Hakuna kosa wala dhambi kumkumbuka Magufuli, aliiweza nchi, kwa sasa kuwa na uhakika wa mambo ya kesho, haijulikani

Hakuna kosa wala dhambi kumkumbuka Magufuli, aliiweza nchi, kwa sasa kuwa na uhakika wa mambo ya kesho, haijulikani

Aliyesababisha Hadi Sukari kutoa 1500-2000 Hadi 3000-3500 ni Magufuli.

Huko kwenye umeme hakuna miujiza yeyote sana sana ni kwamba matumizi ya umeme yalipungua Kwa sababu watu walikimbia na kufunga biashara hivyo grid haikuwa na pressure tofauti na Sasa ambako kila kitu kimefunguka.

Hakuna wakati wowote Nchi hii Iko pazuri kushinda awamu ya 6,Kumlinganisha mtu aliyepora pesa za wafanyabiashara na Watumishi Kwa sababu ya kufilisika ni kumkosea heshima Samia.

Mwisho hakuna mtu anakukataza kumuwaza Mwendazake,wenzako wanaomtumia kama.kete ya siasa Kwa wajinga wewe unamkumbuka kushinda Muumba wako,hapo ndipo laana itakutafuna.
Inaonesha unaandika vitu kwa stress tu, sasa kama yeye alisababisha sukari kupanda bei nani kaizuia isishuke bei au kubakia bei ile ile baadaa ya yeye kufariki? Kwa hiyo wewe ulitaka vitu vibaki bei ile ile toka tumepata uhuru? Unajua bei ya sukari wakati tunapata uhuru ilikuwa shilingi ngapi? Kinachoangaliwa sio vitu kupanda bei mkuu.

Katika uchumi ni lazima vitu vipande bei na vingine vishuke ili kuleta economic balance. Kinachotakiwa kitdhibitiwe ni mfumuko wa bei hiki ndicho kinachoumiza walaji hasa wa chini na kunufaisha wachache.
 
Inaonesha unaandika vitu kwa stress tu, sasa kama yeye alisababisha sukari kupanda bei nani kaizuia isishuke bei au kubakia bei ile ile baadaa ya yeye kufariki? Kwa hiyo wewe ulitaka vitu vibaki bei ile ile toka tumepata uhuru? Unajua bei ya sukari wakati tunapata uhuru ilikuwa shilingi ngapi? Kinachoangaliwa sio vitu kupanda bei mkuu.

Katika uchumi ni lazima vitu vipande bei na vingine vishuke ili kuleta economic balance. Kinachotakiwa kitdhibitiwe ni mfumuko wa bei hiki ndicho kinachoumiza walaji hasa wa chini na kunufaisha wachache.
Stress zipi Sasa? Au wewe unaishi Norway? Sukari ilikuwa bei kagi Hadi mnamfukia?

Mwisho kuharibu ni rahisi kuliko kujenga.
 
Tupate viongozi 30 dizaini ya akina Magufuli na Kagame. Tuwape miaka 20 - 30 tu halafu waondoke. Afrika yote itavuvumka. Ndiyo kutakuwa na maumivu lakini pia hakuna maendeleo bila maumivu maana maendeleo hayaji kwa kurembuliana macho na kuchekeleana kwa sauti tamu huku mkifundishana jinsi ya kuangalia urefu wa kamba zenu ili msiingiliane katika ufakamiaji wa raslimali za taifa.

Hata wazungu wenyewe waliendelea wakati wa udikteta wa kifalme na kimalkia. Siamini kama wangeendelea kama wangekuwa na huu upuuzi wa eti demokrasia na kubembelezana.

Afrika inahitaji viongozi dizaini ya akina Magufuli na Kagame kwa sasa halafu kubembeleza kuje huko baada ya maendeleo kuwa yameshapatikana...kama wazungu walivyofanya!

Demokrasia hii isiyo na faida ni mtego tu kwa nchi za Kiafrika! 🚮🚮🚮
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Watu mliokuwa mnabutuliwa na Magu mna hasira nae sana!
Mkuu ni kweli wote walioadhirika na ukatili wa Mwendazake na walipata maumivu makali mno na sio aibu kwao kueleza hisia zao. Wanayo haki sawa na wewe uliyekuwa nafurahia kuumizwa kwao.

Mkuu usitegemee kwa mfano waadhirika wa bomoa bomoa Kimara, tetemeko la kagera, vyeti feki, wapinzani, viongozi wa dini, waandishi wa Habari, wanafunzi wa vyuo vikuu, wastaafu, wafanyabiashara, wafanyakazi, wawekezaji, wavuvi, wafugaji, wakulima na familia za azori, saanane na wa kibiti watafurahi! usione watu wapo kimya watu wanamaumivu makubwa ya ulemavu, kufilisika na kupoteza ndugu zao!
 
Wale wahuni walioleta ngonjera za vyuma vimekaza sasa hivi huwasikii kabisa, wapo busy wanakula kwa urefu wa kamba, amaa kweli Tanzania ni kichwa cha mwendawazimu
 
Kosa la magufuli ni moja tu kwenu, kuwatimua wapumbavu wote waliokuwa wamejifanta wasomi kumbe vilaza wakubwa

Nyakati zile za kipumbavu, utamkuta Dkt akifanya opareshen ya kichwa ili hali mgonjwa alipaswa afanyiwe mguuni

Pumbavu zao vilaza wale! Sjui ndo kina nyie??

Samia alikuwa Makam wa Magufuli, alichofanya Magufuli Samia aliunga mkono kwa 100%. Mnamsifu Magufuli na kumponda Samia hamna akili, wote ni matapeli na majizi+ uigizaji.
Magufuli ameiba mapesa mengi Nchi hii kuliko Rais yeyeto, Magufuli amefanya wahitimu wa vyuo vikuu kupoteza muelekeo wa maisha,Magufuli ameua watumishi waliotumikia serikali ya CCM akawatumbua na pesa za pensheni zao akala!, Magufuli ametahifisha lanchi ya Karagwe...
Samia amewagawia wajomba zake loliondi, ngorongoro, Samia ameuza Bandari ya Dsm kwa wajomba zake .... Kumuondoa Samia kwenye maovu ya Magufuli na kumpa Magufuli sifa huku ukimponda Samia automaticlly Wewe ni mpumbavu.
👍🆒
 
Ni ujinga kulazimishwa eti tusikumbuke uzuri wa ilivyokuwa awamu ya Magufuli

Ni ujinga kuendelea kutiana moyo kwamba, eti tupo pazuri na tunaelekea pazuri zaidi

hivi, Magufuli alitumia miujiza gani kwenye suala la Umeme na mgao kutokuwepo?

Yeye alifanyeje kumeneji suala la mlipuko wa bei za vyakula mbali na kuwa kwenye janga la Korona dunia nzima?

Alitumia mbinu gani kufanya nishati ya mafuta isipande na nauli kuwa juu, licha kwamba kipindi cha Korona meli nyingi zilipaki?

Sukari nayo imeshindikana sasa kushuka licha ya kuwa na kiwanda cha Bagamoyo sugar na kikubwa kulikoni vyote East Africa, sukari kg 4000 mpaka 4500, kweli???

Tunatafutana nini hapo?

kila mtu anayetokea mikoa ya mbali atakubaliana nami kwamba, kwa sasa suala na safari kutoka mkoa hadi mkoa, ni kama adhabu ya ndogo ya jehanamu

Kutoka kuwa na nauli ya tsh 70,000 kwenda Bukoba hadi 100,000+

Kutoka nauli ya 300 jijini Dar hadi 900 na 1100??

Halafu kuna mpuuzi mmoja anaendelea kusema ni sawa?

Kutoka kuwa na matibabu ziro kwa wajawazito na watoto chini ya umri wa miaka 0 hadi 5, leo ni pesa??

Kutoka kuwa na umeme 27,000 wa REA hadi kutojulikana kama kuna REA au hakuna, maana bei ni ileile 310,000, bado kuna mjinga anaona ni sawa?

Tusikumkumbuke Magufuli kwa sababu ya wajinga wachache aliowatimua kazini?

Kwa sababu tu aliwadhibiti waliokuwa wanajilipa mapesa kupitia watumishi hewa?

Hao ndio watufanye tusisemee mazuri hayo kwa sababu ya matusi yao mitandaoni?

Mnataka tuwasifu kwenye lipi sasa ikiwa kila kitu kimepanda bei?

Watu hawalazimishwi kusifia, wafanyie mambo mazuri wakusifu, kwa sasa tusifu nini na tumsifie nani na kwa lipi?

2025 nayo ile palee, kila kitu kimegoma kurudi mahali pake,, mtatuambia nini wapiga kura sisi?

Tisheti na kanga?

Na bahati mbaya hata makanisani na misikitini huwa mnakwenda kumzuga padri, Asikofu na shekhe ili hali mkijua njia yenu ni ovu kuliko waovu wote, mnasubiri muibe kura [emoji23] na mjitangaze mmeshinda kwa kishindo!!

Mnakula mema ya nchi mkiendelea kuwahadaa wananchi walala hoi kwamba mnawatengenezea maisha bora? Njia zenyewe ndio hizo za kupandisha gharama kwenye kila bidhaa??

Mungu ilinde Tanzania kwa mkono wako wa chuma!

Uwabariki viongozi wetu waçhache wanaomaanisha kuwatumikia wananchi
Ni kichaa tu ama mjinga au mpumbavu ambaye atabishana na wewe. Magufuli was a real hero
 
Kila muwamba ngoma ngozi huvutia kwake,kwetu Chumwi sukari kilo elfu nne,ila tunashukuru mvua inanyesha ya kutosha na mahindi ya kuchoma tayari....
 
Kila muwamba ngoma ngozi huvutia kwake,kwetu Chumwi sukari kilo elfu nne,ila tunashukuru mvua inanyesha ya kutosha na mahindi ya kuchoma tayari....
😂😂😂

Barikiweni hapo njombe mkuu
 
Mkuu ni kweli wote walioadhirika na ukatili wa Mwendazake na walipata maumivu makali mno na sio aibu kwao kueleza hisia zao. Wanayo haki sawa na wewe uliyekuwa nafurahia kuumizwa kwao.

Mkuu usitegemee kwa mfano waadhirika wa bomoa bomoa Kimara, tetemeko la kagera, vyeti feki, wapinzani, viongozi wa dini, waandishi wa Habari, wanafunzi wa vyuo vikuu, wastaafu, wafanyabiashara, wafanyakazi, wawekezaji, wavuvi, wafugaji, wakulima na familia za azori, saanane na wa kibiti watafurahi! usione watu wapo kimya watu wanamaumivu makubwa ya ulemavu, kufilisika na kupoteza ndugu zao!
Veti feki..??

Walitakiwa kunyongwa!

Na yeyote mwenye kutaka kuleta mabadiriko ya kweli kwenye hii nchi ya watetea ufisadi, ni lazima auvae umagufuli
 
Alikua na mabaya yake mengi tuu kama walivyo binadamu wengine lakini kwa kinacho endelea sasa hivi Tanzania hatutaacha kumkumbuka kwa mazuri yake mwamba Magufuli
 
Huko kwenye umeme hakuna miujiza yeyote sana sana ni kwamba matumizi ya umeme yalipungua Kwa sababu watu walikimbia na kufunga biashara hivyo grid haikuwa na pressure tofauti na Sasa ambako kila kitu kimefunguka.
Sababu ya namna hii ni ya kijinga tu
 
Stress zipi Sasa? Au wewe unaishi Norway? Sukari ilikuwa bei kagi Hadi mnamfukia?

Mwisho kuharibu ni rahisi kuliko kujenga.
Wakati huyu mamako anaingia ikulu alikuta bei gani na sasa inauzwa bei gani?

Hakuna mtu hopeless kama huyu mamako.

Kila kitu kapandisha, watz sasa hivi wana stress maana daladala tu wanazopanda kujipatia mkate wa kila siku nako nauli ni mkasi!

Yani mtu kaona tozo zote hazitoshi mwishowe akaona awakamue hadi masikini ili wanapojinunulia vi luku vya buku buku nako awe anachukua hela kwa mgongo wa kodi ya jengo!

Mavi matupu.
 
Wakati huyu mamako anaingia ikulu alikuta bei gani na sasa inauzwa bei gani?

Hakuna mtu hopeless kama huyu mamako.

Kila kitu kapandisha, watz sasa hivi wana stress maana daladala tu wanazopanda kujipatia mkate wa kila siku nako nauli ni mkasi!

Yani mtu kaona tozo zote hazitoshi mwishowe akaona awakamue hadi masikini ili wanapojinunulia vi luku vya buku buku nako awe anachukua hela kwa mgongo wa kodi ya jengo!

Mavi matupu.
Amewanyoosha.

Mbona huzungumzii hao hao Watanzania walivyoongezewa kipato kutoka na Ajira,Kilimo,kukua biashara,kufutiwa Kodi sumbufu,kupunguziwa gharama za matibabu nk?

Kama maisha ni magumu umewahi sikia kitu gani kimedoda huko mtaani?

Ukiwa hopeless na stressful wewe usidhani ni wote

View: https://www.instagram.com/p/C1_VkVntwGH/?igsh=MWIxOTB3OXA1ZHlyYQ==
 
Back
Top Bottom