BlackPanther
JF-Expert Member
- Nov 25, 2015
- 9,185
- 8,715
Tuzo hiyo alipewa Pele,afu watu wengi hawakumuona Pele,Pele ndo mpango mzima fuatilia ujue ukweli kwamba FIFA awawezi wakampa MTU ambaye ana W/C moja tena KWA goli LA mkono afu wamnyime MTU mwenye W/C tatu na magoli 1800 mfyuuuu shame on you
Unasema watu wengi hawakumuona pele...wewe ulimuona? Si umecheki video zake!! Na Diego si hivyo hivyo!! Ingawa Diego amecheza mda mfupi sana ukilinganisha na Pele. Mimi mwenyewe nimezishuhudia video zao yani Pele hagusi kwa Diego mkuu...na Kumbuka 4 years Diego hakucheza.
Swali! Pele kachukuwa world cup ngapi akiwa ndani ya uwanja? Na je Ili niamini kama nikweli kachukua world cup 3 naomba Niwekee link au video hapa ikimuonyesha ni yeye kweli ndiye kaifungia timu yake katika hizo final 3 na kubeba ndoo zote hizo ama wakina Garincha???...1958, 1962 na 1970.
Naomba jibu sahihi na usipindishe hata kidogo!