Hakuna kitu kizuri kwa mwanaume kama kuwa na uhuru wa kihisia linapokuja suala la mapenzi

Hakuna kitu kizuri kwa mwanaume kama kuwa na uhuru wa kihisia linapokuja suala la mapenzi

Nitafanya hivyo mkuu japo utafutaji ni mgumu soko linakaba
Nakwmabia mie nimekaa 6yrs famasiala nini, ndio nikaona hiyo chuma, nayo nikaiwekea 2 yrs kuichunguza. Nikaingia nikapigwa cha mbavu.. nikasota mwaka mzima ndio mkeka ukatiki.

Soko la sasa hiv kuna hawa wavuta Shisha na walevi, wavaa uchi na wenye body count kubwa. Mtu early 20s amelala na Wanaume 30.
 
Nakwmabia mie nimekaa 6yrs famasiala nini, ndio nikaona hiyo chuma, nayo nikaiwekea 2 yrs kuichunguza. Nikaingia nikapigwa cha mbavu.. nikasota mwaka mzima ndio mkeka ukatiki.

Soko la sasa hiv kuna hawa wavuta Shisha na walevi, wavaa uchi na wenye body count kubwa. Mtu early 20s amelala na Wanaume 30.
Soko ni gumu kweli kweli ukiingia kizembe unakula za uso mapema kabisa.

Hawa under 28 wana mambo mengi sana, wakishavuka hapo ndio wengi kama hawajaolewa hubadilika.
 
Soko ni gumu kweli kweli ukiingia kizembe unakula za uso mapema kabisa.

Hawa under 28 wana mambo mengi sana, wakishavuka hapo ndio wengi kama hawajaolewa hubadilika.
But her past inabaki kuwa the same.. Mwanamke aliyepitia mikono ya Wanaume wengi hafai. So mie naona ni vyema kudeal na hawa ambao wanakua sio waliokibuhu tyr (Shetani aliyezeeka na kuwa Malaika).

Samaki Mkunje akiwa bado mbichi.
 
Hapana si rahisi, kuna vitu ambavyo huvipati kirahisi.

Mwanamke swala 5,
Ana shape (Curvy)
Bado mbichi..
Rangi ya Dubai..
Akili na heshima
Financial literate (unamtumia hela anairudisha/anaitunza next time ukitaka kutuma nyingine anakwambie ile ya siku ile bado ipo).
Haringi, anaongea na kila mtu bila kudharau hali ya mtu. (Ni Classy ila hajiwek hivyo kujikweza)
Sura ndio usiseme, unaweza tembea nae sehem na usione wa kumfunika.
Anajistiri.. havai uchi
Havuti shisha wala hanywi pombe.

Na mavitu mengine huko mengi.. mtu wa hivi kupata substitute yake ni ngumu sana.
Sikupingi hizo sifa.
Ebu nitajie na madhaifu yake mawili matatu.
may be ni gogo kitandani.. au ni ...

Kabla sijasema umeowa Malaika 😁😁😁
 
Ninaposema uhuru wa kihisia namaanisha ewe mwanaume popote ulipo, iwe kazini, chuoni, mtaani hakikisha hawachukulii serious wanawake, yani moyo wako uwe kama jiwe, mtu asipoliondoa litabakia hapo milele, namaanisha uwe na mindset kuwa mdada yoyote nikimtongoza akinikubali sawa, asiponikubali sawa, ruhusu mwanamke afurahie pesa zako lakini kamwe usiwekeze moyo wako kwake, hata biblia inasema linda moyo wako kuliko vyote ulindavyo maana huko ndo kunakotoka chemichemi ya uzima.

Kwa mfano mimi kwenye mazingira nliyopo Mtaani nimezungukwa na wadada wengi single, wengine wameolewa, wengine wanachuo, baadhi wanavutia , ila moyoni sijali hata mmoja, kuanza kuwaza kama huyu ananipenda au la, nkimfata atakubali au la, nifanye nini ili nimpate, hayo kwakweli moyoni mwangu hayapo, niko huru kihisia yani kwa kifupi i don't give a f*ck. Msitafsiri vibaya, sio kwamba nawachukia hao wadada, la hasha, namaanisha kwa mfano hata mdada awe mzuri vipi, kihisia nipo neutral, akae sawa, aende sawa.

Faida ya kuwa huru kihisia, ni kwamba kwa mwanaume itakuongezea ufanisi kazini, itakupunguzia matatizo ikiwemo ya kwenda jela, kuaibika mbele ya ndugu, marafiki na co-workers, kuumia kihisia, kufilisika etc matatizo ambayo yangeweza kuepukika iwapo utakuwa na hii mindset ya kigiriki.

Tatizo letu wanaume ni kwamba baadhi ya wengi wetu tunawekeza hisia zetu, matarajio, na pesa kwenye mahusiano yetu na wadada, that's a future recipe for disaster.

Mruhusu mwanamke ale pesa zako apendavyo, lakini kwa usalama wako kamwe usiwekeze moyo/hisia zako kwa mwanamke. Kama una dini ni bora moyo na hisia zako uzielekeze kwa Mungu.
Hii ni kweli mimi siku hizi nipo hivyo, wanawake hawanisumbui aisee nimewekeza akili kwingine kabisa
 
Sikupingi hizo sifa.
Ebu nitajie na madhaifu yake mawili matatu.
may be ni gogo kitandani.. au ni ...

Kabla sijasema umeowa Malaika 😁😁😁
Sasa kitu ambacho kimenivutia zaidi ni hayo maswala ya 6x6. Mpk nikashangaa haya mambo kayajulia wapi huyu?

Nikajifunza kitu kwamba kuna watu wapole na unaweza wachukulia poa poa kumbe ni moto wa kuotea mbali.

Swala la udhaifu ni WIVU uliopitiliza kwa siku ni simu kila saa, mfn juz nimeongea nae mara 19.
 
Ninaposema uhuru wa kihisia namaanisha ewe mwanaume popote ulipo, iwe kazini, chuoni, mtaani hakikisha hawachukulii serious wanawake, yani moyo wako uwe kama jiwe, mtu asipoliondoa litabakia hapo milele, namaanisha uwe na mindset kuwa mdada yoyote nikimtongoza akinikubali sawa, asiponikubali sawa, ruhusu mwanamke afurahie pesa zako lakini kamwe usiwekeze moyo wako kwake, hata biblia inasema linda moyo wako kuliko vyote ulindavyo maana huko ndo kunakotoka chemichemi ya uzima.

Kwa mfano mimi kwenye mazingira nliyopo Mtaani nimezungukwa na wadada wengi single, wengine wameolewa, wengine wanachuo, baadhi wanavutia , ila moyoni sijali hata mmoja, kuanza kuwaza kama huyu ananipenda au la, nkimfata atakubali au la, nifanye nini ili nimpate, hayo kwakweli moyoni mwangu hayapo, niko huru kihisia yani kwa kifupi i don't give a f*ck. Msitafsiri vibaya, sio kwamba nawachukia hao wadada, la hasha, namaanisha kwa mfano hata mdada awe mzuri vipi, kihisia nipo neutral, akae sawa, aende sawa.

Faida ya kuwa huru kihisia, ni kwamba kwa mwanaume itakuongezea ufanisi kazini, itakupunguzia matatizo ikiwemo ya kwenda jela, kuaibika mbele ya ndugu, marafiki na co-workers, kuumia kihisia, kufilisika etc matatizo ambayo yangeweza kuepukika iwapo utakuwa na hii mindset ya kigiriki.

Tatizo letu wanaume ni kwamba baadhi ya wengi wetu tunawekeza hisia zetu, matarajio, na pesa kwenye mahusiano yetu na wadada, that's a future recipe for disaster.

Mruhusu mwanamke ale pesa zako apendavyo, lakini kwa usalama wako kamwe usiwekeze moyo/hisia zako kwa mwanamke. Kama una dini ni bora moyo na hisia zako uzielekeze kwa Mungu.
Unapumzi kweli wewe?

sio bure, nawasaiwasi na tatizo la pumzi Yako , ambalo linawafanya vijana wengi sasa ivi kuwa waelimisha rika, washauri kumbe bana ni baada ya kuchoka fedheha zinazowakuta kunako 6kwa6.....
Ni hamna kitu, ni vimaji tu kama kuku au upepo tu eti ndio kafika kileleni mlima Kilimanjaro.......

Sawa ndugu mshauri....
 
Ninaposema uhuru wa kihisia namaanisha ewe mwanaume popote ulipo, iwe kazini, chuoni, mtaani hakikisha hawachukulii serious wanawake, yani moyo wako uwe kama jiwe, mtu asipoliondoa litabakia hapo milele, namaanisha uwe na mindset kuwa mdada yoyote nikimtongoza akinikubali sawa, asiponikubali sawa, ruhusu mwanamke afurahie pesa zako lakini kamwe usiwekeze moyo wako kwake, hata biblia inasema linda moyo wako kuliko vyote ulindavyo maana huko ndo kunakotoka chemichemi ya uzima.

Kwa mfano mimi kwenye mazingira nliyopo Mtaani nimezungukwa na wadada wengi single, wengine wameolewa, wengine wanachuo, baadhi wanavutia , ila moyoni sijali hata mmoja, kuanza kuwaza kama huyu ananipenda au la, nkimfata atakubali au la, nifanye nini ili nimpate, hayo kwakweli moyoni mwangu hayapo, niko huru kihisia yani kwa kifupi i don't give a f*ck. Msitafsiri vibaya, sio kwamba nawachukia hao wadada, la hasha, namaanisha kwa mfano hata mdada awe mzuri vipi, kihisia nipo neutral, akae sawa, aende sawa.

Faida ya kuwa huru kihisia, ni kwamba kwa mwanaume itakuongezea ufanisi kazini, itakupunguzia matatizo ikiwemo ya kwenda jela, kuaibika mbele ya ndugu, marafiki na co-workers, kuumia kihisia, kufilisika etc matatizo ambayo yangeweza kuepukika iwapo utakuwa na hii mindset ya kigiriki.

Tatizo letu wanaume ni kwamba baadhi ya wengi wetu tunawekeza hisia zetu, matarajio, na pesa kwenye mahusiano yetu na wadada, that's a future recipe for disaster.

Mruhusu mwanamke ale pesa zako apendavyo, lakini kwa usalama wako kamwe usiwekeze moyo/hisia zako kwa mwanamke. Kama una dini ni bora moyo na hisia zako uzielekeze kwa Mungu.
Upo huru kihisia

Ila umeandika kwa hisia Sana!!

Wewe haupo huru ila unaishi maisha ya liwalo na liwe.

Nipo kwa ajili yako fika post opposite na jengo la RITA upate ushauri nasaha

UNAMATATIZO

Sent from my SM-A047F using JamiiForums mobile app
 
Sasa kitu ambacho kimenivutia zaidi ni hayo maswala ya 6x6. Mpk nikashangaa haya mambo kayajulia wapi huyu?

Nikajifunza kitu kwamba kuna watu wapole na unaweza wachukulia poa poa kumbe ni moto wa kuotea mbali.

Swala la udhaifu ni WIVU uliopitiliza kwa siku ni simu kila saa, mfn juz nimeongea nae mara 19.
Malaika au Jini sio binadamu huyo. believe me
 
Back
Top Bottom