Kukiwa kuna kina Luhaga Mpina kama 20 hivi inawezekanaMpasuko wa ccm ndio likely kuja kuitoa ccm not otherwise na hili litatokea pale wale wanaojiona chama ni mali yao wakija kubaguliwa na mtu mgeni kwenye chama ambaye wataona hastahili kuwatenga, civil unrest kwa tanzania bado sana maana polisi wetu kwakweli tuwape hongera wamekuwa makini kwa viashiria vyovyote vya kuvuruga amani
Upekee wa 2025 ni kwamba uchaguzi 2025 ni uchaguzi utakao amua hatima kati ya Tanganyika au Zanzibar.hio 2025 cha mtoto, Kulikuwa na chaguzi za 1995, 2010, 2015.
Tume ambayo haichaguliwi na viongozi walioko madarakani hilo limeshashindikana. Bora liingie jeshi ilo wote tujute, baada ya hapo wote tutatii sheria. Ccm haina uwezo wa kupata 50% kwenye uchaguzi huru maana ni chama cha wazee.Umejuaje kuwa wanajeshi wakipindua hawataitisha uchaguzi tena na ccm ikashinda?
Jeshi likipindua na lisiitishe uchaguzi, utatamani ni bora ungekuwa unatawaliwa na CCM.
Kwa kifupi kabisa, ni uwendawazimu kutamani utawala wa kijeshi.
Njia sahihi na bora zaidi, ni tume huru ya uchaguzi, tume ambayo haichaguliwi na viongozi walio madarakani.
Watakuja kutolewa na reila odingaHakuna ajuae labda ni miaka 50 ijayo, lakini its certain.
Najua humu JF kuna wachambuzi wazuri wa haya mambo ya politics za nchi,
Ni kitu gani kinachoweza kuchangia ccm itolewe madarakani.
- Vyuma vikikaza sana
- Mapinduzi ya jeshi
- Mpasuko mkubwa ndani ya ccm utaotengeneza chama kipya
- Civil war watu kuanza kujiorganize misituni kupindua nchi
- Muungano kuvunjika
- Civil Unrest nchi nzima - Maandamano, migomo, kufunga barabara, n.k.
- au ?
Hujaweka Kurudi Kwa Masii (Yesu kristo)Hakuna ajuae labda ni miaka 50 ijayo, lakini its certain.
Najua humu JF kuna wachambuzi wazuri wa haya mambo ya politics za nchi,
Ni kitu gani kinachoweza kuchangia ccm itolewe madarakani.
- Vyuma vikikaza sana
- Jeshi kuingilia kati
- Mpasuko mkubwa ndani ya ccm utaotengeneza chama kipya
- Civil war watu kuanza kujiorganize misituni kupindua nchi
- Muungano kuvunjika
- Civil Unrest nchi nzima - Maandamano, migomo, kufunga barabara, n.k.
- au ?
Wamaasai wakikaa vizuri huo uhuni wanaofanyiwa utakitoa chamaHakuna ajuae labda ni miaka 50 ijayo, lakini its certain.
Najua humu JF kuna wachambuzi wazuri wa haya mambo ya politics za nchi,
Ni kitu gani kinachoweza kuchangia ccm itolewe madarakani.
- Vyuma vikikaza sana
- Jeshi kuingilia kati
- Mpasuko mkubwa ndani ya ccm utaotengeneza chama kipya
- Civil war watu kuanza kujiorganize misituni kupindua nchi
- Muungano kuvunjika
- Civil Unrest nchi nzima - Maandamano, migomo, kufunga barabara, n.k.
- au ?
Muda wakufa ukifika ata kama utafanya nini lazima ufe.Sasa sababu za hicho kifo zitasababishwa na muda kufika.Tunaweza tukajadili sababu nyingi sana na zisitimie ila muda ndio sababu sahihi kwasababu wenyewe unakuja na full parckage.Ok lakini tunajaribu ku analyse sababu sababu ambazo zipo likely
Na mhesabuji na mtangazaji kura ni two independent separate entities.Machafuko ama mapinduzi ya kijeshi ndio yataitoa ccm madarakani. Lakini kwa njia ya kura ni kupoteza muda, maana wahesabu kura na watangaza matokeo ni chawa wa ccm.
Sio kwa muundo huu wa tume, na chaguzi hizi za kishenzi.Na mhesabuji na mtangazaji kura ni two independent separate entities.
Hayo ni maoni yako ila mimi naona vitakavyoitoa CCM madarakani ni:Hakuna ajuae labda ni miaka 50 ijayo, lakini its certain.
Najua humu JF kuna wachambuzi wazuri wa haya mambo ya politics za nchi,
Ni kitu gani kinachoweza kuchangia ccm itolewe madarakani.
- Vyuma vikikaza sana
- Jeshi kuingilia kati
- Mpasuko mkubwa ndani ya ccm utaotengeneza chama kipya
- Civil war watu kuanza kujiorganize misituni kupindua nchi
- Muungano kuvunjika
- Civil Unrest nchi nzima - Maandamano, migomo, kufunga barabara, n.k.
- au ?
Mapinduzi ya kimachafuko either ya Jeshi navyo ni unluckily kutokea maana Jeshi let la TZ ni Ccm C.Machafuko ama mapinduzi ya kijeshi ndio yataitoa ccm madarakani. Lakini kwa njia ya kura ni kupoteza muda, maana wahesabu kura na watangaza matokeo ni chawa wa ccm.
1.Wakianzaa kufarakana wenyeweee, humo ndani na siku sii nyingii hilo linaenda kutokeaa.Hakuna ajuae labda ni miaka 50 ijayo, lakini its certain.
Najua humu JF kuna wachambuzi wazuri wa haya mambo ya politics za nchi,
Ni kitu gani kinachoweza kuchangia ccm itolewe madarakani.
- Vyuma vikikaza sana
- Jeshi kuingilia kati
- Mpasuko mkubwa ndani ya ccm utaotengeneza chama kipya
- Civil war watu kuanza kujiorganize misituni kupindua nchi
- Muungano kuvunjika
- Civil Unrest nchi nzima - Maandamano, migomo, kufunga barabara, n.k.
- au ?