kazini, chuoni, mtaani hakikisha hawachukulii serious wanawake, yani moyo wako uwe kama jiwe, mtu asipoliondoa litabakia hapo milele, namaanisha uwe na mindset kuwa mdada yoyote nikimtongoza akinikubali sawa, asiponikubali sawa, ruhusu mwanamke afurahie pesa zako lakini kamwe usiwekeze moyo wako kwake, hata biblia inasema linda moyo wako kuliko vyote ulindavyo maana huko ndo kunakotoka chemichemi ya uzima.
Kwa mfano mimi kwenye mazingira nliyopo Mtaani nimezungukwa na wadada wengi single, wengine wameolewa, wengine wanachuo, baadhi wanavutia , ila moyoni sijali hata mmoja, kuanza kuwaza kama huyu ananipenda au la, nkimfata atakubali au la, nifanye nini ili nimpate, hayo kwakweli moyoni mwangu hayapo, niko huru kihisia yani kwa kifupi i don't give a f*ck. Msitafsiri vibaya, sio kwamba nawachukia hao wadada, la hasha, namaanisha kwa mfano hata mdada awe mzuri vipi, kihisia nipo neutral, akae sawa, aende sawa.
Faida ya kuwa huru kihisia, ni kwamba kwa mwanaume itakuongezea ufanisi kazini, itakupunguzia matatizo ikiwemo ya kwenda jela, kuaibika mbele ya ndugu, marafiki na co-workers, kuumia kihisia, kufilisika etc matatizo ambayo yangeweza kuepukika iwapo utakuwa na hii mindset ya kigiriki.
Tatizo letu wanaume ni kwamba baadhi ya wengi wetu tunawekeza hisia zetu, matarajio, na pesa kwenye mahusiano yetu na wadada, that's a future recipe for disaster.
Mruhusu mwanamke ale pesa zako apendavyo, lakini kwa usalama wako kamwe usiwekeze moyo/hisia zako kwa mwanamke. Kama una dini ni bora moyo na hisia zako uzielekeze kwa Mungu.
Sasa kitu ambacho kimenivutia zaidi ni hayo maswala ya 6x6. Mpk nikashangaa haya mambo kayajulia wapi huyu?Sikupingi hizo sifa.
Ebu nitajie na madhaifu yake mawili matatu.
may be ni gogo kitandani.. au ni ...
Kabla sijasema umeowa Malaika 😁😁😁
maziwa unakunywa kila siku? utaumwa tumbohiyo singo kitaalamu ndio hufugi ng'ombe ila maziwa unapata kwa uhakika.
ukiamua kunywa daily ni wewe maana yapo mengimaziwa unakunywa kila siku? utaumwa tumbo
Unapumzi kweli wewe?Ninaposema uhuru wa kihisia namaanisha ewe mwanaume popote ulipo, iwe kazini, chuoni, mtaani hakikisha hawachukulii serious wanawake, yani moyo wako uwe kama jiwe, mtu asipoliondoa litabakia hapo milele, namaanisha uwe na mindset kuwa mdada yoyote nikimtongoza akinikubali sawa, asiponikubali sawa, ruhusu mwanamke afurahie pesa zako lakini kamwe usiwekeze moyo wako kwake, hata biblia inasema linda moyo wako kuliko vyote ulindavyo maana huko ndo kunakotoka chemichemi ya uzima.
Kwa mfano mimi kwenye mazingira nliyopo Mtaani nimezungukwa na wadada wengi single, wengine wameolewa, wengine wanachuo, baadhi wanavutia , ila moyoni sijali hata mmoja, kuanza kuwaza kama huyu ananipenda au la, nkimfata atakubali au la, nifanye nini ili nimpate, hayo kwakweli moyoni mwangu hayapo, niko huru kihisia yani kwa kifupi i don't give a f*ck. Msitafsiri vibaya, sio kwamba nawachukia hao wadada, la hasha, namaanisha kwa mfano hata mdada awe mzuri vipi, kihisia nipo neutral, akae sawa, aende sawa.
Faida ya kuwa huru kihisia, ni kwamba kwa mwanaume itakuongezea ufanisi kazini, itakupunguzia matatizo ikiwemo ya kwenda jela, kuaibika mbele ya ndugu, marafiki na co-workers, kuumia kihisia, kufilisika etc matatizo ambayo yangeweza kuepukika iwapo utakuwa na hii mindset ya kigiriki.
Tatizo letu wanaume ni kwamba baadhi ya wengi wetu tunawekeza hisia zetu, matarajio, na pesa kwenye mahusiano yetu na wadada, that's a future recipe for disaster.
Mruhusu mwanamke ale pesa zako apendavyo, lakini kwa usalama wako kamwe usiwekeze moyo/hisia zako kwa mwanamke. Kama una dini ni bora moyo na hisia zako uzielekeze kwa Mungu.
Upo huru kihisiaNinaposema uhuru wa kihisia namaanisha ewe mwanaume popote ulipo, iwe kazini, chuoni, mtaani hakikisha hawachukulii serious wanawake, yani moyo wako uwe kama jiwe, mtu asipoliondoa litabakia hapo milele, namaanisha uwe na mindset kuwa mdada yoyote nikimtongoza akinikubali sawa, asiponikubali sawa, ruhusu mwanamke afurahie pesa zako lakini kamwe usiwekeze moyo wako kwake, hata biblia inasema linda moyo wako kuliko vyote ulindavyo maana huko ndo kunakotoka chemichemi ya uzima.
Kwa mfano mimi kwenye mazingira nliyopo Mtaani nimezungukwa na wadada wengi single, wengine wameolewa, wengine wanachuo, baadhi wanavutia , ila moyoni sijali hata mmoja, kuanza kuwaza kama huyu ananipenda au la, nkimfata atakubali au la, nifanye nini ili nimpate, hayo kwakweli moyoni mwangu hayapo, niko huru kihisia yani kwa kifupi i don't give a f*ck. Msitafsiri vibaya, sio kwamba nawachukia hao wadada, la hasha, namaanisha kwa mfano hata mdada awe mzuri vipi, kihisia nipo neutral, akae sawa, aende sawa.
Faida ya kuwa huru kihisia, ni kwamba kwa mwanaume itakuongezea ufanisi kazini, itakupunguzia matatizo ikiwemo ya kwenda jela, kuaibika mbele ya ndugu, marafiki na co-workers, kuumia kihisia, kufilisika etc matatizo ambayo yangeweza kuepukika iwapo utakuwa na hii mindset ya kigiriki.
Tatizo letu wanaume ni kwamba baadhi ya wengi wetu tunawekeza hisia zetu, matarajio, na pesa kwenye mahusiano yetu na wadada, that's a future recipe for disaster.
Mruhusu mwanamke ale pesa zako apendavyo, lakini kwa usalama wako kamwe usiwekeze moyo/hisia zako kwa mwanamke. Kama una dini ni bora moyo na hisia zako uzielekeze kwa Mungu.
Malaika au Jini sio binadamu huyo. believe meSasa kitu ambacho kimenivutia zaidi ni hayo maswala ya 6x6. Mpk nikashangaa haya mambo kayajulia wapi huyu?
Nikajifunza kitu kwamba kuna watu wapole na unaweza wachukulia poa poa kumbe ni moto wa kuotea mbali.
Swala la udhaifu ni WIVU uliopitiliza kwa siku ni simu kila saa, mfn juz nimeongea nae mara 19.