Hakuna ajuae labda ni miaka 50 ijayo au zaidi, lakini hili halikwepeki.
Najua humu JF kuna wachambuzi wazuri wa haya mambo ya politics za nchi,
Ni kitu gani kinachoweza kuchangia ccm itolewe madarakani.
Najua humu JF kuna wachambuzi wazuri wa haya mambo ya politics za nchi,
Ni kitu gani kinachoweza kuchangia ccm itolewe madarakani.
- Vyuma vikikaza sana
- Mpasuko mkubwa ndani ya CCM utaotengeneza chama kipya
- Muungano kuvunjika
- Civil Unrest nchi nzima - Maandamano, migomo, kufunga barabara, n.k.
- au?