Wapo wadada wasomi,wanajiheshimu na kujitunza...Sema tu wanaume hamtulizi mabichwa yenu mnapotafuta wenza.kama kweli bikra sina shida ila kuja kuamini hii ni yenyewe na hii ni feki aisee kwa hawa wamjini mungu anisamehe bora mtafute gumegume lilowashinda mitume nije niowe sio kwa kutiana magonjwa ya moyo kama hayo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ngoja nikwambie kitu,huwa mnashindwa kuelewa jambo moja ,kila mtu anatafuta mahala apumzishe roho yake na mwili,haiwezekani roho ikawa mbagara mwili unalala bunju,haya mambo ni kudanganya ,binafsi huwezi niuzia sex kwa ndoa yaan eti huwezi kulala na mimi mpaka uniowe ,mimi ukiniambia hivi huwa nakuacha ,maana najua utanisumbua siku ntapokuja kukuowa ukanipa mzigo nikakuta mashine yenyewe labda mbovu au ina likeji ntaaumia sana maana ntakuwa nimepoteza muda wangu alafu kwa matarajio makubwa nakuja pata kitu sio,bora nikuowe nikijua kasoro zako na kama ntaamua kuzibeba basi iwe kwa hiyari lakini kwa kuaminishwa au mwa masharti
Subutuuuuuu...![emoji2] [emoji2] byongo tusilishane matango poriii hao wasomi wa karne hii au iliyopita aiseeeee[emoji87] [emoji87] [emoji87]Wapo wadada wasomi,wanajiheshimu na kujitunza...Sema tu wanaume hamtulizi mabichwa yenu mnapotafuta wenza.
Eti upate gume gume lililowashinda mitume[emoji3] [emoji3] [emoji3]
Bikra original zipo tena za wadada wasomi.
Misstrace unaakili kama mimiUnang'ang'ania hadi ndoa unakuta jamaa hapandi mtungi, kuonjana ndo habari ya mjini kila mtu arizike na mzigo.
Subutuuuuuu...![emoji2] [emoji2] byongo tusilishane matango poriii hao wasomi wa karne hii au iliyopita aiseeeee[emoji87] [emoji87] [emoji87]
ok inawezakan ila akipatikana mmoja niambie ila ntataka uthibitisho wa kupima mwenyewe[emoji4]Wa karne hii ndio.
Me nakwambia tena wapoo!!
Nshakwambia wapo,wewe tuuu...ok inawezakan ila akipatikana mmoja niambie ila ntataka uthibitisho wa kupima mwenyewe[emoji4]
Sasa ndugu yangu unakaa na vitu vizuri kuvitumia huwezi kwanini usitupe wenye matumizi yetu[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]Nshakwambia wapo,wewe tuuu...
HeheheSasa ndugu yangu unakaa na vitu vizuri kuvitumia huwezi kwanini usitupe wenye matumizi yetu[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
[emoji4] [emoji4] [emoji4] Waambie walegeze mashart huwenda nikaanza kuwahitaji ,maana hata mpishi wa futari anaruhusiwa kuonjaHehehe
Ushasema huko juu kwamba bikra huwataki..
Watu hawataki kunajisiwa miili yao,wanajitunza kwa ajili ya waume zao
Aiii[emoji4] [emoji4] [emoji4] Waambie walegeze mashart huwenda nikaanza kuwahitaji ,maana hata mpishi wa futari anaruhusiwa kuonja
Anamtesa tu mkaka wa watu!!!Wadada wengine utakuta bikra zote mbili hawana (ya tigo hawana hlf ya papuchi hawana) then linakwambia tusubiri mpaka ndoa mxeeeeww Paprika
Acha kuhamasisha watu wafanye maovu ili hali unajua unaongopa kama nae alikuongopea basi huda budi kumuacha mbaya zaidi kuongopeana inaumiza sanaUnang'ang'ania hadi ndoa unakuta jamaa hapandi mtungi, kuonjana ndo habari ya mjini kila mtu arizike na mzigo.
Maovu mangapi umeshayafanya hadi sasa hivi au unadhani kuzini tu?Acha kuhamasisha watu wafanye maovu ili hali unajua unaongopa kama nae alikuongopea basi huda budi kumuacha mbaya zaidi kuongopeana inaumiza sana
Hahahaha huo ni useng* asee, maana mimi mwanamke akinambia yeye Bikra lazma nimle kama nidhamuahidi nitamuoa sasa anakuwa na wasiwasi gani akikataa ina maana haniamini na namuacha hapohapohahaha tatizo mkuu waha ni zaidi ya bongo movie ,kwanza hata akikuruhusu kupima oil basi kelele zake utasema kama kuku ananyofolewa manyoya akiwa hai ,Achana kabisa na sanaa za hawa watu
basi hata wakiachika huko waisite kunitafuta[emoji4] [emoji4] [emoji4]Aiii
Hawataki chovya chovya..
Nyie subirieni magube gube ndo size yao.
Hawa watoto wazuri watasubiri,wanaume wema hawajaisha!