Hakuna mapenzi au ndoa kwa wenzi wanaoishi mbalimbali

Hakuna mapenzi au ndoa kwa wenzi wanaoishi mbalimbali

Mamy K

JF-Expert Member
Joined
Apr 30, 2017
Posts
3,154
Reaction score
11,082
Habari zenu wakuu.

Wahenga walisema "fimbo ya mbali haiui nyoka" wahenga walijaa busara hasa, wakaongeza na asiyekuwepo na lake halipo.

Mimi muhenga mwandamizi nasema hivi, hakuna mapenzi ya kweli, yasiyoambatana na usaliti Kwa wenzi wanaoishi mbalimbali....Yani we uko Kigoma, baby wako Yuko Tandahimba halafu ujipe Moyo hawakusaidiii....never.....labda huko aliko kusiwe na wanawake au wanaume.

Najua ukweli Una tabia ya kuchoma, inauma, Ila huo ndo ukweli.......utasaidiwa tuuu, utake usitake! Kama ni mke utachapiwa, Kama ni mume utabebewa.......kuishi pamoja kunapunguza frequency za kusalitiana....!

Kuna wataosema ooh wanawake waliotulia wapo, watavumiliaa mume akae hata mwaka ......nawacheck afu nasema hiiiiiiiiii🤣🤣🤣🤣.
 
Watu wanaishi pamoja jan to dec ila kuchepuka wanaweza shinda tuzo.
Trust me uchepukaji wa wanaoishi pamoja hauwezi kuwa Sawa na wanaoishi mbalimbali.....watachepuka Ila watachepukia lodge huko....Kama ni mume familia ataendelea kuitunza.

Imagine mume yupo Mara huko, anaingiza mwanamke in the same room mke akija kumtembelea atafikia, mke Yuko Pwani anaingiza mwanaume on the same bed Jamaa akija anajishindia......!
 
Ww una pata tuzo gani ku-promote uchepukaji wa mume na mke? Mbali zaidi umefikia level ya kulipa credit hili swala la kiovu dhambi ya kumchukiza Mungu.

Nilidhani baada ya mwisho wa kutoa maelezo yako ya swala la distance katika mapenzi, ww ungekuwa mstari wa mbele kuwaonya baadhi ya watu waache kuchepuka kwa maana ni furaha ya muda mfupi yenye majuto makubwa sana na maumivu makali, cha ajabu ww umeamua kulipa mkazo hili jambo kama ni la kawaida.

Kupitia uzi wako utajikuta umeingia hatiani mbele ya Mungu kwa kuwashawishi baadhi ya waume au wake za watu humu MMU kuuona hili swala ni la kawaida na kuingia dhambini.

My point: hakuna mkamilifu, dhambi zipo kwa ajili ya sisi kuzishinda ila sio kuzihalalisha mbele ya watu na kuonekana ni kitu cha kawaida.
 
Long distance relationships tuwaachie wazungu. Kwetu sisi ni kupotezeana muda tu. Hata ufanyeje utachapiwa tu! Utadanganywa danganywa ili uendelee kutuma pesa lakini hakuna kitu majamaa yanamhondomola tu demu wako. Halafu jamaa wanaokuchapia wanaweza hata kuja kukurushia vijembe laivu na hakuna kitu utafanya 🚮🚮🚮🚮

#Kambayambalihaiuinyoka
#Asiyekuweponalakehalipo
#KuchapiwaHakuepukiki
#KitandaHakizaiHaramu
#Kuchapiwanisiriyandani
 
Back
Top Bottom