Hakuna mapenzi au ndoa kwa wenzi wanaoishi mbalimbali

Hakuna mapenzi au ndoa kwa wenzi wanaoishi mbalimbali

Long distance relationships tuwaachie wazungu. Kwetu sisi ni kupotezeana muda tu. Hata ufanyeje utachapiwa tu! Utadanganywa danganywa ili uendelee kutuma pesa lakini hakuna kitu majamaa yanamhondomola tu demu wako. Halafu jamaa wanaokuchapia wanaweza hata kuja kukurushia vijembe laivu na hakuna kitu utafanya 🚮🚮🚮🚮

#Kambayambalihaiuinyoka
#Asiyekuweponalakehalipo
#KuchapiwaHakuepukiki
#KitandaHakizaiHaramu
#Kuchapiwanisiriyandani
Aisee kwa taarifa yako wazungu ndo hawafahai kabisa, mimi ninafanya kazi mahali kuna wazungu wa nchi mbalimbali wanabebana mno, bora wa swahili wanajificha ficha, wazungu ni nyoko msikariri mambo
 
Kwani inang'oka, waacha ichakatwe ndio kazi yake, sio kitafunio hicho cha kunywa na chai
 
Tatizo sie wazazi wa watoto wa kike hatutaki watoto wetu waolewe wakaa kama golikipa maana tumewekeza hela nyingi kuwasomesha wanetu
Ndugu hata Mimi wazazi wangu wamenisomesha na hawapendi kabisa niwe golikipa.
Nimeona kwa wazazi wangu na wala hakukuwa na migongano na tulilewa vizuri tu.
Mama yangu mpaka leo anatusisitiza tufanye kazi yeyote yakukuingizia kipato hata kama mume ataweza kukuhudumia ila usikubali kumtegemea.
Nadhani hili la kufanya kazi halina tatizo shida ni malezi umewaleaje wanao.
Je ulikuwamfano mzuri au ndio ulikuwa majanga katika ndoa Mana mtoto wa nyoka ni nyoka.
Kama mama hakuwa na adabu wala kumuheshimu mume au kuheshimiana kwenye ndoa watoto watafanya hivohivo mana ndio umewalea hivo.
 
Ndugu hata Mimi wazazi wangu wamenisomesha na hawapendi kabisa niwe golikipa.
Nimeona kwa wazazi wangu na wala hakukuwa na migongano na tulilewa vizuri tu.
Mama yangu mpaka leo anatusisitiza tufanye kazi yeyote yakukuingizia kipato hata kama mume ataweza kukuhudumia ila usikubali kumtegemea.
Nadhani hili la kufanya kazi halina tatizo shida ni malezi umewaleaje wanao.
Je ulikuwamfano mzuri au ndio ulikuwa majanga katika ndoa Mana mtoto wa nyoka ni nyoka.
Kama mama hakuwa na adabu wala kumuheshimu mume au kuheshimiana kwenye ndoa watoto watafanya hivohivo mana ndio umewalea hivo.
Shida ipo maana kwa maishanya sas kama mke nae kasoma atatataka kuwa kazinj na hivyo basi kuna mida mtaishi mbali mbali. Huwezi kumwambia mke eti acha kazinunifuate mimi. Hilo ni suala gumu sana.

Pale wanandoa wanapo ishi mbali mbali kwa mida mrefu basi shetani nae anaona ni fursa ya kufanya yake. Hapo mkae mkao wa kushare tuu hamna jinsi.
 
Back
Top Bottom