INAUZWA Hakuna kupigwa tena. Flash orijino na za uhakika kutoka Japan hizi hapa kwa bei ya tupate wote

INAUZWA Hakuna kupigwa tena. Flash orijino na za uhakika kutoka Japan hizi hapa kwa bei ya tupate wote

kunonu

Member
Joined
Jun 28, 2020
Posts
88
Reaction score
121
Kuna vitu viwili vinatukera sisi Kunonu Teknolojia kwenye jamii yetu ya Kitanzania kwenye matumizi ya teknolojia ya flash kwa matumizi ya nyumbani au ofisini.

Mosi ni kwamba watu wanauziwa 'flash feki' hivyo zinawafia haraka zikiwa na vitu vyao muhimu. Pili, wengi wanauziwa 'flash' kwa bei za juu mno, bei haziendani na thamani ya hizo 'flash'. Utakuta GB 32 inauzwa TZS 25,000 hadi TZS 35,000.

Vitu hivi vinatukera sana sisi, hivyo tunataka watu wasipigwe tena. Tunauza 'flash orijino' za kampuni ya KIOXIA kutoka Japan(Made in Japan) kwa bei ya 'tupate wote' GB 32 tunakupa kwa TZS 18,000 tu. Najua wengine watasema hizo ni 'feki' kwa sababu wamezoea zile za bei ghari, tumeshakutana na visa hivi vingi tu.

Tutafute kwenye mitandao ya kijamii kwa jina la 'kunonutek' au tutafute kwa #0629831936 Wengi waliodaka 'flash' zetu wamekuwa wanafamilia yetu wa kudumu. Tunapatikana Makumbusho, Dar es Salaam.

KIOXIA_TransMemory_U202_USB_Blue_32GB.png

White_32GB.png
 
Nazifahamu,
Ni Flash nzur Sana hizo,
Tatizo Bei zako msumari sana
kama unazifahamu, hapo magoli, kuhusu bei zinapoa, tukishindwana unatafuta sehemu nyingine, kitu kizuri ni kuwa unajua flash za uhakika ni zipi wambie na wenzako.
 
Vipi kuhusu memory cards
Memory cards zetu ni za uhakika, moja kwa moja kutoka Dubai.
Bei zetu ni kama ifuatavyo:
2 GB - TZS 8000
4 GB- TZS 10,000
8 GB - TZS 14,000
16 GB - TZS 16,000
32 GB - TZS 18,000
64 GB - TZS 25,000
 

Attachments

  • IMG_20220418_102137_650.jpg
    IMG_20220418_102137_650.jpg
    457.3 KB · Views: 16
Kuna vitu viwili vinatukera kwenye jamii yetu ya Kitanzania kwenye matumizi ya teknolojia ya flash kwa matumizi ya nyumbani au ofisini.

Mosi ni kwamba watu wanauziwa flash fake hivyo zinawafia haraka zikiwa na vitu vyao muhimu. Pili, wengi wanauziwa flash kwa bei za juu mno, bei haziendani na thamani ya hizo flash. Utakuta GB 32 inauzwa TZS 25,000 hadi TZS 35,000.

Vitu hivi vinatukera sana sisi, hivyo tunataka watu wasipigwe tena. Tunauza flash orijino za kampuni ya KIOXIA kutoka Japan(Made in Japan) kwa bei ya 'tupate wote' GB 32 tunakupa kwa TZS 18,000 tu. Najua wengine watasema hizo ni feki kwa sababu wamezoea zile za bei ghari, tumeshakutana na visa hivi vingi tu.

Tutafute kwenye mitandao ya kijamii kwa jina la 'kunonutek' au tutafute kwa #0629831936 Wengi waliodaka flash zetu wamekuwa wanafamilia yetu wa kudumu. Tunapatikana Makumbusho, Dar es Salaam.

View attachment 2325524
View attachment 2325525
Mku Tzs15000/ kwani nikutafute uliko kama uko Dar
 
Back
Top Bottom