Nsanzagee
JF-Expert Member
- Jun 28, 2023
- 2,209
- 4,769
- Thread starter
- #21
Kosa la magufuli ni moja tu kwenu, kuwatimua wapumbavu wote waliokuwa wamejifanta wasomi kumbe vilaza wakubwaAs for now miradi inaendelea na mingine Mingi imeanzishwa Kwa nini saruji isiadimike?
Unakumbuka Dangote alitaka kutimkia? Mwendazake hakuna alivhoweza Kila mtu alikuwa mbaya kwake.
Wakitaka kumpora pesa Dangote shenzi zenu.
Mimi huwezi nidanganya awamu ya 5 Nina kumbukumbu vizuri.
Hata Mafuta ya kula yamianza kupanda 2019,Mafuta ya magari Kuna mwaka yaliadimika
Nyakati zile za kipumbavu, utamkuta Dkt akifanya opareshen ya kichwa ili hali mgonjwa alipaswa afanyiwe mguuni
Pumbavu zao vilaza wale! Sjui ndo kina nyie??