Hakuna kitu kizuri kwa mwanaume kama kuwa na uhuru wa kihisia linapokuja suala la mapenzi

Hakuna kitu kizuri kwa mwanaume kama kuwa na uhuru wa kihisia linapokuja suala la mapenzi

Mwanamke yeyote mwenye akili sanaaa, hata asipokua mzuri sana ila awe mjanja yani,
huyo ndio huwa namtamani,
Hivi genius wa kike wapo kweli ???
Siwaoni ety.
Skuli macrush wangu wa kike mostly ni waalimu wangu wa kike.

Ila sura na makalio ya mwanamke haviwezi kuniatract hata kidogo
Sapio sexual, Makes two of us. Mwanaume hata awe na nini, kichwani zisipochaji kwa mujibu wa vipimo vyangu 🗑️🚮 Sorry not sorry.

Kichwani kuchaji haihusiani na shule/kwenda shule etc sababu katika hili kuna mengi.

Nilienda kijiji fulani kwa kazi za kijamii, sijui mwenyekiti/mtendaji yule alikuwa very smart, nilimpenda (sio kimapenzi tho) na tulielewana sana.
 
Binafsi nina mpenzi mmoja, na ni complete package. Sijui kama naeleweka nikisema ni complete package.

Ananipa Amani mno tofauti na kipinid nilivyokuwa single (6yrs). Nimewekeza hisia hapo.

Faida yake ni kwamba kutamani wanawake wengine imekuwa ngumu sana hivyo kutotumia fedha, muda, hisia kwenye mahusiano mengine au wanawake wengine.

Mie nashauri kuna muda inabidi uwe kwenye mahusiano ya mtu ambae una ndoto ya kufunga nae ndoa na sio kuingia ktk mahusiano na mtu just ilimradi siku ziende.

NB: Nilifanya vetting kwa miaka miwili ndio nikaamua kumtongoza, nikazungushwa mwaka mzima mpk kukubaliwa.
May God bless your “coming “ union.

Back bencher muitikie Hallelujah!
 
Sapio sexual, Makes two of us. Mwanaume hata awe na nini, kichwani zisipochaji kwa mujibu wa vipimo vyangu 🗑️🚮 Sorry not sorry.

Kichwani kuchaji haihusiani na shule/kwenda shule etc sababu katika hili kuna mengi.

Nilienda kijiji fulani kwa kazi za kijamii, sijui mwenyekiti/mtendaji yule alikuwa very smart, nilimpenda (sio kimapenzi tho) na tulielewana sana.
shule zetu za kibongo ni uwe na kichwa cha kukalili tu, ubongo wa mbele mkubwa, una memorise

but kuna interagency au kuwa very clever and smart 🔥
 
Labda mimi tu ila kiukweli sijawahi kuwa na imani na mwanamke yeyote yule, I have never taken them seriously.
 
May God bless your “coming “ union.

Back bencher muitikie Hallelujah!
Screenshot_20231031_185119.jpg

Amiin... Inshaallah.
 
Hapa wasipo kuelewa basi wasubirie kulia na kujinyonga tuu

""" kamwe usiwekeze moyo/hisia zako kwa mwanamke""""
Mnanitisha kishenzi washkaji zangu, mi kuna demu hisia zangu zinampenda sana for months now, nasema ngoja nisimtongoze labda kuna siku hisia zitaisha kama zilivyoisha za aliyepita, nikidhani kuwa ni wenge langu, ila kiukweli hisia za kumpenda ndo zinazidi mpaka naplan nimtongoze. Akili inaniambia nimwache apite hivi, ila moyo(hisia) zinaniambia nimchukue awe wangu na ikiwezekana nimuoe.
 
Ninaposema uhuru wa kihisia namaanisha ewe mwanaume popote ulipo, iwe kazini, chuoni, mtaani hakikisha hawachukulii serious wanawake, yani moyo wako uwe kama jiwe, mtu asipoliondoa litabakia hapo milele, namaanisha uwe na mindset kuwa mdada yoyote nikimtongoza akinikubali sawa, asiponikubali sawa, ruhusu mwanamke afurahie pesa zako lakini kamwe usiwekeze moyo wako kwake, hata biblia inasema linda moyo wako kuliko vyote ulindavyo maana huko ndo kunakotoka chemichemi ya uzima.

Kwa mfano mimi kwenye mazingira nliyopo Mtaani nimezungukwa na wadada wengi single, wengine wameolewa, wengine wanachuo, baadhi wanavutia , ila moyoni sijali hata mmoja, kuanza kuwaza kama huyu ananipenda au la, nkimfata atakubali au la, nifanye nini ili nimpate, hayo kwakweli moyoni mwangu hayapo, niko huru kihisia yani kwa kifupi i don't give a f*ck. Msitafsiri vibaya, sio kwamba nawachukia hao wadada, la hasha, namaanisha kwa mfano hata mdada awe mzuri vipi, kihisia nipo neutral, akae sawa, aende sawa.

Faida ya kuwa huru kihisia, ni kwamba kwa mwanaume itakuongezea ufanisi kazini, itakupunguzia matatizo ikiwemo ya kwenda jela, kuaibika mbele ya ndugu, marafiki na co-workers, kuumia kihisia, kufilisika etc matatizo ambayo yangeweza kuepukika iwapo utakuwa na hii mindset ya kigiriki.

Tatizo letu wanaume ni kwamba baadhi ya wengi wetu tunawekeza hisia zetu, matarajio, na pesa kwenye mahusiano yetu na wadada, that's a future recipe for disaster.

Mruhusu mwanamke ale pesa zako apendavyo, lakini kwa usalama wako kamwe usiwekeze moyo/hisia zako kwa mwanamke. Kama una dini ni bora moyo na hisia zako uzielekeze kwa Mungu.
Aisee, mtazikwa mkijadili wanawake sasa. Maana kuandika tu haya umeonyesha hisia juu yao. Usiwe na hisia kwani wewe unaubongo nusu au umekuwa roboti. Fanya yako, tengeneza maisha yako, jidiscipline njia zako. Wanawake wapo tu, ukiwa nao au usipokuwa nao hufi chamsingi uishi kwaamani na uhuru. Too much discussion about women, kwani mnataka muwe wao au mnataka wauwawe tubaki sisi wenyewe duniani.
 
Back
Top Bottom