The time for factory reset, is right on the door.Mapinduzi ya kimachafuko either ya Jeshi navyo ni unluckily kutokea maana Jeshi let la TZ ni Ccm C.
1)ndani ya Jeshi Kuna watu wanatafuta vyeo kwa kujituma kabla hata hawajatumwa.
Mara nyingi habari za JW kufanya Usafi kila Chadema wanapotaka kufanya maandamano utoka kwa wakuu wa JW hata kabla simu ya Magogoni.
2) ni nadra sana watu kufanya machafuko endapo JESHI,MAHAKAMA,SERIKALI NA BUNGE VINASHIRIKIANA KUMKANDAMIZA RAIA.
kinachotokea Tanzania ndiyo kinachokea Urusi,N/korea na Nchi zingine za Africa.
TIME NDIYO ITAFANYA RESET YENYEWE.
Mungu.Hakuna ajuae labda ni miaka 50 ijayo, lakini its certain.
Najua humu JF kuna wachambuzi wazuri wa haya mambo ya politics za nchi,
Ni kitu gani kinachoweza kuchangia ccm itolewe madarakani.
- Vyuma vikikaza sana
- Jeshi kuingilia kati
- Mpasuko mkubwa ndani ya ccm utaotengeneza chama kipya
- Civil war watu kuanza kujiorganize misituni kupindua nchi
- Muungano kuvunjika
- Civil Unrest nchi nzima - Maandamano, migomo, kufunga barabara, n.k.
- au ?
muda ukifika umefika, hakuna cha polisi Wala nini. umma ukiamka umeamka.Mpasuko wa ccm ndio likely kuja kuitoa ccm not otherwise na hili litatokea pale wale wanaojiona chama ni mali yao wakija kubaguliwa na mtu mgeni kwenye chama ambaye wataona hastahili kuwatenga, civil unrest kwa tanzania bado sana maana polisi wetu kwakweli tuwape hongera wamekuwa makini kwa viashiria vyovyote vya kuvuruga amani
Ni ukweli usiopingika kuwa chama cha kijani kimejizatiti kubaki madarakani milele lakini kanuni ya asili inakataa kuwa hilo haliwezekani, wakati ukifika sababu ya kifo itapatikana tuu. Lakini katika hizi zilizotajwa hapo yaweza kuwepo au isiwepo cha msingi kifo kimefika. Kwangu mimi nakiona hiki kuwa chama kilichojengwa katika misingi ya uchawa, uongo na unafiki. Mnafiki ni mtu ambaye anachosema sicho anachomaanisha Moyoni, hapo ndipo penye anguko la chama na serikali yake. Uchawa na unafiki wa kupindukia ukikithiri, ndipo penye anguko la chama na serikali yakeHakuna ajuae labda ni miaka 50 ijayo, lakini its certain.
Najua humu JF kuna wachambuzi wazuri wa haya mambo ya politics za nchi,
Ni kitu gani kinachoweza kuchangia ccm itolewe madarakani.
- Vyuma vikikaza sana
- Jeshi kuingilia kati
- Mpasuko mkubwa ndani ya ccm utaotengeneza chama kipya
- Civil war watu kuanza kujiorganize misituni kupindua nchi
- Muungano kuvunjika
- Civil Unrest nchi nzima - Maandamano, migomo, kufunga barabara, n.k.
- au ?
Kupasuka CCM ni ngumu sababu kabla hata vikao vya kuipasua havijaamza wahusika WANAPASUKA wote.Mpasuko wa ccm ndio likely kuja kuitoa ccm not otherwise na hili litatokea pale wale wanaojiona chama ni mali yao wakija kubaguliwa na mtu mgeni kwenye chama ambaye wataona hastahili kuwatenga, civil unrest kwa tanzania bado sana maana polisi wetu kwakweli tuwape hongera wamekuwa makini kwa viashiria vyovyote vya kuvuruga amani
Hivyo kutokana na mapingamizi yaliyoletwa na serikali, Mahakama imesogeza mbele siku ya kusikiliza kesi hadi tarehe 02 September 2024
Mpaka matrix wawe hawafaidiki na CCM.Hakuna ajuae labda ni miaka 50 ijayo, lakini its certain.
Najua humu JF kuna wachambuzi wazuri wa haya mambo ya politics za nchi,
Ni kitu gani kinachoweza kuchangia ccm itolewe madarakani.
- Vyuma vikikaza sana
- Jeshi kuingilia kati
- Mpasuko mkubwa ndani ya ccm utaotengeneza chama kipya
- Civil war watu kuanza kujiorganize misituni kupindua nchi
- Muungano kuvunjika
- Civil Unrest nchi nzima - Maandamano, migomo, kufunga barabara, n.k.
- au ?
Anayewanunua ni nani?Maadam inaongoza vizuri wananchi wataendelea kuipenda. Wapinzani wenyewe wananunulika nani atawaamini?
CCM ndiyo kikwazo cha yote hayo kutokuwa na sera moja ya Chama inayoeleweka.Shida yetu watanzania sio CCM,
Watanzania tunahitaji Amani, Haki na ustawi wa jamii
Anayekwamisha haya yote sio CCM, bali ni viongoji na raia wa Tanzania
Viongozi hawajali siasa Safi na utawala Bora
Raia hawataki kuchukua hatua za kuwabana viongozi wao
CCM Haina kosa!
Kuinyooshea CCM kidole juu ya ustawi duni wa Taifa ni kuikosea Sana!