Hakuna kosa wala dhambi kumkumbuka Magufuli, aliiweza nchi, kwa sasa kuwa na uhakika wa mambo ya kesho, haijulikani

Kosa la magufuli ni moja tu kwenu, kuwatimua wapumbavu wote waliokuwa wamejifanta wasomi kumbe vilaza wakubwa

Nyakati zile za kipumbavu, utamkuta Dkt akifanya opareshen ya kichwa ili hali mgonjwa alipaswa afanyiwe mguuni

Pumbavu zao vilaza wale! Sjui ndo kina nyie??
 
Unamdanganya nani?
 
Mlimwagwa mitandaoni kama utitiri Kwa sababu ya kupambana na marehemu tu!!!

Mwanaume kama binti
 
Acha shobo bei iliwahi fika 4,000 Mkoani huko Dar ilikuwa kati ya 3000-35000 wakawa wanasema bei elwkesi ni 2700-2800 lakini wapi.
Acha uwongo kijana hii ya 4000 ni yenu msiojali maisha ya wananchi, mnajali wizi na kutetea mafisadi

Hivi ile ripoti ya CAG mbali na kelele za bunge lenu la maccm imefikia wapi?
 
Yule mtu angeendelea angeharibu Nchi harafu awe anawaambia wapumbavu eti Mabeberu wanamuonea wivu anajenga Sgr ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Hakuna mtu mwenye akili anaweza acha Nchi iwe kama Zimbabwe kisa tabia za kishenzi za mtu mmja tuu.
 
Wewe ndo ulikuwepo nchini peke ako?
 
Unaona unacjokifanya hapa
Chuki mby sn
Chuki au naweka sawa ukweli? ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Kumbe mbapenda sifa tuu ila mlipoharibu hamtaki ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ

Bora bwana yule aendelee kuongoza malaika mbinguni kama alivyosemaga yeye au nasema.uongo ndugu zangu?
 
Mlimwagwa mitandaoni kama utitiri Kwa sababu ya kupambana na marehemu tu!!!

Mwanaume kama binti
Wako tayari kutetea ujinga na upuuzi wa utawala huu! Lakini wao wanaona sawa tu!
Mtu mweusi kumtenganisha na upumbavu sio rahisi!
 
Huyu mama ananikumbusha awamu ya kikwete. Hapa ni sawa na ulikuwa unatumia Itel unaamua kubadili simu unachukua Tecno
 
Hatupaswi kukumbuka aliyofanya JPM! Tunalinda heshima ya Mama!
Ndivyo utamaduni wetu ulivyo! Yale mazuri aliyofanya JPM tunahesabu yamefanywa na Mama! Yaliyofanywa na JMK tulihesabu yalifanywa na JPM! Yaliyofanywa na BWM tunahesabu yalifanywa na JMK. na kurudi nyuma huko!
Kwa hiyo kwa sasa sifa zote ziende kwa Mama! Tatizo la Umeme litaisha na maisha yataaendelea!
 
huyu wa sasa hakuna jipya zaidi anafuata nyayo za mwanaume kiufupi ni mtumwa wa ilani iliyoandaliwa na jembe mwamba tingatinga bulldozer kiboko ya mashoga kiboko ya majizi majambazi maporaji maharamia makuwadi mazezeta matoto ya mama uenye vyeti feki mazembe mazururaji mababaishaji masaliti yalikiri yakakiri yakaduwaa mbele ya Simba Tai fastjet
 
๐Ÿšฎ๐Ÿšฎ๐Ÿšฎ Kama anafuata nyayo unasikia vyuma kukaza au watu kutekwa na kupotea?

That dude was useless ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
๐Ÿšฎ๐Ÿšฎ๐Ÿšฎ Kama anafuata nyayo unasikia vyuma kukaza au watu kutekwa na kupotea?

That dude was useless ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Kwa hiyo saizi hawatekwi? Hao vijana wa vingunguti Waliouawa juzi hapa,Kijana wa mbezi week ilopita kaonekana ameuliwa!
Wale vijana wa Kariakoo wa tano mpaka leo hawajawahi kuonekana, Geita nako watu wamepotea!
Mauaji kila kona ya nchi huyaoni wewe punga?
Mauaji vituo vya polisi na Wagonjwa kupata mateso mahospitalini na kufa kwa uzembe husikii?
Yaani wewe akitekwa mmoja mwanasiasa ndo jambo hatari ila wakitekwa na kuuliwa wananchi wa kawaida sawa tu!
Jinga kabisa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ