Hakuna mchezaji ambaye atatokea katika hii dunia kama mnyama Pele the don(black mamba) record hazidanganyi

Hakuna mchezaji ambaye atatokea katika hii dunia kama mnyama Pele the don(black mamba) record hazidanganyi

Mimi nasema messi ni zaid ya maradona, wew unayebisha leta vigezo vyako.

Je Messi anaweza kuichukua celta vigo na akaipa ubingwa La Liga na Champion league ?

Maradonna aliirise nopoli kutoka timu ya kugombea kushuka daraja mpaka ubingwa weye unahisi ni jambo lakawida hilo? kwa kipndi chote alichokuepo timu ilikua top ndani ya top 3. Na alipoondoka tu timu ilikufa.
Napoli ilizichallenge Inter, Milan, Juve, Roma zilizokua na wachezaji bora kabisa duniani kwa wakati huo kwa kimoja tu nacho ni maradonna. namuheshimu sana messi Lakini ukweli usiopingika bila Ya Barcelona messi asingelipata hata nusu ya mafanikio aliyonayo.
Playing in Best team pamoja na Best players ni rahisi sana mkuu nalo hilo ni moja point kubwa ambayo maradanno atendelea hata kuchalange Pele. Leo Ronaldo wanafunga magoli 50 kwa msimu kwa kutokana na timu wanazocheza, Wasingiweza kufanya wakiwa Arsenal hata siku moja.
Maradonna aliwin world cup na Argentina, Na msitake kutwambia kwamba ati Valdoano alikua mchezaji wakiwango cha juu. katika argentina mbovu kabisa nilohaw kuishuhudia ni yakipindi cha Maradonna.
 
Je Messi anaweza kuichukua celta vigo na akaipa ubingwa La Liga na Champion league ?

Maradonna aliirise nopoli kutoka timu ya kugombea kushuka daraja mpaka ubingwa weye unahisi ni jambo lakawida hilo? kwa kipndi chote alichokuepo timu ilikua top ndani ya top 3. Na alipoondoka tu timu ilikufa.
Napoli ilizichallenge Inter, Milan, Juve, Roma zilizokua na wachezaji bora kabisa duniani kwa wakati huo kwa kimoja tu nacho ni maradonna. namuheshimu sana messi Lakini ukweli usiopingika bila Ya Barcelona messi asingelipata hata nusu ya mafanikio aliyonayo.
Playing in Best team pamoja na Best players ni rahisi sana mkuu nalo hilo ni moja point kubwa ambayo maradanno atendelea hata kuchalange Pele. Leo Ronaldo wanafunga magoli 50 kwa msimu kwa kutokana na timu wanazocheza, Wasingiweza kufanya wakiwa Arsenal hata siku moja.
Maradonna aliwin world cup na Argentina, Na msitake kutwambia kwamba ati Valdoano alikua mchezaji wakiwango cha juu. katika argentina mbovu kabisa nilohaw kuishuhudia ni yakipindi cha Maradonna.
Competition ilikuwa ndogo kipindi hicho hata na sheria zilikuwa za ovyo..

Ni wachezaji wangapi wenye viwango vya juu walienda huko Madrid na Barca na wakafail kudeliver? Messi na Ronaldo ni wachezaji wa kiwango cha pekee tangia kuumbwa kwa ulimwengu.. Wamekuwa wakifunga magoli ya kitimu na hata magoli ya jitihada zao wenyewe mara nyingi tu..
 
Nashukuru atleast soka unajua.. Uchawi umechanganya mambo mengi kwa wakati mmoja hvyo nitshindwa kukujibu kwa mtirirko mzur tuanze hapo na kusema pele amewapa brazili makombe matatu hapo naona shida ni kiswahili, pele hakuwapa brazili world cup 3 ila pele ni mshindi wa world cup3, mchango wake mkubwa kabisa ulikuwa ni katka 58 na 70, 62 aliumia katika game na chechzlovakia wakati akijaribu kupiga shuti, so pele ni mshindi wa makombe 3 ila mwenyewe mchango wake mkubwa ni katka mawili..
Nachelea kusema bila mchango wa pelee 58 na 70 brazil kombe yawezekana wangeisikia katika bomba kaangalie mchango wake(goals na assist katika world cup ya 58 na 70).. Kama brazil ilikiwa inajiweza bila ya pele mbona 66 ilitoka kiaibu baada ya pele kuumia..tukubaliane kwanza ushind wa timu ni mchango wa wachezaji 11 japo wapo wachache au m1 atang'ara zaidi ya wenzie..
Unajua km 66 pele ndio alikuwa mchezaji aliyechezewa rafu mbaya mnoo kiasi kasema hatcheza tena worl cup, ila 70 aliombwa ashiriki na kwa mara ya kwanza world cup kukawa na kadi nyekundu na njano.

Halafu hili suala la magoli ya pele linawaiza watu vichwa bure ubora wa pele si kufunga tu pekee, pele alikuwa zaidi ya mfungaji alikuwa ni mchezaji mtimilifu anavitu vyote, skills, creativity, stamina, power, dribling na kila kitu, hapo mdio maana nasema pele ni bora kwangu si bora sababu anafunga tu la hasha..

Sasa tuje kwenye magoli, hiv mfano barcelona wakicheza exhibition game na yanga messi akafunga goli 2 zinakuwa hazihesabiki, inakuwa hajawafungia barcelona, same to pele kuna goli 18 wameziommit toka katika idad ya magoli yake katika national team badala ya 95 iko 77, sasa swali la kujiuliza hizi goli alifunga akiwa kavaa jezi za nani yanga, au alikiwa mazoezin, jibu zilikiwa ni mechi zilizoandaliwa kabisa na kufahamika..

Ahsante mkuu

Kikosi kilichochukua 1958 ndicho hichohicho kilichochukua 1962. Sasa kama bila yapele 58 wasingeliweza kubeba taji mbona 62 wameweza? na kuhusu 66 tatizo lilkua la timu mkuu jaribu kufatilia. Wachezaji wingi waliokwenda walikua hawana tena uwezo walichukua mazee kwa heshima tu na wakaacha vijana tele wenye uwezo, timu yao ilikua dhaifu na ndomana haikufanya vizuri.
 
Competition ilikuwa ndogo kipindi hicho hata na sheria zilikuwa za ovyo..

Ni wachezaji wangapi wenye viwango vya juu walienda huko Madrid na Barca na wakafail kudeliver? Messi na Ronaldo ni wachezaji wa kiwango cha pekee tangia kuumbwa kwa ulimwengu.. Wamekuwa wakifunga magoli ya kitimu na hata magoli ya jitihada zao wenyewe mara nyingi tu..

kipindi kipi icho unachosema compition ilikua ndogo mkuu?
 
Walikuwa hawajui mpira duh embu acha utani?? Timu zilivyokuwa zinajituma enzi zile unasema walikuwa hawajui mpira?? Katafute documentary ya 1954 world cup uone watu walivyokuwa wanafia uwanjani

Kuna kipa mmoja wa uruguay alikuwa anacheza namba zaidi ya 5 yaani kipa ila timu ikizidiwa anaingia kucheza kma beki baadae midfield n.k sahivi wapo wa hivyo??, kuna mechi nakumbuka brazil na poland iliisha 4-4 baada ya extra time ikaamuliwa irudiwe kesho yake asbuhi kwa vikosi vilevile vilivyocheza jana usiku na bado mechi ikapigwa na mshindi ndio akapatikana!!!

Zamani walikuwa wanajituma sana pesa kidogo ila uzalendo mbele sio siku hizi unakuta Christiano Ronaldo anahamia barcelona kisa pesa enzi hizo kosa kubwa sana unaweza kuuawa mpira ulikuwa mpira kama vile dini au itikadi sahivi ni pesa yako tu so huwezi sema zamani viwango hakuna wakati mpaka sasa rekodi nyingi za wababe wa enzi hizo hazijavunjwa

Zico
Pele
Just fontaine
Ferenc puskas
N.k

Hao rekodi zao hazivunjwagi kwa miaka zaidi ya 60 sasa alafu ndio unasema hawakuwa na viwango ilihali sahivi miaka 10 ballon dor inachukuliwa na wachezaji wawili pekee ila enzi hizo competition kubwa ukibeba ni ngumu kuipata tena


Ushajichanganya sasa, Zico hakucheza soka miaka ya 60, nani alikudanganya hivyo? Hizo docs nilishaziona na kubaini kuwa mpira wa that time was useless, yaani ulikuwa pedestrian sana, rudia kuangalia tena soka ya miaka ya 50 mpaka 70 mwanzoni. Soka lilianza kupanda kiwango mwaka 1974 na lili-evolve kila mwaka mpaka hapa tulipofikia.
 
kipindi kipi icho unachosema compition ilikua ndogo mkuu?
Huo ndio ukweli.. Kila kitu kilikuwa ovyo..

Hivi Messi na Ronaldo wangecheza bila sheria ya offside wangekuwa wanafunga magoli mangapi kwa msimu?
 
Huo ndio ukweli.. Kila kitu kilikuwa ovyo..

Hivi Messi na Ronaldo wangecheza bila sheria ya offside wangekuwa wanafunga magoli mangapi kwa msimu?

unazungumza kwa kujielewa vizuri? kwani offside imeanza tokea mwaka gani? Sheria unazozizungumzia unajua kama ndizo zinazowasaidia wachezaji wa sasa? unajua kama mpira wa zamani mapka ukapewa kadi yanjano simasihara, yani saivo ukimgongamtu bega tu mala umerambwa kadi. Acha kuishi kwa kasumba.
 
Ushajichanganya sasa, Zico hakucheza soka miaka ya 60, nani alikudanganya hivyo? Hizo docs nilishaziona na kubaini kuwa mpira wa that time was useless, yaani ulikuwa pedestrian sana, rudia kuangalia tena soka ya miaka ya 50 mpaka 70 mwanzoni. Soka lilianza kupanda kiwango mwaka 1974 na lili-evolve kila mwaka mpaka hapa tulipofikia.
Nani kasema zico kacheza miaka ya 60?? Nimesema wameweka rekodi zilizokaa kwa zaidi ya miaka 60!! Uwe unasoma vizuri kabla ya kucomment

Pedestrian?? Kma ilikuwa pedestrian mbona hakuna mchezaji mmoja aliyedominate mpira miaka yote tofauti na sasa messi na ronaldo miaka 10 wanabadilishana balon d or?? Enzi hizo ballon d or ukibeba ndio unasahau milele maana vipaji vilikuwa kila kona leo hii wachezaji walewale timu zilezile zinabeba vikombe je pedestrian soccer ni miaka hii au miaka ile???

Enzi hizo hamna red card so rafu kibao,hamna substitution so wachezaji wanachoka sana ,hamna penalty hivyo no ushindi wa dezo alafu unaita pedestrian soccer??

Labda kma umeanza kufuatilia mpira mwaka 2010 ndio utasema generation ya kina messi na ronaldo inaikuta ya kina puskas na fitz Walter!!
 
Huo ndio ukweli.. Kila kitu kilikuwa ovyo..

Hivi Messi na Ronaldo wangecheza bila sheria ya offside wangekuwa wanafunga magoli mangapi kwa msimu?
Offside tu??
Enzi hizo hamna red card so rafu kibao tofauti na sahvi kiwiko tu red card

Enzi hizo hamna substitution so wachezaji wanachoka sana hao hao dakika 90

Enzi hizo ukiumia mnacheza 10 uwanjani sio sahvi mtu kateguka tu kidogo anapata replacement

Enzi hizo hamna penalty hivyo no ushindi wa dezo alafu ndio mnalinganisha na enzi za kina messi??

You gotta be kiddin me
 
Nani kasema zico kacheza miaka ya 60?? Nimesema wameweka rekodi zilizokaa kwa zaidi ya miaka 60!! Uwe unasoma vizuri kabla ya kucomment

Pedestrian?? Kma ilikuwa pedestrian mbona hakuna mchezaji mmoja aliyedominate mpira miaka yote tofauti na sasa messi na ronaldo miaka 10 wanabadilishana balon d or?? Enzi hizo ballon d or ukibeba ndio unasahau milele maana vipaji vilikuwa kila kona leo hii wachezaji walewale timu zilezile zinabeba vikombe je pedestrian soccer ni miaka hii au miaka ile???

Enzi hizo hamna red card so rafu kibao,hamna substitution so wachezaji wanachoka sana ,hamna penalty hivyo no ushindi wa dezo alafu unaita pedestrian soccer??

Labda kma umeanza kufuatilia mpira mwaka 2010 ndio utasema generation ya kina messi na ronaldo inaikuta ya kina puskas na fitz Walter!!


Narudia, kaangalie tena hizo documentaries kisha urudi hapa.
 
Kikosi kilichochukua 1958 ndicho hichohicho kilichochukua 1962. Sasa kama bila yapele 58 wasingeliweza kubeba taji mbona 62 wameweza? na kuhusu 66 tatizo lilkua la timu mkuu jaribu kufatilia. Wachezaji wingi waliokwenda walikua hawana tena uwezo walichukua mazee kwa heshima tu na wakaacha vijana tele wenye uwezo, timu yao ilikua dhaifu na ndomana haikufanya vizuri.
Ubora wa mchezaji kwangu ni uchezaji na si mafanikio, messi anavyocheza ndio mimi namrank kama mchezaji bora wa pili baada ya pele halaf anafatiwa maradona, ukitaka kujua zaidi utauliza, kiuchezaji messi ni bora zaidi, mkuu mafanikio ni ya timu wala si ya mchezaji mmoja, ila lazima aibuke mchezaji mmoja kma kinara ama kiongozi kwa wenzie kufika sehemu fulani, yeye maradona alikuwa hakabi, wala kudaka golini, ni katika assisting na kufunga, so mafanikio ya timu ni michango ya wengi, hii tabia ndio imetuzalishia kuona wakina messi na ronaldo ndio wanadominate tuzo tu na kusahauliwa wengine, mfano ronaldo anafanya attempt 10 anamiss 9 na kupata moja huku navas anakutana na attempt 10 anasave 9 na kufungwa moja ila shujaa atakuwa ronaldo katika timu yake na si kipa wake,

Haya Mkuu unataka kuniambia burruchuga, wakina valdano na wenzao walikuwa wabovu mie napinga hilo, timu yote ilikiwa nzuri ndio maana wakapata mafanikio, we mwenyewe umesema kama messi tukimpa arsenal hawez kufanya lolote kwanini jibu ni sababu arsenal ni timu mbovu, ila hilo halitomfanya messi asioneshe uwezo wake binafsi, ataonesha ila utamezwa na mapungufu ya wenzie wakina cech na kina koscienly[emoji23] [emoji23] ..
Kwahiyo hata maradona wenzie wangekuwa wabovu asingepata chochote, ubora wa mchezaji ni tofaut na watu wanavyouchukulia. Mafanikio ni ya timu nzima, vipi maradona angekuwa anafunga wakina pasarrela wanaruhusu magoli au assist zake kina valdano wanashindwa kuzitumia ingekuwaje.. Ndio maana mie mtu akiniambia pele hakuwa bora kisa tu alipata mafanikio ambayo kina garrincha walichangi mie napinga sababu ilibidi apate wachezaji bora kufikia mafanikio.. Vipi unataka kuniambia pele hakuwa na mafanikio nje ya taifa( i mean katika klabu ambako alicheza bila hao kina garrincha)
 
Ubora wa mchezaji kwangu ni uchezaji na si mafanikio, messi anavyocheza ndio mimi namrank kama mchezaji bora wa pili baada ya pele halaf anafatiwa maradona, ukitaka kujua zaidi utauliza, kiuchezaji messi ni bora zaidi, mkuu mafanikio ni ya timu wala si ya mchezaji mmoja, ila lazima aibuke mchezaji mmoja kma kinara ama kiongozi kwa wenzie kufika sehemu fulani, yeye maradona alikuwa hakabi, wala kudaka golini, ni katika assisting na kufunga, so mafanikio ya timu ni michango ya wengi, hii tabia ndio imetuzalishia kuona wakina messi na ronaldo ndio wanadominate tuzo tu na kusahauliwa wengine, mfano ronaldo anafanya attempt 10 anamiss 9 na kupata moja huku navas anakutana na attempt 10 anasave 9 na kufungwa moja ila shujaa atakuwa ronaldo katika timu yake na si kipa wake,

Haya Mkuu unataka kuniambia burruchuga, wakina valdano na wenzao walikuwa wabovu mie napinga hilo, timu yote ilikiwa nzuri ndio maana wakapata mafanikio, we mwenyewe umesema kama messi tukimpa arsenal hawez kufanya lolote kwanini jibu ni sababu arsenal ni timu mbovu, ila hilo halitomfanya messi asioneshe uwezo wake binafsi, ataonesha ila utamezwa na mapungufu ya wenzie wakina cech na kina koscienly[emoji23] [emoji23] ..
Kwahiyo hata maradona wenzie wangekuwa wabovu asingepata chochote, ubora wa mchezaji ni tofaut na watu wanavyouchukulia. Mafanikio ni ya timu nzima, vipi maradona angekuwa anafunga wakina pasarrela wanaruhusu magoli au assist zake kina valdano wanashindwa kuzitumia ingekuwaje.. Ndio maana mie mtu akiniambia pele hakuwa bora kisa tu alipata mafanikio ambayo kina garrincha walichangi mie napinga sababu ilibidi apate wachezaji bora kufikia mafanikio.. Vipi unataka kuniambia pele hakuwa na mafanikio nje ya taifa( i mean katika klabu ambako alicheza bila hao kina garrincha)

SANTOS ya wakati wa pele ilikua ni timu bora kabisa brazil. haikuwa yakawaida kabisa, ilishinda vikombe 25 na kufunga magoli 3000 ndani ya miaka 15.

Hata mimi siamini kama mafanikio yanaletwa na mtu mmoja, Lakini kama kuna mtu aliyekariia kabisa mafanikio ya mtu mmoja basini maradona pekee.

Na kuhus kina Valdano na Burruchaga hakuna mtu yoyote hata huko nchini kwao angelikua anawakumbuka kamasi lile taji la 86. Hivi zama za kina Vialli, Hasler, Futre, Schillaci, Matthaus, Klisman, Voller, Gulit, Van Busten, Altobelli, Linker, Butragueno, Enzo Francescoli, micheal Laudrup, Hugo Sanchez, Platini, Zico, Romario, Baresi, Bargomi, Socrates, Eder, Junior, Falcao, Careca, Rijkaard, Bruno Conti, Gianinni, Andres Brehmen, Preben Elkjaer wao walikua kama kina Benteke tu kwa sasa. Japokua nakubali dongo lao si lasaivi lakini kwa kipindi kile walikua wachezaji wakawaida sana tu.
 
Mimi nasema messi ni zaid ya maradona, wew unayebisha leta vigezo vyako.


Hapa tutabishana mpaka kesho,,, so kila mmoja abaki tu na mtazamo wake...wengi tu wanaomkubali Maradona na wapo pia wanaomkubali Pele.

Kwangu mimi nitaendelea kumkubali Maradona zaidi ya babu mzungu,, kwa sababu gani namwita hivyo!! kwa sababu anajipendekeza mno kwa wazungu na ndio maana media zinajaribu kumlinda mtu huyu, but hakuwa na chochote cha kumzidi Diego. Ebu jaribu kufuatilia hata nchi za kiarabu kujipendekeza kwa mzungu ni mwiko ndio maana maelewano baina yao na wazungu ni mdogo sana..mzungu anataka umnyenyekee all the time,, ndio Pele wenu huyo 😀😀😀


  1. KING MESSI ORIGINAL utakuwa umenielewa mkuu
  2. KING DIEGO

Wanafuata hawa...
PELE
ALFREDO DE STEFANO,
PUSKAS
CRUYFF
BURUCHAGGA
ZIDANE
REQUELME
KEMPES
CR7
BECKANBEUER
AIMAR
DE LIMA
PASARELLA
GAUCHO N.K

 
Hapa tutabishana mpaka kesho,,, so kila mmoja abaki tu na mtazamo wake...wengi tu wanaomkubali Maradona na wapo pia wanaomkubali Pele.

Kwangu mimi nitaendelea kumkubali Maradona zaidi ya babu mzungu,, kwa sababu gani namwita hivyo!! kwa sababu anajipendekeza mno kwa wazungu na ndio maana media zinajaribu kumlinda mtu huyu, but hakuwa na chochote cha kumzidi Diego. Ebu jaribu kufuatilia hata nchi za kiarabu kujipendekeza kwa mzungu ni mwiko ndio maana maelewano baina yao na wazungu ni mdogo sana..mzungu anataka umnyenyekee all the time,, ndio Pele wenu huyo 😀😀😀


  1. KING MESSI ORIGINAL utakuwa umenielewa mkuu
  2. KING DIEGO

Wanafuata hawa...
PELE
ALFREDO DE STEFANO,
PUSKAS
CRUYFF
BURUCHAGGA
ZIDANE
REQUELME
KEMPES
CR7
BECKANBEUER
AIMAR
DE LIMA
PASARELLA
GAUCHO N.K

Wewe nakupumzisha kwanza sababu ushakubali kuwa andunje messi ni zaidi ya mjomba maradona..

Naona umemuorodhesha burruchagga ambae mwenzio anamuona eti ni kama benteke
 
SANTOS ya wakati wa pele ilikua ni timu bora kabisa brazil. haikuwa yakawaida kabisa, ilishinda vikombe 25 na kufunga magoli 3000 ndani ya miaka 15.

Hata mimi siamini kama mafanikio yanaletwa na mtu mmoja, Lakini kama kuna mtu aliyekariia kabisa mafanikio ya mtu mmoja basini maradona pekee.

Na kuhus kina Valdano na Burruchaga hakuna mtu yoyote hata huko nchini kwao angelikua anawakumbuka kamasi lile taji la 86. Hivi zama za kina Vialli, Hasler, Futre, Schillaci, Matthaus, Klisman, Voller, Gulit, Van Busten, Altobelli, Linker, Butragueno, Enzo Francescoli, micheal Laudrup, Hugo Sanchez, Platini, Zico, Romario, Baresi, Bargomi, Socrates, Eder, Junior, Falcao, Careca, Rijkaard, Bruno Conti, Gianinni, Andres Brehmen, Preben Elkjaer wao walikua kama kina Benteke tu kwa sasa. Japokua nakubali dongo lao si lasaivi lakini kwa kipindi kile walikua wachezaji wakawaida sana tu.
Sasa katika hyo santos unayoizungumzia ww kinara alikuwa babu pele, angalia finals zao na mambo aliyoyafanya ni hatarii sheikh wangu.. Kuwa mfungaji bora mara 11(9mfululizo si kitu cha kubeza)

Nakupinga, mafanikio yale hayakiwa ya maradona tu, yalikuwa ya wote, lazima uwape heshima wengine, huwezi kusema valdano alikuwa sawa na benteke[emoji23] [emoji23] [emoji23] , ngoja nikulete karibu france 98,2000 ukiitaja zidane anakuja fasta ndie kinara wao, unataka kuniambia wale kina thierry henry, karembeu, viera, thuram, lizarazu,desailly na wengineo walikiwa km kina benteke!!?[emoji23] [emoji23] tuivute mpaka world cup 2006 kina ribbery waliliwa sawa na benteke kisa tu timu ilikuwa chin ya zidane!!? Jibu ni la hasha.

Mafanikio ya mtu mmoja ni tuzo binafsi tu, ila makombe ni mafanikio ya wote, lihifadhi hili mkuu, ni kweli bila ya komne 1986 kina valdano wasinheheshimika argentina, ila pia hata maradona bila ya kombe 86 asingepata heshima hii, hata messi akimaliza maisha yake argentina bila kiwazawadia kombe hatopata heshima yoyote ile, ataheshimika barca tuu.
 
Wewe nakupumzisha kwanza sababu ushakubali kuwa andunje messi ni zaidi ya mjomba maradona..

Naona umemuorodhesha burruchagga ambae mwenzio anamuona eti ni kama benteke

Na maradona ni zaidi ya Pele. Ni hayo tu mkuu...jioni njema!
 
Sasa katika hyo santos unayoizungumzia ww kinara alikuwa babu pele, angalia finals zao na mambo aliyoyafanya ni hatarii sheikh wangu.. Kuwa mfungaji bora mara 11(9mfululizo si kitu cha kubeza)

Nakupinga, mafanikio yale hayakiwa ya maradona tu, yalikuwa ya wote, lazima uwape heshima wengine, huwezi kusema valdano alikuwa sawa na benteke[emoji23] [emoji23] [emoji23] , ngoja nikulete karibu france 98,2000 ukiitaja zidane anakuja fasta ndie kinara wao, unataka kuniambia wale kina thierry henry, karembeu, viera, thuram, lizarazu,desailly na wengineo walikiwa km kina benteke!!?[emoji23] [emoji23] tuivute mpaka world cup 2006 kina ribbery waliliwa sawa na benteke kisa tu timu ilikuwa chin ya zidane!!? Jibu ni la hasha.

Mafanikio ya mtu mmoja ni tuzo binafsi tu, ila makombe ni mafanikio ya wote, lihifadhi hili mkuu, ni kweli bila ya komne 1986 kina valdano wasinheheshimika argentina, ila pia hata maradona bila ya kombe 86 asingepata heshima hii, hata messi akimaliza maisha yake argentina bila kiwazawadia kombe hatopata heshima yoyote ile, ataheshimika barca tuu.

Messi Argentina heshima anayo ijapokua si yakulinganisha na maradano, Hata kina Batistuta, Crespo, Ayala, Simone wanayo heshima argentina.

Na france 98 haikuwa timu ya mtu mmoja, Thuram, Blanc, Lizarazu, Deschamp, na wengine. Ni tafauti kabisa na Argintina ya 86.

Tusisema sana labda ungelitueleza nafasi walizokunazo kina Valdono, burruchagga na Batista kwenye ulimwengu wa kandanda kipindi cha miaka ya 80 mpaka 90.
 
Back
Top Bottom