- Thread starter
- #21
Kukiwa kuna kina Luhaga Mpina kama 20 hivi inawezekanaMpasuko wa ccm ndio likely kuja kuitoa ccm not otherwise na hili litatokea pale wale wanaojiona chama ni mali yao wakija kubaguliwa na mtu mgeni kwenye chama ambaye wataona hastahili kuwatenga, civil unrest kwa tanzania bado sana maana polisi wetu kwakweli tuwape hongera wamekuwa makini kwa viashiria vyovyote vya kuvuruga amani
Kuhusu polisi ni rahisi kucontroll civil unrest sababu watanzania wachache sana wana uthubutu wa kuwa face field force, Mnaweza kuandamana wengi ila defender moja tu ikionekana kila moja anatawanyika wanaobaki wanahesabika.